Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Leo tarehe 31 Desemba 2017 kuanzia saa 12:00 jioni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Mh Humphrey Polepole atakuwa moja kwa moja (Live) katika kipindi maalumu cha maswali na majibu kupitia ukurasa wake wa Facebook: humphreypolepole.
Nyote mnakaribishwa kushiriki, tafadhali mjulishe na mwenzako.
Chanzo: Humphrey Polepole
Leo tarehe 31 Desemba 2017 kuanzia saa 12:00 jioni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Mh Humphrey Polepole atakuwa moja kwa moja (Live) katika kipindi maalumu cha maswali na majibu kupitia ukurasa wake wa Facebook: humphreypolepole.
Nyote mnakaribishwa kushiriki, tafadhali mjulishe na mwenzako.
Chanzo: Humphrey Polepole