Mbunge Tundu Lissu leo ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar kwa mahojiano, ametakiwa kuripoti tena Septemba 11. Polisi imesema
Chanzo: Mwananchi
Hapo awali Tundu lissu alihojiwa na Polisi...
Kauli hii imetolewa na uongozi wa chama cha DP, kuwa kifo cha Mch. Mtikila kuna mazingira ya utata kufuatia nyenendo zake za hivi karibuni na mikutano aliyoifanya marehemu kwa kuwataja baadhi ya...
Kuna hii kodi wanayotozwa wafanyabiashara ya E-Money Yaani "Tigo Pesa" "Mpesa" "Airtel Money" na nyinginezo kila mwezi zilipitishwa na Bunge letu. Kodi ninayoizungumzia ni ile ya zuio (Witholding...
Julai 13, 2012 Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni iliwasilisha maoni yake kuhusu Mpango na Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013.
Pamoja na mambo...
Wakati Rais Magufuli alipoingia madarakani mwaka 2015 alijua kuwa anaingia kwenye kazi ngumu sana katika kurekebisha hali ya nchi ilipokuwa imefikia.
Kwa ujumla watanzania walikuwa wamechoka na...
Kamati ya Bunge ya Bajeti imesema itaendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa njia ya kielektroniki kwa kuwa mfumo huo umeonyesha mafanikio.
Akizungumza leo Agosti 28 baada ya...
Serikali ya awamu ya tano ni serikali ya watu. Ni serikali ya wanyonge na iko kwa ajili ya kuwahudumia watanzania wote bila kujali itikadi zao za dini, ukabila, ukanda wala vyama vyao vya siasa...
_____________________,,,,,_______________________
Dunia kote kuna mamlaka, na vitabu vitakatifu vinasema mamlaka yote hutoka kwa Mungu, hiyo ni falsafa tu kwamba Watu ni Mungu, na Sauti yao ni ya...
Ukifuatilia kesi ya uchaguzi hasa nafasi ya Urais nchini Kenya,ukiangalia majaji wanavyoruhusu mjadala,mawakili wanavyobishana kwa hoja, vyombo vya habari vinavyotekeleza jukumu lao la kuhabarisha...
Tunaipeleka serikali mahakamani - Zitto Kabwe
Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe ameweka wazi kuwa vyama vya upinzani vinakusudia kwenda Mahakamani kufungua...
Na. Juma George Chikawe
Mpaka tunaingia katika sera ya ubinafsishaji, Tanzania kama nchi ilikuwa na viwanda visivyopungua 400. Imani waliopandikiziwa viongozi wetu wa wakati huo ilikuwa...
Jana Rais anayetetea Acacia Tundu Lisu aliwatangazia mawakili wote waanze mgomo wa siku mbili, yani kuanzia tarehe 28 - 29/8/2017.
Hii ni baada ya ofisi za mawakili wengine wanaotetea Acacia IMMA...
Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma na Jeshi la Polisi nchini, wamelionya Baraza la Uongozi la Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), kutoingilia vyombo vya uchunguzi na upelelezi...
Kiongozi mkubwa sana ACCACIA wa mambo ya kisheria anaitwa Deogratios Mwanyika wakati kuna mwanasheria mwingine mkubwa tu IMMA anaitwa Pascal Mwanyika.Hao watu inasemekana wana undugu wa karibu...
Jamani mie mwenzenu hadi sasa sijaelewa ni kwanini tanzania tulianzisha vyama vyama vingi 1992 .
Maana hadi sasa sijaelewa ni KWANINI tuna vyama vingi.
Maana watu wengi ninawaona wanajiunga na...
KATIKA HILI LAZIMA NISEME
NI AIBU KWETU MAWAKILI
Baada ya kutokea uharifu wa kijinga na kinyama dhidi ya ofisi za mawakili wa kampuni ya IMMA, kumekuwapo na dhana tofauti kuhusu aliyefanya na...
Hii ni aibu kwa watanzania, wanaccm sasa hivi wanahoji kampuni binafsi za uwakili kuwakilisha watu/kampuni dhidi ya serikali, wanaccm hao wanasema kwa kufanya hivyo ni kukosa uzalendo, jamani hii...
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc), limesema wakati wowote litaendesha operesheni ya kubomoa nyumba zote zilizojengwa kando ya Bonde la Mto Msimbazi kinyume cha sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.