Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kimsingi, huyu mchungaji, waziwazi, anaandika na kuchochea chuki huko YouTube. Anaporomosha matusi na hakuna anayechukua hatua. Ofisi ya msajili wa taasisi za dini nadhani kwa Sasa inatakiwa iamke...
1 Reactions
4 Replies
910 Views
26 April 2023 Berlin, Germany JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania. Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri...
33 Reactions
131 Replies
9K Views
Sijui kwanini kwenye mambo serious Chama Tawala huwa hakipendi kutumia Watu makini. Fikiria Watu kama Kigwangalla, Kibajaj, Msukuma ndio wa kumjibu Bashiru kwa niaba ya Chama Au mtu kama Dkt...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Nakumbuka mzee Lowassa kwenye Uchaguzi mkuu wa 2015 alisema endapo atachaguliwa ataanzisha Wizara ya Dini Sasa kupitia Citizen TV baadhi ya Wabunge wa Kenya wametaka ianzishwe Regulatory...
1 Reactions
14 Replies
825 Views
Kama Mtendewa alitoa fursa ya kuombwa msamaha ili yaishe lakini Mtenda akakataa maana yake ni Moja tu " kiburi" Kwahiyo wanaoomba msamaha leo ndio waliomkosea Mh Membe? Musiba aachwe avune...
15 Reactions
31 Replies
2K Views
MAJIBU YA MHE. MEMBE KWA ASKOFU MWAMAKULA Baba Askofu Salaam na Asante kwa barua yako ambayo umenitaka nimsamehe Musiba kwa sababu Amesalimu Amri na kwamba hana hela hata kama atauza kijiji...
74 Reactions
204 Replies
16K Views
Nimefuatilia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Madini uliofanywa leo 27 April 2023 na Waziri Dotto Biteko Bungeni na nimevutiwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa na sekta hiyo hasa katika...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Bungeni waziri Mkuu Kassim majaliwa amepiga marufuku askari wa wanyamapori kuvamia akitaka watoe taarifa kwa umma juu ya operation, hivi anajua kuwa wenyeviti wa vijiji ndio mawakala wa majangili...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Wanajukwaa Mada tajwa hapo juu inahusika moja kwa moja kwa mjadala mpana. Ombi kwa 1. Serikali kuu 2. Makamu wa rais muungano na mazingira 3. Tamisemi Kwanza mamlaka husika ipongezwe kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa takribani wiki kadhaa nchini Tanzania Kuna "Machoko" watu wamepigwa mvua ya mawe ya miaka 30 jera Kwa kuliwa kalioa! Hicho hapo juu ni kibwagizo ila ni kweli imetokea Tanzania,mnisamehe...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Haiwezekani mwananchi amesafiri kutoka Zanzibar na TV moja used anakuja kutumia nyumbani anafika Bara anaambiwa alipe kodi na hii ni nchi moja, akini anayetoka Morogoro kwenda Dar halipi kodi...
36 Reactions
110 Replies
9K Views
Ajira 21000+ Ni chache Sana, watakosa wengi ,na wengi watahisi bila Pesa /connection huwezi ajiriwa Nashauri, Kigezo kikuu kiwe waliomaliza 2015, 2016, 2017... Hii itasaidia Sana kuondoa...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Pesa zinaliwa, pesa zinaibiwa huku leo tumekopa tena leo kwenda kujenga jenga maofisi na kununulia magari ya kifahari. USSR
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Kumetokea mapigano jijini Khartoum je Watanzania wenzetu waliopo huko wapo Salama? Au tutume ndege chap kwa haraka?
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Esther Edwin Malleko ameiuliza swali Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu "Watu wenye ulemavu wameonekana wakiwa ombaomba na kutumiwa...
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Kutokana na utafiti wangu mdogo nilio ufanya katika nchi ya Tanzania nime gundua kitu kimoja Raia wengi wa Tanzania wanapenda na wanataka nchi yao kuwa na maendeleo kama yalivyo mataifa haya:- i...
1 Reactions
74 Replies
3K Views
Nakuandikia Waziri wangu wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda, Mnamo mwezi Disemba, 2022 wewe Mhe Waziri ulitoa kauli: Waziri Mkenda: Ajira ya Chuo Kikuu isiwe kuangalia GPA pekee lazima wapimwe, wafanye...
26 Reactions
65 Replies
6K Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema wakiwa Ujerumani na makamu Mwenyekiti Tundu Lissu ameomba waungwe mkono na watu wote wanaopenda kudai Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Mnyika...
10 Reactions
96 Replies
6K Views
Tanzania ni nchi ya aina yake kulinganisha na zingine zote duniani. Kwa hakika ni halali wengine kuiita kuwa ni nchi ngumu sana. Chukua muda uisome nchi hii kupitia kwa watu wake. Zanzibar...
1 Reactions
7 Replies
654 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…