Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tukiwa tunapambana na Ripoti ya Jaji Chande. Huenda AFCON 2027 ikapelekwa Bondeni kutokana na na maandalizi duni. Viwanja bado, hoteli duni, barabara hoi. **Tujiandae kwenda bondeni.
9 Reactions
44 Replies
967 Views
Hili tukio inasemekana limetokea Mbeya! Watu wazima wanagombania bagia za bure! Africa inasikitisha na kukatisha tamaa sana. Kama hali Iko hivi Mbeya wanaosemekana ndio wazalishaji wakubwa wa...
14 Reactions
78 Replies
986 Views
gdp per capital income, >95% black countries (ukiondoa visiwa kama Shelisheli na Mauritius) are the richest in afrika, na ilipaswa kuwa hivyo, Botswana: 8,490 usd Namibia: 5,570 usd richer than...
15 Reactions
97 Replies
1K Views
Lengo tuliloweka kama Nchi kupitia Dira ya 2026-2050 ni kubwa sana na linahitaji juhudi za ziada sana. Ni sawa na mtu mwenye Milioni 1 kuweka lengo la Kufikia Milioni Bilioni 1. Kama tutafika...
2 Reactions
14 Replies
123 Views
Kesi ya kupanga njama za kufanya mauaji inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita Vijijini, Neema Steven Chozaile, inatarajiwa kutajwa kesho Jumatano, Agosti 5, 2026, katika Mahakama ya...
6 Reactions
13 Replies
240 Views
Kwenye hadhara utamsikia anauchungu sana na maisha ya watu na ni mzalendo haswa na wana sisitiza wananchi wawe wazalendo Lakini kwenye vikao vyao nyuma ya panzia uzalendo hakuna kuna siku...
4 Reactions
5 Replies
56 Views
Hivi vyama 18 vinataka kuridhiana nini na CCM wakati vilisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, na siku ya kuapishwa vilialikwa na vyote vikampongeza Samia kwa ushindi. Ulishiriki uchaguzi...
19 Reactions
54 Replies
807 Views
Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es salaam, wakipinga vitendo vya Maafisa wa Jiji...
8 Reactions
29 Replies
765 Views
Wakuu, kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na stori moja ya ajabu sana… Tunakumbuka wote jinsi kina Nyalandu, Kombo na Kabudi walivyokuwa wakisafiri duniani kujisafisha dhidi ya ile damu...
9 Reactions
16 Replies
644 Views
My Take 😂😂😂😂😀😀 Chadomo mpo? ------------- Marekani imekuwa ikizishinikiza nchi kadhaa za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikiwa ni pamoja na kutishia kuchukua...
2 Reactions
13 Replies
242 Views
Mhoji (Charles William): Mara nyingi unapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema mzee Azim Dewji...
2 Reactions
19 Replies
595 Views
Kuna upinzani ndani ya CCM na nje ya CCM. Nje ya CCM ni Chadema chini ya Lissu na Heche. Imeonekana haina habari za siasa za kitapeli za kulaghai wananchi. Ndani ya CCM kuna kundi kubwa la...
5 Reactions
19 Replies
254 Views
Mapokezi ya John Heche Tarime. Hata hili eti CCM linawauma. Ukiwa CCM roho mbaya ndo Silaha
8 Reactions
10 Replies
276 Views
Mimi ni mama wa watoto wawili najishugulisha na biashara ya nguo Kariakoo yaani machinga Jana nimepokonywa mzigo wangu na MGAMBO wa jiji kwenda kukomboa wanataka faini ya elfu 50 Mpaka LAKI...
1 Reactions
7 Replies
292 Views
Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi October 29, ilikuwa ni kosa kubwa sana, na ni kosa litakalo wagharimu Wazanzibari na CCM. Ni suala la muda kabla ya Watanganyika kuchoka kuishi na Wazanzibari...
18 Reactions
27 Replies
653 Views
Miaka ya hivi karibuni wanasiasa wamekuwa na nguvu kubwa pengine kuliko kundi lolote kwenye jamii Hii ni kwasababu, hata vyombo vya dola karibu vyote dalili nyingi zinaonyesha vinahofu na...
3 Reactions
6 Replies
88 Views
Ruhusa ya vyama vya siasi kuendelea na Mikutano ya hadhara.
5 Reactions
9 Replies
157 Views
Mbinu za Matume ya Rojo zimeshindikana. Tume kibao halafu zikija zinawekwa kwanye makabati!. Pesa za watanzania zinatumika kutengeneza tume fake za rojo kusafisha wauaji, watekaji na wala rushwa...
0 Reactions
1 Replies
46 Views
Hamjambo! Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani. Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango...
16 Reactions
96 Replies
912 Views
Mwanaharakati, Maria Sarungi ametoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa X usiku huu akidai kuwa Rachel Dangwa hajulikani alipo tangu Ijumaa huko nchini Japan.
14 Reactions
88 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…