Kama ningekuwa Askofu Kakobe, ningecheza hivi na TRA !

UNDENIABLE

JF-Expert Member
Feb 26, 2013
2,326
1,314
Kwanza,
Sijui serikali ni tajiri kiasi gani. Kwa hio kama kusema nina hela zaidi ya serikali sioni tatizo

Pili na Kwanza,
Nasikia serikali inakopa ndani na nje mwaka hadi mwaka na deni la Taifa hulalamikiwa kuongezeka mwaka hadi mwaka. Mimi wala sijawahi kukopa, sasa kwanini nisisema nina pesa zaidi ya serikali?

Tatu na Kwanza,
Serikali inakimbizana kukusanya kodi, inaomba msaada hapa na pale, mimi naishi kwa sadaka ya waumini yaani sikusanyi kodi, wala sitembezi bakuli kuomba msaada, sasa Je kwa nini nisiseme nina hela kuizidi serikali?

Nne na Kwanza,
Sina majukumu sijui kuimarisha huduma za kijamii hususani hospitali, mashule, ulinzi na mambo kama hayo ila serikali inayo, Jukumu langu ni moja tu KUHUBIRI INJILI YA BWANA YESU KRISTO, sasa kwanini nisiseme nina hela kuishinda serikali?

Tano na Kwanza,
Biblia inatuambia tafuteni kwanza ufalme wa Mbinguni na mengine mtapewa, mimi naona ufalme wa Mbinguni ninao hivyo utajiri nilio nao ni zaidi wa serikali

Sita na Kwanza,
Maandiko matakatifu yanasema Utajiri na Heshima upo mikononi mwa Mungu Baba Muumba. Mimi ni mtumishi wa Mungu Baba Muumba, hivyo utajiri ninao maana upo mikononi mwake

Saba na Kwanza,
Namalizia kwa kusema tena mbele yao mimi nina Utajiri wa kiroho, mwili na nafsi ambazo ni zaidi ya pesa za Dunia yote hii. Naendelea kukazia kwa kusema mimi nina Utajiri kuliko serikali yote ya Dunia hii

Nane na Kwanza,
Naendelea kufuata ratiba yangu ya kuhubiri wala sina muda na wakaguzi wa TRA maana msimamo wa katiba yetu hairuhusu ku audit sadaka wala kulipisha kodi. FULL STOP.

Hapo polisi wataingizwa mkenge kukamata watumishi wa hapo kanisani kwa nguvu. The beginning of chaos !
 
duh! mkulu wahurumie huku mtaani maana vijana wanawaza kuwa [HASHTAG]#kobe[/HASHTAG] watembee na nyumba zao.nilipoona "ningekuwa" uzi mbovu kabisa
 
Kwanza,
Sijui serikali ni tajiri kiasi gani. Kwa hio kama kusema nina hela zaidi ya serikali sioni tatizo

Pili na Kwanza,
Nasikia serikali inakopa ndani na nje mwaka hadi mwaka na deni la Taifa hulalamikiwa kuongezeka mwaka hadi mwaka. Mimi wala sijawahi kukopa, sasa kwanini nisisema nina pesa zaidi ya serikali?

Tatu na Kwanza,
Serikali inakimbizana kukusanya kodi, inaomba msaada hapa na pale, mimi naishi kwa sadaka ya waumini yaani sikusanyi kodi, wala sitembezi bakuli kuomba msaada, sasa Je kwa nini nisiseme nina hela kuizidi serikali?

Nne na Kwanza,
Sina majukumu sijui kuimarisha huduma za kijamii hususani hospitali, mashule, ulinzi na mambo kama hayo ila serikali inayo, Jukumu langu ni moja tu KUHUBIRI INJILI YA BWANA YESU KRISTO, sasa kwanini nisiseme nina hela kuishinda serikali?

Tano na Kwanza,
Biblia inatuambia tafuteni kwanza ufalme wa Mbinguni na mengine mtapewa, mimi naona ufalme wa Mbinguni ninao hivyo utajiri nilio nao ni zaidi wa serikali

Sita na Kwanza,
Maandiko matakatifu yanasema Utajiri na Heshima upo mikononi mwa Mungu Baba Muumba. Mimi ni mtumishi wa Mungu Baba Muumba, hivyo utajiri ninao maana upo mikononi mwake

Saba na Kwanza,
Namalizia kwa kusema tena mbele yao mimi nina Utajiri wa kiroho, mwili na nafsi ambazo ni zaidi ya pesa za Dunia yote hii. Naendelea kukazia kwa kusema mimi nina Utajiri kuliko serikali yote ya Dunia hii

Nane na Kwanza,
Naendelea kufuata ratiba yangu ya kuhubiri wala sina muda na wakaguzi wa TRA maana msimamo wa katiba yetu hairuhusu ku audit sadaka wala kulipisha kodi. FULL STOP.

Hapo polisi wataingizwa mkenge kukamata watumishi wa hapo kanisani kwa nguvu. The beginning of chaos !
NI RAHISI SANA KUJISIFIA UMAHIRI WA KUOGELEA KWENYE MTO UENDAO KASI UKIWA UKINGONI
 
Kwanza,
Sijui serikali ni tajiri kiasi gani. Kwa hio kama kusema nina hela zaidi ya serikali sioni tatizo

Pili na Kwanza,
Nasikia serikali inakopa ndani na nje mwaka hadi mwaka na deni la Taifa hulalamikiwa kuongezeka mwaka hadi mwaka. Mimi wala sijawahi kukopa, sasa kwanini nisisema nina pesa zaidi ya serikali?

