Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Balozi huyo amefika kumuona Bwana Sugu baada ya kuruhusiwa kutoka Hospitali, ambako alilazwa akiwa Mahututi kutokana na kipigo cha Polisi wa Tanzania...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Bara John Heche @hechejohn amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu ni tunu ya taifa huku akishinikiza kuachiwa kwa...
Unaweza usione uzito wa kauli hii leo.
Tuendelee kiwaamini hawa wavaa kaundasuti, wavunja tofali wa vichwa (badala ya akili) na wazee wa shuruti bila sheria kwamba watakulinda.
Dawa ya jeuri ni...
"Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza wananchi, vyama vya siasa na wadau wa demokrasia juu ya hitaji la...
Kitendo cha watu kuchagua kiongozi wao ni jambo kubwa sana (Sacred). Ukiiba uchaguzi umepanda mbegu ya Uasi na mgawanyo ndani ya Taifa.
Siku si nyingi Watanzania mitaani watakuwa na Silaha...
Haya ni maombi maalum kwa Marekani wafanye kama walivyofanya kwa Maduro.
Watume vikosi vyao viwachukue Samia na Mafwele walioongoza kumteka na kumshikiria Thadei Kweka ambaye ni raia wa...
Mke Mdogo wa Ndugai, ndio anayetambulika na Serikali Ila kihualisia na mke mkubwa anafahamika na Serikali nikimaanisha wanamjua na anajulikana na viongozi wa Serikali.
Ilibidi wakae nae...
Anawaonea wanyonge, aje huku kama hakunya mkojo. Anawaonea wanyonge akina Venezuela, jaribu hapa uone cha mtema kuni.
WHO ARE YOU, WHO ARE YOU, WHO ARE YOU
Ndugu zangu Watanzania,
Siku yaja Siku za Mbeleni ambapo Wanaomtukana Matusi Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu. Watalia na Kububujikwa...
Jambo lililo dhahiri, na kwa mafundisho ya kiimani, shetani huwatumia wanadamu kufanikidha malengo yake. Sio wote waliopo makanisani au waimbao Bwana Bwana, au wenye majina ya Kikristo, ni waumini...
Kuitumikia kwake serikali na viongozi fisadi na akakubali kuteuliwa nyadhifa mbalimbali serikalini akiyajua yoooote haya na kukaa nayo kimya ni wazi alikuwa ananufaika na huo uozo!!
Nivyema...
Ikumbukwe Komredi Polepole aliitangazia dunia kuwa Lowassa akiwa mgombea Urais kupitia CCM atazungukuka nchi nzima kuwashawishi Wananchi wasiichague CCM
Kilichofuatia CCM ikatikisika na kumkata...
TAARIFA
"Jeshi la Polisi Mbeya lilimkamata kaka yetu Clemence Mwandambo tarehe 29. 12. 2025 alipokuwa ameenda kuripoti na wakakiri kwamba wanamshikilia Katika kituo cha polisi kikuu Mbeya"
"Kaka...
Kukamatwa kwa diaspora na Mkaazi wa Marekani, Thadei Kweka kunaweza kuzidisha msuguano kati ya Marekani na Tanzania. Ikumbukwe kwamba mwezi ujao Marekani inategemea kutoa azimio jipya kuhusu...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeibua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha ya nyota wa soka Msuva akishangilia bao, ikiambatana na maneno "Sarakasi za kiuhalisia, bila ya nywi nywi...
GT
Naendelea kusema maCCM ni Wahuni sana . Huyu Seth toka.mwaka 2016 ni Raia wa Kenya inakuwaje anaingia kwenye siasa za maCCM.
Halafu kuna wqtu wanasema nchi hii ina usalama wa taifa, hakuna...
Matajiri wa ndani ya nchi wamechangia CCM bilioni 86 kwa ajili ya uchaguzi .Kuwa ùpo
Matajiri wawekezaji na wafanyabiashara na walipa kodi wakubwa wanasema uchaguzi utakuwepo lofa gani awezaye...
Tahadhari: Hili swali na hii mada sio ya kibaguzi wa aina yoyote.
Kwa nini utajiri mkubwa wa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wenye asili ya Asia ?
Pia utajiri huo sio wa miaka 10 au 15...
Binafsi naona kuliko kuendelea kudanganywa na akina Sugu kuwa Chadema ni Wapinzani halisi huku Wafuasi wao wakipotea na wengine Wakifa kwa kukipigania chama cha mchongo ni afadhali kabisa maamuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.