Maneno anayoongea Mnyika kwa maandishi.
"Aidha, CHADEMA kwa niaba ya Watanzania, tunalaani na kukemea hotuba mbalimbali zinazoonyesha kuremba hali ya kisiasa nchini kuwa ni nzuri wakati hali hivi...
Njooni huku muone Wakatoliki wanaovaa vijora!
----
Kundi la waumini wa Kanisa Katoliki linalokadiriwa kufikia watu 100, leo Januari 5, 2026, limefika katika Ubalozi wa Vatican nchini Tanzania...
Haya maneno sijawahi kuyasikia toka kwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, lakini Katibu Mkuu John Mnyika ameongea kwa nidhamu kabisa.
Huyu ndiye kiongozi sasa na ishara ya maridhiano naiona
Mheshimiwa Spika, baada ya hoja ya kuundwa kwa Kamati Teule kuwasilishwa na kuafikiwa na Bunge, uliwateua Wabunge watano wafuatao kuunda Kamati Teule ya Bunge kwa mujibu wa Kanuni ya 104(3) ya...
Yaani Tanzania ni banana republic.
Leo weekend nimetulia nasoma habari za Tanzania, nkakutana na kituko Cha Karne.
Rose Manumba DED wa Msalala-Shinyanga, halmashauri yake imepata hati chafu Kwa...
Tajeni kiasi ambacho John Heche amechukua kutoka CHADEMA.
Elezeeni Heche ilikuwaje akachukua hizo Hela na kwa utaratibu upi?
Tajeni akaunti ambazo fedha hizo zilitolewa , benki husika,siku na...
Nauliza tu kwa nia njema.
Hivi hawa Watanzania ambao kila siku tunaambiwa wanahangaikiwa sana mambo ya CHADEMA ni hawa hawa ninaowaona mitaani au kuna kundi jingine ambalo mimi sijawahi kuliona...
Napita pita huko kwenye mitandao najionea muujiza tu,viongozi mbali mbali kuvituhumu vyama vingine ya kuwa ni fake, huku vikiwa vimesajiliwa kihalali kabisa na kwa kufuata taratibu zote sawa na...
Rais Samia alipotangazwa raisi baada ya kifo cha Raisi Magufuli katika awamu ya tano, alikataa katakata kwamba bado tulikuwa awamu ya tano na akadai tulikuwa tumeanza awamu mpya ya sita.
Na sasa...
Moja kwa moja.
Juzi niliona Uzi wa member wa Jf ambaye amelelemika kuwa wiki nzima anarudishwa uhamiaji wakati wa kufuatilia passport anaambiwa kuwa Kuna Virus kwenye mfumo na data hazipo ...
Vikwazo maana yake ni kutengwa na mataifa katika nyanja mbalimbali
Vikwazo ni hatari sana,ni janga na vinatesa sana.
Kuna aina nyingi sana za vikwazo lkn vikwazo kwa kiuchumi na kisiasa ni hatari...
DKT. MWIGULU: TUBORESHE VIWANGO KWENYE BIDHAA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa wazalishiaji mbalimbali nchini waboreshe bidhaa zao ili zimudu ushindani wa kimataifa na ziweze...
Tutawalaani milele na milele, HAYA matendo mnayoyafanya Leo kwa kuinajisi Ikulu kwa kufanya ulaghai wa KISIASA tambueni mnatukera na muache UO ulanguzi na ubadhadhi mara Moja.
Binafsi NATAMBUA...
Nchi hii, iko kwenye matatizo makubwa mno.
Hawa wanaoitwa polisi ni ngumu kuelewa ni wakati gani wao wanakua polisi au ni wakati gani wanaweza kugeuka na kuwa watekaji.
Magari yanayotumiwa na...
Wanabodi,
Kwa wale wenye muda, Usikose Kuangalia TPDC Inavyo Fanya Makubwa Sekta za Mafuta Na Gesi, Ni Leo Saa 3:40 Usiku Huu on Star TV。
https://youtu.be/iA-uAh2h9pI?si=IbWxfD0aomZ27Tzl
Kwa...
Leo, tarehe 30 Julai 2026, Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetoa uamuzi muhimu katika shauri lililomhusisha Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) dhidi ya Tundu Antiphas Lissu. DPP alikuwa amewasilisha...