Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Balozi huyo amefika kumuona Bwana Sugu baada ya kuruhusiwa kutoka Hospitali, ambako alilazwa akiwa Mahututi kutokana na kipigo cha Polisi wa Tanzania...
52 Reactions
201 Replies
9K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo @chadematzofficial Bara John Heche @hechejohn amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu ni tunu ya taifa huku akishinikiza kuachiwa kwa...
5 Reactions
5 Replies
356 Views
Unaweza usione uzito wa kauli hii leo. Tuendelee kiwaamini hawa wavaa kaundasuti, wavunja tofali wa vichwa (badala ya akili) na wazee wa shuruti bila sheria kwamba watakulinda. Dawa ya jeuri ni...
8 Reactions
15 Replies
445 Views
"Ni ubatili na dharau kubwa kwa Watanzania kuyaita maridhiano sasa katika mazingira ambapo serikali iliamua kwa makusudi kuwapuuza wananchi, vyama vya siasa na wadau wa demokrasia juu ya hitaji la...
2 Reactions
2 Replies
204 Views
Kitendo cha watu kuchagua kiongozi wao ni jambo kubwa sana (Sacred). Ukiiba uchaguzi umepanda mbegu ya Uasi na mgawanyo ndani ya Taifa. Siku si nyingi Watanzania mitaani watakuwa na Silaha...
2 Reactions
4 Replies
179 Views
Haya ni maombi maalum kwa Marekani wafanye kama walivyofanya kwa Maduro. Watume vikosi vyao viwachukue Samia na Mafwele walioongoza kumteka na kumshikiria Thadei Kweka ambaye ni raia wa...
9 Reactions
33 Replies
586 Views
Mke Mdogo wa Ndugai, ndio anayetambulika na Serikali Ila kihualisia na mke mkubwa anafahamika na Serikali nikimaanisha wanamjua na anajulikana na viongozi wa Serikali. Ilibidi wakae nae...
16 Reactions
114 Replies
8K Views
Anawaonea wanyonge, aje huku kama hakunya mkojo. Anawaonea wanyonge akina Venezuela, jaribu hapa uone cha mtema kuni. WHO ARE YOU, WHO ARE YOU, WHO ARE YOU
20 Reactions
49 Replies
935 Views
Ndugu zangu Watanzania, Siku yaja Siku za Mbeleni ambapo Wanaomtukana Matusi Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu. Watalia na Kububujikwa...
0 Reactions
55 Replies
791 Views
Jambo lililo dhahiri, na kwa mafundisho ya kiimani, shetani huwatumia wanadamu kufanikidha malengo yake. Sio wote waliopo makanisani au waimbao Bwana Bwana, au wenye majina ya Kikristo, ni waumini...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
Kuitumikia kwake serikali na viongozi fisadi na akakubali kuteuliwa nyadhifa mbalimbali serikalini akiyajua yoooote haya na kukaa nayo kimya ni wazi alikuwa ananufaika na huo uozo!! Nivyema...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Ikumbukwe Komredi Polepole aliitangazia dunia kuwa Lowassa akiwa mgombea Urais kupitia CCM atazungukuka nchi nzima kuwashawishi Wananchi wasiichague CCM Kilichofuatia CCM ikatikisika na kumkata...
1 Reactions
8 Replies
525 Views
  • Redirect
TAARIFA "Jeshi la Polisi Mbeya lilimkamata kaka yetu Clemence Mwandambo tarehe 29. 12. 2025 alipokuwa ameenda kuripoti na wakakiri kwamba wanamshikilia Katika kituo cha polisi kikuu Mbeya" "Kaka...
0 Reactions
Replies
Views
Kukamatwa kwa diaspora na Mkaazi wa Marekani, Thadei Kweka kunaweza kuzidisha msuguano kati ya Marekani na Tanzania. Ikumbukwe kwamba mwezi ujao Marekani inategemea kutoa azimio jipya kuhusu...
19 Reactions
45 Replies
2K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeibua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha ya nyota wa soka Msuva akishangilia bao, ikiambatana na maneno "Sarakasi za kiuhalisia, bila ya nywi nywi...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
GT Naendelea kusema maCCM ni Wahuni sana . Huyu Seth toka.mwaka 2016 ni Raia wa Kenya inakuwaje anaingia kwenye siasa za maCCM. Halafu kuna wqtu wanasema nchi hii ina usalama wa taifa, hakuna...
19 Reactions
120 Replies
6K Views
Matajiri wa ndani ya nchi wamechangia CCM bilioni 86 kwa ajili ya uchaguzi .Kuwa ùpo Matajiri wawekezaji na wafanyabiashara na walipa kodi wakubwa wanasema uchaguzi utakuwepo lofa gani awezaye...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Tahadhari: Hili swali na hii mada sio ya kibaguzi wa aina yoyote. Kwa nini utajiri mkubwa wa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wenye asili ya Asia ? Pia utajiri huo sio wa miaka 10 au 15...
10 Reactions
133 Replies
5K Views
Binafsi naona kuliko kuendelea kudanganywa na akina Sugu kuwa Chadema ni Wapinzani halisi huku Wafuasi wao wakipotea na wengine Wakifa kwa kukipigania chama cha mchongo ni afadhali kabisa maamuzi...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom