johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,111
Nakumbuka mzee Lowassa kwenye Uchaguzi mkuu wa 2015 alisema endapo atachaguliwa ataanzisha Wizara ya Dini
Sasa kupitia Citizen TV baadhi ya Wabunge wa Kenya wametaka ianzishwe Regulatory Authority kwa mambo ya Dini na wametaka Mapadre, Mashehe, Wachungaji, Maaskofu na Viongozi wote wa Dini Wachunguzwe mali walizonazo na namna walivyozipata
Hii ni kufuatia kuuawa kwa Watu wengi ambao wamekutwa na alama za kufungwa waya na kubondwa na Vitu vizito vichwani na kisha kila familia kuzikwa kwenye kaburi moja.
Inadaiwa Mackenzie ambaye ni mchungaji alikuwa anatoa mafundisho potofu na kutumia nguvu za giza
Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji, Je Tanzania nasi tuanzishe Mamlaka ya Kudhibiti Dini kufuatia utitiri wa Huduma za Kiroho
Alhamis Barikiwa sana!
Sasa kupitia Citizen TV baadhi ya Wabunge wa Kenya wametaka ianzishwe Regulatory Authority kwa mambo ya Dini na wametaka Mapadre, Mashehe, Wachungaji, Maaskofu na Viongozi wote wa Dini Wachunguzwe mali walizonazo na namna walivyozipata
Hii ni kufuatia kuuawa kwa Watu wengi ambao wamekutwa na alama za kufungwa waya na kubondwa na Vitu vizito vichwani na kisha kila familia kuzikwa kwenye kaburi moja.
Inadaiwa Mackenzie ambaye ni mchungaji alikuwa anatoa mafundisho potofu na kutumia nguvu za giza
Mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji, Je Tanzania nasi tuanzishe Mamlaka ya Kudhibiti Dini kufuatia utitiri wa Huduma za Kiroho
Alhamis Barikiwa sana!