Operation Sangara, M4C ni nini kwa jamii ya TZ??

Operation Sangara, M4C ni nini kwa jamii ya TZ??

Indume

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
81
Reaction score
37
Operation Sangara ilianzakabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na operation hii ilienezwa karibia mikoayote Tanzania. Na baada ya uchaguzi mkuu uliogubikwa na mazingira ya utatanishiwa kuipa CCM ushindi, operation sangara iliendelea tena hasa katika maeneoyenye ngome na ushawishi wa CCM.
Baadaye tena imeanzishwaMovement for Change, aka M4C au Vuguvugu la mabadiliko Tanzania. Hii M4C pia nizoezi linaloendeshwa sana kwa umakini nchi nzima kuratibiwa na kusimamiwa naviongozi waandamizi wa Chadema.
Hoja yangu kubwa ni kuiombaChadema kama chama makini kionyeshe malengo na dhamira ya hizi operations kwawanachama au wafuasi wake. Pia ni vema Chadema kitoe taarika kwa umma ninimatokeo ya hizi operation. Je nini matokeo chanya hasa ya Operation Sangara na M4C angalau ki-Mkoa?? Ni changamoto ganizilizojitokeza wakati wa kutekeleza hizi operation nchini. Je kuna mahusianogani yaliyopo kati ya Operation Sangara na M4C. Ni wakati gani inatumikaOperation Sangara nan i wakati gani inatumika M4C??? Ninajua leo hasa wanachamana wakereketwa hasa wa maeneo ya vijijini hawawezi hasa kujua ni kwa nini ndaniya muda mfupi tu tayari kuna operation mbili kali sana na nini maudhui yake.
Kama kweli kunahutajikamabadiriko ya kweli basi ni vema kuwepo na tathmini na taarifa ya utekelezajiwa operation moja baada ya nyingine. Je 2015 kuna operationnyingine????????????????
 
Operation Sangara ilianzakabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na operation hii ilienezwa karibia mikoayote Tanzania. Na baada ya uchaguzi mkuu uliogubikwa na mazingira ya utatanishiwa kuipa CCM ushindi, operation sangara iliendelea tena hasa katika maeneoyenye ngome na ushawishi wa CCM.
Baadaye tena imeanzishwaMovement for Change, aka M4C au Vuguvugu la mabadiliko Tanzania. Hii M4C pia nizoezi linaloendeshwa sana kwa umakini nchi nzima kuratibiwa na kusimamiwa naviongozi waandamizi wa Chadema.
Hoja yangu kubwa ni kuiombaChadema kama chama makini kionyeshe malengo na dhamira ya hizi operations kwawanachama au wafuasi wake. Pia ni vema Chadema kitoe taarika kwa umma ninimatokeo ya hizi operation. Je nini matokeo chanya hasa ya Operation Sangara na M4C angalau ki-Mkoa?? Ni changamoto ganizilizojitokeza wakati wa kutekeleza hizi operation nchini. Je kuna mahusianogani yaliyopo kati ya Operation Sangara na M4C. Ni wakati gani inatumikaOperation Sangara nan i wakati gani inatumika M4C??? Ninajua leo hasa wanachamana wakereketwa hasa wa maeneo ya vijijini hawawezi hasa kujua ni kwa nini ndaniya muda mfupi tu tayari kuna operation mbili kali sana na nini maudhui yake.
Kama kweli kunahutajikamabadiriko ya kweli basi ni vema kuwepo na tathmini na taarifa ya utekelezajiwa operation moja baada ya nyingine. Je 2015 kuna operationnyingine????????????????

Mi naona waungaji mkono wengi na wanaohudhuria operation hizi hawajiandikishi kupiga kura na wachache waliojiandikisha siku ya kupiga kura hawahamasiki kupiga kura. Ushauri ni kuwa nguvu kubwa ipelekwe katika kuhamasisha uandikishaji wa kupiga kura na upigaji kura weneywe.
 
DUG MSG YAKO NDEFU SANA ATA NIMESOMA ATA NIKACHOKA KUIMALIZIA, AYA ENDELEENI, MI NGOJA NIKATAFUTE MBEGE YA KUTOSHA KWA AJILI YA W.ENd
 
Hizi ni nyakati ambazo CHADEMA ilikuwa na watu wenye akili nyingi. Mbowe, Dr Slaa, Zitto, Mwesigwa Baregu, Prof Safari, Kitila Mkumbo, Mdee, Mnyika, Msigwa na wengine. Walikuwa wakiungwa mkono na hata wasio wanaCHADEMA. Walipoamua kubadili gia angani mwaka 2015 ndo ukawa mwanzo wa wao kuwa kituko.
 
Hizi ni nyakati ambazo CHADEMA ilikuwa na watu wenye akili nyingi. Mbowe, Dr Slaa, Zitto, Mwesigwa Baregu, Prof Safari, Kitila Mkumbo, Mdee, Mnyika, Msigwa na wengine. Walikuwa wakiungwa mkono na hata wasio wanaCHADEMA. Walipoamua kubadili gia angani mwaka 2015 ndo ukawa mwanzo wa wao kuwa kituko.
Nashangaa serikali kuendelea kukihujumu chama kilichokufa. Wanakiogopea nini?
 
Back
Top Bottom