Mtanzania Joe Chialo awa seneta katika jimbo la Berlin Germany

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,321
24,228
26 April 2023
Berlin, Germany

JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN

1682585104771.png
Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na Kukuza Demokrasia katika jimbo la Berlin Ujerumani.

Kufuatia mazungumzo marefu ya maridhiano hayo ya vyama vya siasa nchini Ujerumani baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin kuvurugika mwaka 2021 kisha kurudiwa mwaka huu tarehe 12 February 2023, mwanasiasa wa kijerumani mwenye asili ya Tanzania Bw. Joe Isaya Chialo ameteuliwa kuwa senata wa jimbo la Berlin kupitia chama baada ya makubaliano ya kuunda umoja wa mseto ya vyama vya CDU na SPD kuongoza baraza la seneti la jimbo la Berlin.

Vyama vya siasa vya CDU na SPD walikubaliana kuunda serikali ya mseto katika baraza la seneti la jimbo la Berlin baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin mwaka 2021 kutangazwa na Mahakama ya Katiba ya Berlin kuwa uligubikwa na tafrani ya kimfumo hivyo kufutwa na kurudiwa tarehe 12 February 2023.

Bw. Joe Chialo alizaliwa jijini Bonn Ujerumani ambapo baba yake mzee Isaya Chialo alikuwa balozi wa nchi ya Tanzania katika iliyokuwa Ujerumani ya Magharibi mwaka 1970. Baba yake mbali ya kuiwakilisha Tanzania nchi Ujerumani pia mwana diplomasia nguli aliwahi kuhudumu kama balozi katika nchi za China na Japan.

===========

A lot of work awaits Berlin’s new Senator for Culture, Joe Chialo​

The new state government Berlin has not yet been elected, surprises are theoretically always possible in the capital – especially among the decimated Social Democrats, the grand coalition is anything but popular.

Cross-shots are therefore conceivable up to the election on Thursday, but even if everything goes smoothly: What Joe Chialo (CDU), the designated Berlin Senator for Culture, intends to do in the new office is still a little nebulous.

The previous indications of the man from the music industry, who will soon bear the title “Senator for Culture, Cohesion, Engagement and Democracy Promotion”, remain vague. Such as his announcement that “the cultural and economic aspects” must be “married even better”.

Does that mean that the publicly financed theatres, museums and opera houses should look more closely at sponsors from business and higher income – or that the future culture senator is also interested in segments of the creative economy for which the state government’s economic department is actually responsible? the gaming industry for example?
 
Joe Chialo ni balozi wetu wa 'hiyari' na ndiyo maana masuala mengi ya bara la Afrika ikiwemo Tanzania , Namibia, Kenya n.k hualikwa kuyatolea mawazo katika mahojiano makubwa ktk vituo vya televisheni vya Ujerumani.

Huyu ni mwenzetu na diplomasia yetu mpya ya kufungua nchi na diplomasia ya kiuchumi lazima tuwe karibu naye, katika mahojiano hapa chini anaitaja sana nchi ya asili yake mara kibao, hii inaonesha mtazamo wake kidunia / globally .

AFRIKA KUWA UWANJA WA NCHI KUBWA ZA ULAYA, MAREKANI NA ASIA KUGOMBANIA MALIASILI ?


Pia katika mahojiano hayo Joe Chialo ametoa angalizo kuhusu nchi za magharibi kujaribu kuburuza nchi za kiAfrika maana jambo hilo halitakuwa la manufaa kwa mfano Ujerumani kwani nchi kama China na Russia huwa zinajali kuhusu biashara tofauti na nchi za magharibi zinazohusisha misaada, biashara kuwa lazima haki za kiraia zilizo kinyume na tamadamuni za nchi husika za Afrika zitafanya Ujerumani na nchi za magharibi kushindwa mbio za uwekezaji na ushawishi kama za China na Russia ...

Katika mahojiano na ZDFhuete Nachrichten , Bw. Joe Chialo anazungumzia madini ya graphite ya gari za umeme Tanzania, bandari ya Bagamoyo, Djibouti n.k kama mojawapo ya mifano ya Afrika kuwa kimbilio la dunia kusaka maendeleo endelevu katika miongo michache ijayo .....

Africa the continent of the future. Super powers such as China, Russia and the United States have recognised the powerful potential of the world's second largest continent and are vying for stable partnership with African countries. One state visit follows the other, because the world powers know that stable alliance with Africa promises power, security and above all, natural resources ....
 
Nimesoma article fulani, ilisema jamaa ameukwaa Uwaziri wa hayo masuala ya culture na mazagazaga mengine.

