"Wakati Serikali ikijitetea kuifanya TPDC kuwa muagizaji pekee wa mafuta kwa kigezo cha kwamba itapunguza bei ya mafuta nchini, viwango vya faida (premium) vilivyowekwa na Wakala wa Uagizaji...
Tukiwa tunapambana na Ripoti ya Jaji Chande. Huenda AFCON 2027 ikapelekwa Bondeni kutokana na na maandalizi duni. Viwanja bado, hoteli duni, barabara hoi.
**Tujiandae kwenda bondeni.
Hili tukio inasemekana limetokea Mbeya!
Watu wazima wanagombania bagia za bure! Africa inasikitisha na kukatisha tamaa sana.
Kama hali Iko hivi Mbeya wanaosemekana ndio wazalishaji wakubwa wa...
gdp per capital income, >95% black countries (ukiondoa visiwa kama Shelisheli na Mauritius) are the richest in afrika, na ilipaswa kuwa hivyo,
Botswana: 8,490 usd
Namibia: 5,570 usd
richer than...
Lengo tuliloweka kama Nchi kupitia Dira ya 2026-2050 ni kubwa sana na linahitaji juhudi za ziada sana.
Ni sawa na mtu mwenye Milioni 1 kuweka lengo la Kufikia Milioni Bilioni 1.
Kama tutafika...
Kesi ya kupanga njama za kufanya mauaji inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita Vijijini, Neema Steven Chozaile, inatarajiwa kutajwa kesho Jumatano, Agosti 5, 2026, katika Mahakama ya...
Kwenye hadhara utamsikia anauchungu sana na maisha ya watu na ni mzalendo haswa na wana sisitiza wananchi wawe wazalendo
Lakini kwenye vikao vyao nyuma ya panzia uzalendo hakuna
kuna siku...
Hivi vyama 18 vinataka kuridhiana nini na CCM wakati vilisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, na siku ya kuapishwa vilialikwa na vyote vikampongeza Samia kwa ushindi.
Ulishiriki uchaguzi...
Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es salaam, wakipinga vitendo vya Maafisa wa Jiji...
Wakuu, kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na stori moja ya ajabu sana…
Tunakumbuka wote jinsi kina Nyalandu, Kombo na Kabudi walivyokuwa wakisafiri duniani kujisafisha dhidi ya ile damu...
My Take
😂😂😂😂😀😀 Chadomo mpo?
-------------
Marekani imekuwa ikizishinikiza nchi kadhaa za Afrika kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ikiwa ni pamoja na kutishia kuchukua...
Mhoji (Charles William): Mara nyingi unapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema mzee Azim Dewji...
Kuna upinzani ndani ya CCM na nje ya CCM.
Nje ya CCM ni Chadema chini ya Lissu na Heche. Imeonekana haina habari za siasa za kitapeli za kulaghai wananchi.
Ndani ya CCM kuna kundi kubwa la...
Mimi ni mama wa watoto wawili najishugulisha na biashara ya nguo Kariakoo yaani machinga Jana nimepokonywa mzigo wangu na MGAMBO wa jiji kwenda kukomboa wanataka faini ya elfu 50 Mpaka LAKI...
Kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi October 29, ilikuwa ni kosa kubwa sana, na ni kosa litakalo wagharimu Wazanzibari na CCM.
Ni suala la muda kabla ya Watanganyika kuchoka kuishi na Wazanzibari...
Miaka ya hivi karibuni wanasiasa wamekuwa na nguvu kubwa pengine kuliko kundi lolote kwenye jamii
Hii ni kwasababu, hata vyombo vya dola karibu vyote dalili nyingi zinaonyesha vinahofu na...
Mbinu za Matume ya Rojo zimeshindikana. Tume kibao halafu zikija zinawekwa kwanye makabati!.
Pesa za watanzania zinatumika kutengeneza tume fake za rojo kusafisha wauaji, watekaji na wala rushwa...
Hamjambo!
Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani.
Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango...