Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,807
- 50,455
Tajeni kiasi ambacho John Heche amechukua kutoka CHADEMA.
Elezeeni Heche ilikuwaje akachukua hizo Hela na kwa utaratibu upi?
Tajeni akaunti ambazo fedha hizo zilitolewa , benki husika,siku na kiasi kwa kila muamala.
Pia onesheni kama Heche hizo hela alichukua huku signatories wa chama wakijua ama bila ya kujua.
Kila anayetuhumu atueleze yeye binafsi keshachangia kiasi gani kwa CHADEMA.
Pia kila anayetuhumu aoneshe ndani ya mwaka mmoja uliopita amewahi kufanya jambo/kazi gani ya chama.
Kama anayetuhumu ni kiongozi, aeleze ni lini na wapi kwa ngazi aliopo kulifanyika kikao ambacho kimemtuma yeye kusema ama kutoa tuhuma dhidi ya Makamo Mwenyekiti wa chama.
Elezeeni Heche ilikuwaje akachukua hizo Hela na kwa utaratibu upi?
Tajeni akaunti ambazo fedha hizo zilitolewa , benki husika,siku na kiasi kwa kila muamala.
Pia onesheni kama Heche hizo hela alichukua huku signatories wa chama wakijua ama bila ya kujua.
Kila anayetuhumu atueleze yeye binafsi keshachangia kiasi gani kwa CHADEMA.
Pia kila anayetuhumu aoneshe ndani ya mwaka mmoja uliopita amewahi kufanya jambo/kazi gani ya chama.
Kama anayetuhumu ni kiongozi, aeleze ni lini na wapi kwa ngazi aliopo kulifanyika kikao ambacho kimemtuma yeye kusema ama kutoa tuhuma dhidi ya Makamo Mwenyekiti wa chama.