Mjini kinshasa leo hasa Kanisa la St Michael central Kinshasa waumini wa Kikatoliki leo walikuwa na wakati mgumu sana makanisani baada ya wanajeshi wa DRC kuingia maeneo ya IBADA na kuwapiga...
Mbunge wa Jimbo la ubungo kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Sueid Kubenea amesema katika sakata la ununuzi wa wabunge na madiwani kama njegere sokoni, serikali ya CCM ilitenga...
Inawezekana katia barua zao za ajira kuna kigengele hiki ambacho ndio kinawafanya watu wajitoe akili:
"Pamoja na majukume mengine, utawajibika kutetea mamlaka yako ya uteuzi kwa kila jambo,kauli...
Kuna siku mheshimiwa raisi alilalamikia watumiaji wa mitandao kuwa watu wa kukosoa kilakitu kana kwamba hakuna zuri hata moja lililokua likifanywa na serikali yake, Kwa kiwango fulani alikua...
My Hero Tundu Antiphas Lissu,
Thank you. That seems so small to say to someone so largely impactful in my life. I wish I could say more, but I know you wouldn't mind if I didn't even say that...
Napenda kuchukua nafasi hii kuwasalimu na kuwashukuru wote tunaokaribia kuingia mwaka mpya wa 2018.
Tunatarajia kuingia mwaka mpya leo saa sita usiku lakini pia si vibaya tukiangazia masuala...
Kweli kuna ukakasi kwenye suala la shughuli za kisiasa. Wakati mwengine unaweza kupata shida kutofautisha shughuli za Magufuli kama Rais na mwenyekiti wa ccm Kwenye paredi ya wanajeshi Arusha mara...
Habari zenu watanzania wenzangu,
Leo nimetafakari sana kuhusu namna ambavyo viongozi wa serikali ya awamu ya tano wanatusisitizia kuhusu kutokuzungumzia siasa.Baada ya kutafakari kwa makini...
CHAMA Cha Mapinduzi ccm,mkoa wa Arusha kimekanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake kuwa kimekuwa kikilitumia jeshi la polisi mkoani hapa kuwanyanyasa wapinzani wa chama cha chadema ili kufanikisha...
Hakika nimeshtushwa na kauli ya Kamishna Wa TRA juzi juu ya suala la Askofu Kakobe.Najiuliza kwanini Kamishna Wa TRA ameibuka baada ya Askofu Kakobe kutoa Mahubiri?
Baada ya kufuatilia Historia ya Nchi nyingi (zaidi ya 17) zenye uchumi mkubwa duniani; nimejiridhisha kuwa; Tanzania ipo kwenye kipindi cha mpito na inafanya vizuri ukilingalisha na nchi...
Baada ya serikali kutoa mwongozo wa namna ya kufanya siasa nchini, baadhi ya wanasiasa waliibuka na malalamiko kwamba wananyimwa uhuru wa kufanya shughuli zao za kisiasa. Waliibuka na dhana kibao...
Kwanza,
Sijui serikali ni tajiri kiasi gani. Kwa hio kama kusema nina hela zaidi ya serikali sioni tatizo
Pili na Kwanza,
Nasikia serikali inakopa ndani na nje mwaka hadi mwaka na deni la Taifa...
Wadau
Leo tarehe 31 Desemba 2017 kuanzia saa 12:00 jioni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Mh Humphrey Polepole atakuwa moja kwa moja (Live) katika kipindi maalumu cha maswali na majibu kupitia...
KWA NINI TUSIMSAMEHE PROF. LIPUMBA NA TUANZE NAE UPYA AKIWA MWENYEKITI WA CUF?
SEHEMU YA NNE: [FACTS FINDING] Katiba ya CUF;-
Na. Maharagande,
Jamaa zetu wame-‘panic’ hoja makini zinawatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.