Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

DKT. MWIGULU: KUWEKEZA KWENYE UTAFITI NI NJIA SAHIHI YA MAGEUZI YA KILIMO. ▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu wao Dodoma, Agosti 2, 2026 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji...
1 Reactions
4 Replies
72 Views
Anonymous
Habari, ninaandika uzi huu nikiwa na maumivu makubwa moyoni. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2026, nikiwa nimesoma mchepuo wa PCB katika shule ya serikali. Katika matokeo yangu ya kidato...
13 Reactions
82 Replies
1K Views
Februari 8, 2019 Tundu Lissu pamoja na aliyekywa Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Wilson Masilingi, walichuana vikali katika mahojiano yaliyofanyika VOA, kuhusu suala la shambulio la risasi...
5 Reactions
23 Replies
385 Views
Na hii ni kwasababu, msingi wa muundo wa diplomasia ya Tanzania ni kushinda kila jaribu, iwe ni la kisiasa, kijamii au kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa kutofungamana na upande wowote wa dunia...
1 Reactions
0 Replies
39 Views
Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi. Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi...
20 Reactions
37 Replies
692 Views
Wadau kama heading inavyoeleza, je vyama vilivyoshiriki uchaguzi vina haki ya kushiriki maridhiano?
0 Reactions
14 Replies
163 Views
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kufikia maridhiano ya kweli na ya kudumu bila kuwepo kwa misingi ya ukweli, haki na uwajibikaji. Semu ametoa...
0 Reactions
15 Replies
228 Views
Sudan Kusini Yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU Jakaya Kikwete kusaidia kuweka mambo sawa Kabla ya Uchaguzi wa Kihistoria wa 2026 June 2026 Juba South Sudan Rais wa zamani wa Tanzania na mjumbe...
4 Reactions
49 Replies
865 Views
Kama kuna umuhimu wa maridhiano basi Lissu aachiwe.👇
19 Reactions
29 Replies
678 Views
  • Redirect
Mliwabeza kuwa hawana lolote.👇 Leo mmeomba po dah!
0 Reactions
Replies
Views
Tumekubaliana mawakili wa Chadema sasa tutakuwa tunawapeleka mahakamani watakaokuwa wanakichafua chama kwa manufaa yao. Kwa yeyote mwenye nia ya kukichafua chama kwa manufaa yake yoyote, aache...
1 Reactions
2 Replies
91 Views
Operation Sangara ilianzakabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na operation hii ilienezwa karibia mikoayote Tanzania. Na baada ya uchaguzi mkuu uliogubikwa na mazingira ya utatanishiwa kuipa CCM...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna mtu nilimwambia apush hii kitu akaogopa kutokana na changamoto za kiafya sasa nimeamua kuileta mwenyewe. Kumekua na tabia mmoja mbaya sina uhakika kama Victor Seffu Mkurungenzi wa Tarura...
9 Reactions
63 Replies
1K Views
https://youtu.be/oE6XHuIYiDw?si=z9HOvhkevw48eGvq
0 Reactions
5 Replies
142 Views
Ni lazima serekali iwe kali sana / hawa wanaharakati vibwengo wakifanikiwa tu, taifa linakwenda kuvurugika / Leo atafanikiwa chadema kushika nchi,huu ni mfano tu. Wanaharakati walewale wataona...
3 Reactions
25 Replies
273 Views
Athari za kutoshiriki kwa CHADEMA katika uchaguzi mkuu 1. Ushindani wa kisiasa ulipungua kwa sababu chama kikuu cha upinzani hakikushiriki katika uchaguzi. 2. Wapiga kura walipata chaguo chache...
11 Reactions
36 Replies
667 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameeleza kuwa CHADEMA kimepanga kuziandikia barua taasisi za michezo duniani kama vile FIFA na CAF, pamoja na jumuiya nyingine za kimataifa, ili...
76 Reactions
335 Replies
6K Views
  • Redirect
Serikali ya Tanzania imeiomba Marekani kuondoa vikwazo vya viza kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo, pamoja na vikwazo vingine vya kiuchumi na kiusafiri vilivyowekwa dhidi ya Tanzania...
3 Reactions
Replies
Views
Ayoub rioba afrika imeshakua na madikteta wengi sana ila cha ajabu wameshindwa kuondoa umaskini na kutengeneza taasisi imara kwenye nchi zao Sasa unavyosema chanzo cha matatizo ya afrika ni...
0 Reactions
5 Replies
106 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…