Intelijensia ya Israel ni ya kushangaza. Fikiria wanadiplomasia wa Iran, kwa siri walulienda Lebanon, bila shaka, kukutana na Hezbolla, kabla hata ya kukutana, Israel ikawaua wote wanne.
Pia Iran...
Askofu Michael Msonganzila ametoa pendekezo hilo wakati akizungumzia kitendo cha jeshi polisi kuwashambulia bawacha eneo la kanisani
---
Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila...
MHE. GHATI CHOMETE ASHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU SUNZY MWITA CHAMBIRI WILAYANI BUTIAMA, MKOANI MARA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete Leo tarehe 10 Machi, 2026...
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30
Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na...
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano...
Ikumbukwe awali serikali ya Tanzania ilikataa kuupokea ujumbe wa Chakwera.
Masharti waliyopewa na Mkutano wa Commonwealth uliopita 71, Dec 5, 2025.
============...
Wanajamvi heri ya mwaka mpya 2026.
Baada ya kunywa Balimi zangu kadhaa, nimejiuliza, hivi URAISI una nini hasa kuwafanya watu (Maraisi) wawahi kuzeeka kwa kasi ya kutisha?
Je, ni majukumu mazito...
Hawajui baya na zuri, zuri kwao ni baya, na baya kwao ni zuri!
Samahanini Watanganyika kwa swali hili
Ukisema Watanganyika ni watu Utaje na sababu zake
Ndiyo maana mtu anaweza kuwatoa sadaka...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Rais Samia Ni Mkono Wa Mungu Uliopo Hapa Duniani, Mungu Anatenda Miujiza Yake Kupitia Rais Samia ,Rais Samia Ni chaguo la Mungu kuwafikia Watu na waja Wake...
Wakati vibaraka wa mabeberu wanasaini mikataba ya hovyo hovyo inayowatia hasara watanzania na Tanzania, chama kinachoongoza nchi Kiko bize kuishambulia CHADEMA.
Wakati mabilioni ya fedha za umma...
Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu,
Tupige moyo...
UN waipongeza Tanzania katika Hatua ilizochukuwa hadi SASA katika kikao cha leo na kuitakia kheri katika hatua zote zijazo za kuleta mshikamano, Umoja na uponyaji wa Taifa kutokana na yaliyoipitia...
Kuna baadhi ya picha ni Screenshot za Watu walipost Twitter(X), Instagram Facebook nk.
1). Je, wale waliopost hizo Picha Mtandaoni ndo Watakuwa Mashahidi?
2. ICC wanapokea Ushahidi wa Screeshot...
Tulitoa angalizo mapema kuwa hili litakuja kutuletea matatizo, SA kajibiwa live kwa sababu ni big fish sisi tutajibiwa kimya kimya.
US house of Foreign Affairs:
No friend of the Ayatollah is a...
Mimi ni Mkazi wa Maili Moja, Kibaha Mkoani Pwani, huku kwetu Mtaa wa Muheza na mitaa mingine ya jirani kwa takribani zaidi ya miezi mitatu sasa tunapata bili ya maji Unit 0 ikiwa na maana hakuna...
Amefariki mchana wa leo, Hospitali ya Taifa - Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kila nafsi itaonja mauti - naam, sisi ni mavumbi, na mavumbini tutarudi
Pia soma
Rais Magufuli amrudishia...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Mbunge wa Zamani wa Mbeya Mjini , Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , leo ameanza ziara ya kisiasa kwenye Wilaya ya Rungwe ...
Huu ndio Ukweli , Alianza Kitilla Mkumbo aliyetunukiwa Wizara ya Uwekezaji , Mimi ukiniuliza kitu chochote alichowahi kukifanya Kitilla Mkumbo cha kupigiwa mfano kwenye Nchi hii , hata...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa, mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , Bilionea Joseph Mbilinyi, jioni ya leo alikuwa Wilayani Chunya, akiwaelimisha wananchi...