Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 368,611
- 852,626
Huu mjadala wa kupigiwa na kutopigiwa makofi msibani ni mgumu kama msiba ulivyo mgumu.
Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe, INATOSHA. Namuunga mkono.
Tatizo linaweza kuwa maeneo haya:
1. Je waliopigiwa makofi mengi hawana wake/waume?
2. Je waliopigiwa makofi hawapendwi na wake zao na kwa hiyo makofi ya misibani ni fidia ya kukosa makofi nyumbani?
3. Je hili ni onyo onyo kwetu kuacha kupiga piga makofi ovyo ovyo wakati si kipimo cha upendo?
4. Kama kupiga makofi na kushangiliwa si kipimo cha upendo; je kukaa kimya na kununa pale viongozi wanapotambulishwa ni kipimo cha nini?
5. Je viongozi wasio na wake au waume wa kueleweka, na hawashangiliwi popote, wana hali gani?
Mjaluo mmoja aliwahi kupendekeza, “Kama kukosoa ni jinai basi hata kupongeza kuwe jinai”.
Hilo likifanyika mijadala hii ya kumaliza bando zetu haitakuwepo.
Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe, INATOSHA. Namuunga mkono.
Tatizo linaweza kuwa maeneo haya:
1. Je waliopigiwa makofi mengi hawana wake/waume?
2. Je waliopigiwa makofi hawapendwi na wake zao na kwa hiyo makofi ya misibani ni fidia ya kukosa makofi nyumbani?
3. Je hili ni onyo onyo kwetu kuacha kupiga piga makofi ovyo ovyo wakati si kipimo cha upendo?
4. Kama kupiga makofi na kushangiliwa si kipimo cha upendo; je kukaa kimya na kununa pale viongozi wanapotambulishwa ni kipimo cha nini?
5. Je viongozi wasio na wake au waume wa kueleweka, na hawashangiliwi popote, wana hali gani?
Mjaluo mmoja aliwahi kupendekeza, “Kama kukosoa ni jinai basi hata kupongeza kuwe jinai”.
Hilo likifanyika mijadala hii ya kumaliza bando zetu haitakuwepo.