Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ilianza NCCR ikapotea CUF wakachukua nafasi yao CUF nayo ikapotea CHADEMA ikachukua nafasi ila kwa tulipofika sasa mabadiliko yatapatikana kupitia CHADEMA au hayatapatikana kabisa. Hakuna dalili...
10 Reactions
33 Replies
705 Views
Hongera sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha Diplomasia ya Kiuchumi na kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji nchini Tanzania. Pongezi za dhati kwa hatua hii...
3 Reactions
9 Replies
240 Views
Anaandika Fortunatus Buyobe kwenye Mtandao wa X ==== Juzi niliripoti tukio la jaribio la watu kuniteka. Watu wale wakitumia gari tatu aina ya Land Cruiser na Subaru Forester nyeusi walitaka...
41 Reactions
85 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
2 Reactions
18 Replies
493 Views
Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote. Hajui chain of command. Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything. Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia...
23 Reactions
31 Replies
629 Views
Guys Chadema ilitisha sana kahama pamoja na.mizengwe ya CCM 1. NMB Wakagawa mitungi ya gas bure waaapi. 2. Leseni bure kwa boda boda waapi 3. Asili festival wapiii Watu walikataa yote hayo...
5 Reactions
2 Replies
197 Views
  • Redirect
Hii ni wazi kabisa kuwa serikali inabambikizia watu kesi za uhaini. Mzee Malissa amesota jela bila hatia alafu anakuja kuachiwa kimyakimya!
0 Reactions
Replies
Views
Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu akihojiwa na Wasafi FM leo Mei 20, 2026, amesema hoja za kisiasa zijibiwe kisiasa na sio mwanasiasa atishiwe na kujibiwa na...
0 Reactions
1 Replies
206 Views
Natumia jukwaa kuelezea kauli tata ya Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Chatanda na kumtaka aliyoitoa kuomba radhi kwa kauli hiyo na akemewe. Sina mashaka na uwezo na uzalendo wa Mhe.Chatanda katika...
0 Reactions
31 Replies
657 Views
Akizungumza bungeni leo Mei 21, 2026 wakati wa Maswali na Majibu, Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete amehoji kuhusu mikakati ya Serikali kutatua changamoto za maji zinazozikabili tarafa ya...
1 Reactions
11 Replies
218 Views
Wakuu, Ni ya kweli haya au ndo Ulega anapenda kujiamulia mambo :BBRUHH: Sasa kwa nini watu wanasafiri kwenda Dubai wakati tayari tuko Dubai, Na lile vumbi la Nanjilinji je? -------------- Waziri...
0 Reactions
10 Replies
209 Views
Katika ulimwengu wa ukaguzi wa hesabu forensic auditing na intelijensia ya jinai (criminal intelligence) miradi mikubwa inayohusisha wageni mashuhuri kama Wasanii na wanamichezo, matukio ya...
4 Reactions
4 Replies
210 Views
Katika nadharia ya sayansi ya siasa, uwepo wa uwanja sawa wa ushindani (level playing field) ndio nguzo kuu inayotofautisha mifumo ya kidemokrasia na ile ya kimamlaka (authoritarianism). Kauli ya...
2 Reactions
3 Replies
133 Views
CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha...
2 Reactions
7 Replies
227 Views
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Anita Annet Among, anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa baadhi ya wabunge kufuatia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya...
2 Reactions
2 Replies
168 Views
Kama kweli tuna nia ya dhati ya tume kufanya kazi zake, basi tufuate misingi ya haki. Taasisi ya Rais kuunda tume ya kuchunguza Jinai, ina maana ya Wakuu wote wa taasisi za ulinzi, usalama...
6 Reactions
16 Replies
319 Views
Tazama hadi mwisho. Ona! Jinsi Spika Zungu anavyotumia vibaya mamlaka yake kuzima Sauti ya Wananchi. AdoShaibu ameketishwa chini kilazima kisa tu Spika kaota kuwa Mbunge wa Wananchi ataongea mambo...
2 Reactions
27 Replies
691 Views
Madeleka, warioba, Heche, Mwabukusi nk mnaochambua siasa za Tanzania huku mkionesha kuwa katika taifa la kidemokrasia serikali, vyombo vya Dola na bunge linapaswa,lilipaswa kufanya hiki au kile...
0 Reactions
3 Replies
140 Views
Kama mawazo ya binadamu yangekuwa yanaonekana kwa wengine, heshima yako ingebaki ilivyo au tungekukimbia? Eti, wakuu ungebaki unaheshimika au tungeona vitu vya ajabu mpaka tukakumbia?
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Mpaka Leo Samia suluhu hajui aliyetoa amri ya mauaji ni nani, JE watanzania hatuamini yakuwa mama yetu kipenzi hakuusika katika ushenzini huu? Nakutabilia ushindi mama Samia jipange icc court
1 Reactions
8 Replies
267 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…