Tanzania imefungua vizuizi vya utafutaji wa mafuta ndani ya Ziwa Tanganyika, mojawapo ya maziwa makubwa zaidi ya maji safi duniani yaliyyo kati ya Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu ameonya tabia ya vituo vya afya kuwaagiza wanaanchi wakanunue dawa nje ingali nchi una utoshelevu wa dawa katika maeneo ya kutolea huduma za...
Wanabodi
Leo tumemuaga mwana tasnia ya habari, Dennis Busulwa kwa jina maarufu la Ssebo
Hii ni Tribute yangu to Dennis Busulwa (Ssebo), aliiheshimu sana TCRA na kuiita Baba!. Alitamani TCRA...
Wakuu,
Akizungumza jana kwenye kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo TV Peter Madeleka alisema kwamba Katiba inayotumika sasa ilitegnenezwa ndani ya wiki 2 tu na ilitengenezwa na watu 20 pekee...
Ndugu wanajamvi nauliza hivi baada ya tukio lililotokea hapa mpanda mjini jioni hii.
Leo kulkuwa na pambano la mpira wa miguu kati ya POLISI KATAVI na KAWAJENSE ambapo polisi walishinda 1 bila...
Rais Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike Machi 11, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma.
Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa...
Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI
MRI inatumia sumaku kuzunguka mwili wa binadamu bila mashine yenyewe kuzungusha kitu chochote kile kwa sababu sumaku inakua...
Wanabodi
Leo Tunampumzisha Prof. COSTA RICKY MAHALU, alikuwa ni Wakala wa Mungu hapa Duniani!, aliokoa maisha yangu jijini Rome nchini Italy!.
https://youtu.be/8PEJcraoh5w?si=mNUUwWAPT2J2F6bq...
Mfanyabiashara Rostam Azizi ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Machi 11, 2026 jijini Nairobi, Kenya wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uwekezaji wake katika Kampuni ya Nation Media...
Siku moja inasemekana aliwaza jambo la ajabu sana. Aliita baraza lake la mawaziri na kuwaambia kuwa anafikiria kubadilisha jina la nchi ya Uganda liitwe “Idi.
Ukumbi ukatulia kimya.
Mawaziri...
Huyu Polycarp Pengo alikuwa mnafiki sana.. Na amekuwa kikwazo katika mapambano ya Katiba mpya. Tangu awageuke Maaskofu wenzi nilimdharau sana..
Ukiongea naye, alikuwa anaonekana hata kwwa kauli...
Wakati 'Tume Huru ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea Nchini Oktoba 29.2025 na siku zilizofuata' ikiendelea na majukumu yake, na wakati huu ambao inatajwa kwamba baadhi ya...
Wakuu,
Polisi wameongezeka jijini (Dar es Salaam) kuliko kawaida, maeneo karibu na Mahakama Kuu na sehemu walikokinukisha idadi ya polisi wenye silaha imeongezeka kwa wingi, mpaka wananchi...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ameshiriki katika Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission - JPC), kati ya Jamhuri ya...
13 March 2026
MAHAKAMA KUU TANZANIA YATUPILIA MBALI KESI DHIDI YA TUME YA JAJI CHANDE YA KUCHUNGUZA KILICHOPELEKEA MAANDAMANO NA MAUAJI YA OKTOBA / NOVEMBER 2026
Kesi Nambari 30210 / 2025 dhidi...
UAE President His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan today received a phone call from Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, who expressed...
Makubaliano hayo yatajikita katika,
Kukabiliana na majanga na kutoa msaada wa kibinadamu ni sehemu muhimu ya kudumisha usalama wa kitaifa na wa kimataifa. Leo, Ubalozi wa Marekani uliwasilisha...
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama...