Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

PPPC Yamtunuku Mwanaid Araba Tuzo ya Mfanyakazi Hodari 2025|2026 == Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimempongeza Mwanaid Araba, Afisa Mwandamizi Msimamizi wa Fedha...
9 Reactions
49 Replies
1K Views
Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo. "Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
7 Reactions
55 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof Yunus Mgaya amesema hofu ya wananchi inayotokana na falsafa ya kisiasa ya kihistoria inakwamisha ubia katika sekta ya maji...
2 Reactions
9 Replies
228 Views
Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) wamesaini makubaliano muhimu ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha nafasi ya...
3 Reactions
8 Replies
284 Views
Jeshi linalotumwa kuwalindia madaraka Askari mwenye V tatu Mshahara 625,000 /= baada ya makato Huna V hata moja 228,000/= Hii iliongezwa kutoka 215,000/= Kupanda vyeo labda jeshini, polisi...
9 Reactions
22 Replies
572 Views
Kuna hivi vyombo vya habari vya machawa navyo siku hizi wanazungumza siasa, wasafi tv, clouds media na vyombo vingine vya habari zikiwemo youtube channel za machawa, nao siku hizi wanachambua...
8 Reactions
16 Replies
355 Views
Kwa katiba yetu tunajua Amiri Jeshi Mkuu ndo kila kitu kwenye nchi yetu. Sasa hizi tume mnazounda kila siku na kula kodi za wananchi wakati mtuhuumiwa namba moja katiba inamlinda hawezi kufanywa...
5 Reactions
9 Replies
208 Views
Hii ndio habari ambayo hukuambiwa kwenye Mikutano inayoendelea Nchi nzima Mamilioni ambayo Chadema inachangiwa na wananchi katika Mikutano yake ni balaa, huku Taarifa zingine zikionyesha kwamba...
18 Reactions
36 Replies
762 Views
CHADEMA Dodoma Yatia Shaka Mwenendo wa Kesi ya Tundu Lissu 'Haki Inachelewa Kupatikana' wakiendelea kusema wanahitaji Mwenyekiti wao Tundu Lissu awe huru kwa sababu kesi iliyomuweka ndani mwaka...
2 Reactions
6 Replies
191 Views
Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu...
2 Reactions
69 Replies
944 Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani Emmanuela Mtatifikolo ameendelea na kampeni katika Kata ya Mlenge ambapo amewaahidi wananchi wa Kata hiyo kuwa endapo wakipiga kura za ndiyo na kuchagua Chama Cha...
1 Reactions
2 Replies
85 Views
CCM Kazi munayo... hivi hawa watu huwa munawachuja namna gani mpaka munawaleta sebuleni kwa kadamnasi? Sikilizeni wenyewe hapa: https://youtube.com/shorts/DteGyHfWMlI?si=G2EpvTOYd3oogcVh
2 Reactions
7 Replies
162 Views
Hatujui Kombo kapewa taarifa gani, lkn yumkini itakuwa ni kuhusiana na mauaji ya 29/10 na kesi iliyofunguliwa ICC. Waliokuwa wanasema hakuna kesi iliyofunguliwa ICC na kudhani mambo yataisha...
23 Reactions
365 Replies
8K Views
  • Redirect
Rais Samia aunda Tume Maalum ya Jinai Kuchunguza Ghasia za Uchaguzi. Rais Samia Suluhu Hassan ameunda rasmi tume maalum ya uchunguzi wa makosa ya jinai kwa ajili ya kuwabaini na kuwashtaki...
0 Reactions
Replies
Views
Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua, TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption. Ujenzi sasa hivi ni...
3 Reactions
5 Replies
178 Views
Ni kama figisu zimeanza. Makonda hamtaki Mwana FA pale Wizarani. Alichofanya Makonda, ni kumgeuza Msigwa (Katibu Mkuu wa Wizara) kama chawa wake kwenye mitikasi yake pale wizarani. Safari wapo...
32 Reactions
68 Replies
3K Views
Kwa taarifa Tu. Tunaendelea vyema kulipa deni letu huko Iran. Hatuja default hata mara moja (kwa lugha ya kimkopo). Sema sasa ukiniuliza Mkopo tulifanyia nn ndio sijui. Wabillah Taufiq. ---...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wabunge wenye michango yenye mashiko katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo wengi. Lakini hapa wanatajwa wabunge 7 tu ambao wakipewa nafasi ya kuongea, michango yao au hoja zao...
0 Reactions
11 Replies
361 Views
Mama Samia anaunda tume kila siku za kitapeli ambazo wanataka kutumika kusingizia matatizo ya vurugu wapinzani. Wameishiwa mbinu sasa tume zenyewe za mchongo kazi yake ni kuja na mapendekezo ya...
2 Reactions
4 Replies
221 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…