TPP
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 650
- 782
Kutokana na utafiti wangu mdogo nilio ufanya katika nchi ya Tanzania nime gundua kitu kimoja
Raia wengi wa Tanzania wanapenda na wanataka nchi yao kuwa na maendeleo kama yalivyo mataifa haya:-
i, Singapore
ii, Malaysia
iii, Korea ( South & North )
iv, Japan
v, China( Hongkong, Macau, Taiwan, PRC )
vi, Vietnam
Ni ukweli usiopingika kuwa maendeleo mapya ya kasi ya kiuchumi ya haya mataifa yameanza miaka ambayo haitofautiani sana na Tanganyika kuwa huru pamoja na muungano wa nchi mbili na kuwa nchi moja Tanzania
Kiwastani maendeleo ya kasi ya kiuchumi ya hizi nchi ni kati ya miaka ya 1950s, 1960s, hasa hasa miaka ya miaka ya 1970s- 1990s
Elimu ina mchango katika maendeleo ya haya mataifa lakini jambo la msingi sana ni "mfumo mzima wa malezi na maisha"
Mfumo wa malezi na maisha wa haya mataifa ulio changiwa kwa asilimia kubwa na falsafa ya "Confucianism" ndio msingi mkuu wa maendeleo ya kasi ya hizi jamii.
Ni rahisi sana nchi kuendelea kama mfumo wa malezi na maisha ya watu wake ni bora kazi ya serikali inakuwa katika mtiririko bora wa kuongoza, ubaya ni kuwa "mfumo wa maisha na malezi wa Watanzania ni mbovu haumuandai mtoto kuwa bora bali dhaifu kidunia".
Falsafa ya "Confucianism" imetawala sehemu kubwa ya East Asia kuanzia China kwenda Japan, Korea, Singapore, Malaysia, Vietnam n.k
Mwanafalsafa Confucius( Kong Qi/Fuzi) wa karne ya 5th-6th B.C.E kutoka China anaheshimika sana China na katika jamii za watu wa East Asia katika kushape societies zao
Watawala waliopo na wanao waongoza Watanzania wanawakilisha mfumo mzima wa malezi na maisha ya Watanzania toka chini(utotoni) mpaka juu (ukubwani)
Kuna wanafalsafa wengi wa kale wamechangia jamii hizi za East Asians kuendelea mpaka hapo walipo Confucius ni moja wao.
Raia wengi wa Tanzania wanapenda na wanataka nchi yao kuwa na maendeleo kama yalivyo mataifa haya:-
i, Singapore
ii, Malaysia
iii, Korea ( South & North )
iv, Japan
v, China( Hongkong, Macau, Taiwan, PRC )
vi, Vietnam
Ni ukweli usiopingika kuwa maendeleo mapya ya kasi ya kiuchumi ya haya mataifa yameanza miaka ambayo haitofautiani sana na Tanganyika kuwa huru pamoja na muungano wa nchi mbili na kuwa nchi moja Tanzania
Kiwastani maendeleo ya kasi ya kiuchumi ya hizi nchi ni kati ya miaka ya 1950s, 1960s, hasa hasa miaka ya miaka ya 1970s- 1990s
Elimu ina mchango katika maendeleo ya haya mataifa lakini jambo la msingi sana ni "mfumo mzima wa malezi na maisha"
Mfumo wa malezi na maisha wa haya mataifa ulio changiwa kwa asilimia kubwa na falsafa ya "Confucianism" ndio msingi mkuu wa maendeleo ya kasi ya hizi jamii.
Ni rahisi sana nchi kuendelea kama mfumo wa malezi na maisha ya watu wake ni bora kazi ya serikali inakuwa katika mtiririko bora wa kuongoza, ubaya ni kuwa "mfumo wa maisha na malezi wa Watanzania ni mbovu haumuandai mtoto kuwa bora bali dhaifu kidunia".
Falsafa ya "Confucianism" imetawala sehemu kubwa ya East Asia kuanzia China kwenda Japan, Korea, Singapore, Malaysia, Vietnam n.k
Mwanafalsafa Confucius( Kong Qi/Fuzi) wa karne ya 5th-6th B.C.E kutoka China anaheshimika sana China na katika jamii za watu wa East Asia katika kushape societies zao
Watawala waliopo na wanao waongoza Watanzania wanawakilisha mfumo mzima wa malezi na maisha ya Watanzania toka chini(utotoni) mpaka juu (ukubwani)
Kuna wanafalsafa wengi wa kale wamechangia jamii hizi za East Asians kuendelea mpaka hapo walipo Confucius ni moja wao.