Tatu na Kwanza,
Serikali inakimbizana kukusanya kodi, inaomba msaada hapa na pale, mimi naishi kwa sadaka ya waumini yaani sikusanyi kodi, wala sitembezi bakuli kuomba msaada, sasa Je kwa nini nisiseme nina hela kuizidi serikali?

Nne na Kwanza,
Sina majukumu sijui kuimarisha huduma za kijamii hususani hospitali, mashule, ulinzi na mambo kama hayo ila serikali inayo, Jukumu langu ni moja tu KUHUBIRI INJILI YA BWANA YESU KRISTO, sasa kwanini nisiseme nina hela kuishinda serikali?

Tano na Kwanza,
Biblia inatuambia tafuteni kwanza ufalme wa Mbinguni na mengine mtapewa, mimi naona ufalme wa Mbinguni ninao hivyo utajiri nilio nao ni zaidi wa serikali

Sita na Kwanza,
Maandiko matakatifu yanasema Utajiri na Heshima upo mikononi mwa Mungu Baba Muumba. Mimi ni mtumishi wa Mungu Baba Muumba, hivyo utajiri ninao maana upo mikononi mwake

Saba na Kwanza,
Namalizia kwa kusema tena mbele yao mimi nina Utajiri wa kiroho, mwili na nafsi ambazo ni zaidi ya pesa za Dunia yote hii. Naendelea kukazia kwa kusema mimi nina Utajiri kuliko serikali yote ya Dunia hii

Nane na Kwanza,
Naendelea kufuata ratiba yangu ya kuhubiri wala sina muda na wakaguzi wa TRA maana msimamo wa katiba yetu hairuhusu ku audit sadaka wala kulipisha kodi. FULL STOP.

Hapo polisi wataingizwa mkenge kukamata watumishi wa hapo kanisani kwa nguvu. The beginning of chaos !
Mmmh amekusikia
 
Dhubutuuuuuu... Mambo ni motoooooo, asuburie akaguliwe, hawezi kucheza na serikali, yeye tajiri sanaaa kasema ana fedha nyingiiii kuliko serikali yetu, sasa asubirie, na azionyeshe hizo helaaa, hizo hoja zako za kitoto, sbb kaweka wazi ana hela nyingiiii sanaaaaa hata mawaziri wakitaka atawakopesha.. Haaa. Kazi imeanzaa

Hapa Kazi Tu..!!
 
Hatahivyo, Askofu Kakobe hakumaanisha kuwa na utajiri wa Pesa tasilimu km ambavyo CCM wanajaribu bahati yao kueneza propaganda kwa watu baada ya kushindwa kujibu hoja ya msingi ya Askofu huyu. Alimaanisha, anakibali toka kwa Mungu cha kumiliki watu na kuwaongoza kiroho na hao watu humtunza kimaisha hadi milele! Hahitaji kulisumbukia tumbo kwa kubabaishwa na hongo za pesa wala chai. Jambo muhimu na la kuzingatia kwake ni kuyatenda kwa ukamilifu yaliyo ya Mungu na baraka nyingine za Duniani humfuata automatically! Kwa maana hiyo, yeye ni taajiri kuliko Serikali ambayo awamu moja hupita ikimwacha pale pale na nyingine kuja na kuondoka. Ukweli ni kwamba, CCM walimwelewa vizuri sana isipokuwa, wanajaribu bahati yao yakumtafutia kosa kupitia ulimi wake kwa lengo la kulipiza kisasi! Ninawashauri CCM, waache mapambano yasiyo na msingi kwani haijawahi kutokea na haitatokea UWONGO ukazidi nguvu UKWELI, wanajiweka ktk mazingira magumu mno kumg'ang'ania Askofu Kakobe na kadili wanavyofanya figisu ndivyo record ya matukio inavyotunzwa kwa ajili ya vizazi vijavyo!
 
Hatahivyo, Askofu Kakobe hakumaanisha kuwa na utajiri wa Pesa tasilimu km ambavyo CCM wanajaribu bahati yao kueneza propaganda kwa watu baada ya kushindwa kujibu hoja ya msingi ya Askofu huyu. Alimaanisha, anakibali toka kwa Mungu cha kumiliki watu na kuwaongoza kiroho na hao watu humtunza kimaisha hadi milele! Hahitaji kulisumbukia tumbo kwa kubabaishwa na hongo za pesa wala chai. Jambo muhimu na la kuzingatia kwake ni kuyatenda kwa ukamilifu yaliyo ya Mungu na baraka nyingine za Duniani humfuata automatically! Kwa maana hiyo, yeye ni taajiri kuliko Serikali ambayo awamu moja hupita ikimwacha pale pale na nyingine kuja na kuondoka. Ukweli ni kwamba, CCM walimwelewa vizuri sana isipokuwa, wanajaribu bahati yao yakumtafutia kosa kupitia ulimi wake kwa lengo la kulipiza kisasi! Ninawashauri CCM, waache mapambano yasiyo na msingi kwani haijawahi kutokea na haitatokea UWONGO ukazidi nguvu UKWELI, wanajiweka ktk mazingira magumu mno kumg'ang'ania Askofu Kakobe na kadili wanavyofanya figisu ndivyo record ya matukio inavyotunzwa kwa ajili ya vizazi vijavyo!
Hakika
 
Mleta mada acha porojo kasema ana pesa wacha alipe kodi hata yesu aliposema anazo TRA wakamsikia kuwa anasema ana pesa walipomfuata alilipa chap chap bila longolongo mitume mashahidi na Biblia shahidi.Kakobe kama yesu alivyofanya naye alipe tu atoe ushirikiano TRA kama Yesu alivyotoa ushirikiano
 
Back
Top Bottom