Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwanzoni Rais wetu alipendwa sana na mpaka baadhi ya nchi zikatamani kumuazima akatawale kule kwa siku kadhaa au miezi kadhaa, hii ilileta picha kwamba ama Magufuli alikuwa anafanya vema mwanzoni...
15 Reactions
153 Replies
18K Views
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee...
43 Reactions
105 Replies
5K Views
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya 1. Rais ni National comforter 2. Rais ni Miezi wa nchi 3. Rais...
41 Reactions
84 Replies
4K Views
Ni wazi ana mfadhaiko, wasi wasi na majuto makali sana hasa baada ya wanaojaribu kutetea ufisadi wake ndani ya chadema kukosa ushawishi na hoja zenye mashiko za kumsafisha na tuhuma hizo za...
2 Reactions
50 Replies
436 Views
Upitishaji haraka kanuni za Ulinzi wa Mashahidi eti kuficha mashahidi! Yote ni kwa sababu ya kuogopa alivyojipanga mheshimiwa Lissu Hii judiciary ya Tanzania ndo maana mmeahirisha ahirisha kesi...
19 Reactions
122 Replies
7K Views
Hauwezi kuwa mkristo halafu wakati huo huo ukawa mshabiki wa Rais @SuluhuSamia , NEVER. Nasema hivi kwa sababu kuwa mkristo ni kuamini na kufuata aliyoyatenda na kuyaishi Yesu Kristo. Yesu...
30 Reactions
61 Replies
2K Views
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imepanga kufanya kikao cha kusikiliza Shauri la Uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu kuanzia tarehe 10/08/2026 hadi tarehe 07/09/2026. Kabla ya...
3 Reactions
15 Replies
441 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela amewasihi wananchi na wanachama wa chama hicho kupuuza video zinazosambaa mtandaoni za watu...
5 Reactions
6 Replies
145 Views
they are coming …...
4 Reactions
16 Replies
528 Views
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya...
14 Reactions
17 Replies
310 Views
Akijibu swali kuhusu kama anaridhishwa kwa mwenendo wa bima ya Afya nchini Rostam Aziz amesema yeye ndio muasisi wa NHIF na hadi sasa anaridhika ila anaomba Wananchi walipe kodi ili kuipa Serikali...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Na ni kwanini Chadema ina wachukia na kuwabagua sana waisilamu na hata ukiangalia uongozi wa Chadema taifa hawapo? Lakini pia hakuna muisilamu na wala hakuna mzanzibari kamati kuu. Na kama wapo...
5 Reactions
125 Replies
1K Views
Nani anajua ndege ya serikali maalum kwa Rais aka Gulf Stream iko wapi? Na kama ipo mbona mkuu wa nchi haitumii kwa safari zake badala yakeainatumia ATC Dreamliner?
2 Reactions
8 Replies
148 Views
Nimefuatilia kwa karibu miradi mingi ya serikali inayowapa makandarasi wazawa, haina fedha. Matokeo yake makandarasi wa kitanzania wameanza kukataa miradi ya serikali. Miradi hii inaambatana na...
12 Reactions
59 Replies
1K Views
================ URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk. For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention...
23 Reactions
127 Replies
3K Views
Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imepanga kufanya kikao cha kusikiliza Shauri la Uhaini Na. 19605/2025. Kikao hicho kitaanza tarehe 10/08/2026 hadi tarehe...
5 Reactions
22 Replies
460 Views
C&p from Mange Kimambi Samia ( delete) anajitoa ufahamu ili kuwahadaaa international community kuhusu hali ya siasa Tz. Chadema waseme mara ngapi conditions za maridhiano kufanyika...
27 Reactions
52 Replies
911 Views
Neno maridhiano limeshika kasi kwa siku za hivi karibuni. Lakini mjadala upo zaidi kwa CHADEMA. Maswali niliyonayo ni nini kilitokea? Chadema hawakushiriki uchaguzi, je watafanya maridhiano gani...
4 Reactions
29 Replies
429 Views
Hili ndilo swali ambalo watu wote wanajiuliza baada ya tamko la Mwenyekiti wa ccm alipokutana na vyama ndugu na rafiki wa kufa n.a. kuzikana vikiwemo CHAUMA na ACT Mwenzao huyo ni nani ?
16 Reactions
59 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…