sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwa takribani wiki kadhaa nchini Tanzania Kuna "Machoko" watu wamepigwa mvua ya mawe ya miaka 30 jera Kwa kuliwa kalioa!
Hicho hapo juu ni kibwagizo ila ni kweli imetokea Tanzania,mnisamehe kibwagizo kina lugha hisiyovishwa nguo maana nataka ujumbe ufike pasi ya aibu.
Kuna kundi nimeliona kwenye mitandao linakemea watu hao wasifungwe,laaaura!
Niyaache hayo Yana mada yake muda ukifika hasa akikamatwa Bahasha mmoja na kufungwa mie ntakuja na Mada.
Kichwa Cha habari kimetokana na andiko la Mzee wetu anae zeeka na utamu wa sura yake, huku uzee ukija na yeye kujiunga na kundi la wanaccm Ili waile nchi yetu kiweuweu!
Yaani Pascaly Mayalla,kupitia andiko lake anadai musiba asamehehewe maana alikuwa mi kichaa,je musiba akijitokeza hadharani na kumshitaki Mayalla yakuwa anamzalilisha Kwa kumuita kichaa na Kwa kesi hiyo akaomba fidia ya Blioni 9 mayalla nae ataweza mlipa?
Kwa kuwa msiba alikuwa anatumwa na Dora je Dora yote na walio iongoza walikuwa vichaa?au walikuwa mashetani?
Je enzi Msiba ana tukana Mayalla hakuwa na bando kuingia jamii forum amwambie msiba amwache Mzee wetu kachero Membe Mzee aliyeitumika nchi hii Kwa weredi?hachana na utetezi zidi ya ndumira kwiri wakina zito Kabwe maana Hawa na mayallya SIE twawaona ni sawa.
Je Maasikofu na viongozi wengine walikuwa wapi,ilihali Membe akitukanwa?Mimi nipo njiani naelekeA ofisi za Yono kuomba kibarua Cha kuwa katika kikosi kazi Cha kwenda kumkata kazi Siripiani Msiba mzalendo wa kweli Ili liwe fundisho Kwa chawa " like u Babu"
Hicho hapo juu ni kibwagizo ila ni kweli imetokea Tanzania,mnisamehe kibwagizo kina lugha hisiyovishwa nguo maana nataka ujumbe ufike pasi ya aibu.
Kuna kundi nimeliona kwenye mitandao linakemea watu hao wasifungwe,laaaura!
Niyaache hayo Yana mada yake muda ukifika hasa akikamatwa Bahasha mmoja na kufungwa mie ntakuja na Mada.
Kichwa Cha habari kimetokana na andiko la Mzee wetu anae zeeka na utamu wa sura yake, huku uzee ukija na yeye kujiunga na kundi la wanaccm Ili waile nchi yetu kiweuweu!
Yaani Pascaly Mayalla,kupitia andiko lake anadai musiba asamehehewe maana alikuwa mi kichaa,je musiba akijitokeza hadharani na kumshitaki Mayalla yakuwa anamzalilisha Kwa kumuita kichaa na Kwa kesi hiyo akaomba fidia ya Blioni 9 mayalla nae ataweza mlipa?
Kwa kuwa msiba alikuwa anatumwa na Dora je Dora yote na walio iongoza walikuwa vichaa?au walikuwa mashetani?
Je enzi Msiba ana tukana Mayalla hakuwa na bando kuingia jamii forum amwambie msiba amwache Mzee wetu kachero Membe Mzee aliyeitumika nchi hii Kwa weredi?hachana na utetezi zidi ya ndumira kwiri wakina zito Kabwe maana Hawa na mayallya SIE twawaona ni sawa.
Je Maasikofu na viongozi wengine walikuwa wapi,ilihali Membe akitukanwa?Mimi nipo njiani naelekeA ofisi za Yono kuomba kibarua Cha kuwa katika kikosi kazi Cha kwenda kumkata kazi Siripiani Msiba mzalendo wa kweli Ili liwe fundisho Kwa chawa " like u Babu"