Binafsi ninampongeza. Na kimsingi tulitakiwa kuwa na mahusiano ya karibu katika nyanja mbalimbali na hawa Wajerumani, pamoja na Waingereza. Maana walitutawala kwa mkono wa chima na kuchukua raslimali zetu za kila aina.
 
26 April 2023
Berlin, Germany

JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN

Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na Kukuza Demokrasia katika jimbo la Berlin Ujerumani.

Kufuatia maridhiano hayo mwanasiasa wa kijerumani mwenye asili ya Tanzania Bw. Joe Isaya Chialo ameteuliwa kuwa senata wa jimbo la Berlin kupitia chama baada ya makubaliano ya kuunda umoja wa mseto ya vyama vya CDU na SPD kuongoza baraza la seneti la jimbo la Berlin.

Vyama vya siasa vya CDU na SPD walikubaliana kuunda serikali ya mseto katika baraza la seneti la jimbo la Berlin baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin mwaka 2021 kutangazwa na Mahakama ya Katiba ya Berlin kuwa uligubikwa na tafrani ya kimfumo hivyo kufutwa na kurudiwa tarehe 12 February 2023.

Bw. Joe Chialo alizaliwa jijini Bonn Ujerumani ambapo baba yake mzee Isaya Chialo alikuwa balozi wa nchi ya Tanzania katika iliyokuwa Ujerumani ya Magharibi mwaka 1970. Baba yake mbali ya kuiwakilisha Tanzania nchi Ujerumani pia mwana diplomasia nguli aliwahi kuhudumu kama balozi katika nchi za China na Japan.

===========

A lot of work awaits Berlin’s new Senator for Culture, Joe Chialo​

The new state government Berlin has not yet been elected, surprises are theoretically always possible in the capital – especially among the decimated Social Democrats, the grand coalition is anything but popular.

Cross-shots are therefore conceivable up to the election on Thursday, but even if everything goes smoothly: What Joe Chialo (CDU), the designated Berlin Senator for Culture, intends to do in the new office is still a little nebulous.

The previous indications of the man from the music industry, who will soon bear the title “Senator for Culture, Cohesion, Engagement and Democracy Promotion”, remain vague. Such as his announcement that “the cultural and economic aspects” must be “married even better”.

Does that mean that the publicly financed theatres, museums and opera houses should look more closely at sponsors from business and higher income – or that the future culture senator is also interested in segments of the creative economy for which the state government’s economic department is actually responsible? the gaming industry for example?
Kama kawaida yetu, akifanikiwa mmoja, popote alipo tutaandika kuonyesha ni wa kwetu..!!
 
Kama kawaida yetu, akifanikia mmoja popote alipo tutaandika kuonyesha ni wa kwetu..!!

India, Israel, Kenya, Ethiopia n.k hutumia fursa hii ya diplomasia laini, soft power kupitia ushawishi wa diaspora zenye nasaba na nchi zao.

Tanzania huwa tunawaponda sana diaspora yetu na kuwaona hawana nafasi kutumika kwa manufaa mapana ya kibiashara, elimu, uwekezaji n.k

Nini tatizo la waTanzania kutoona fursa hii?

Diasporas can play an important role in the economic development of their countries of origin. Beyond their well-known role as senders of remittances, diasporas can also promote trade and foreign direct investment, create businesses and spur entrepreneurship, and transfer new knowledge and skills.
 
TOKA MAKTABA:
26 November 2022
Safi kuona kuwa chama cha CDU Germany kina mwanasiasa mwenye asili ya Tanzania mheshimiwa Joseph Chialo.
1682590209804.png

Picha : Mwanasiasa wa Ujerumani kupitia chama cha CDU mheshimiwa Joseph Chialo. CDU-Vorstandsmitglied Joe Chialo: „Wir müssen raus aus diesem Mimimi-Modus“
1682590250510.png

CDU kinaamini katika siasa za usawa na haki hivyo kitaweza kushawishi matokeo chanya yatokee Tanzania kupitia kuunga mkono agenda za CHADEMA.

26 November 2022

Source : Mnyika: Tukiwa Germany tumeomba kuungwa Mkono tunapodai Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi, Sasa tunaelekea Ubelgiji kuwaona EU!
 
Nimesoma article fulani, ilisema jamaa ameukwaa Uwaziri wa hayo masuala ya culture na mazagazaga mengine.

Binafsi ninampongeza. Na kimsingi tulitakiwa kuwa na mahusiano ya karibu katika nyanja mbalimbali na hawa Wajerumani, pamoja na Waingereza. Maana walitutawala kwa mkono wa chima na kuchukua raslimali zetu za kila aina.

Ni kweli wenzetu kote ulimwenguni wanaona mbali, raia mwenye nasaba nao huwa wanamthamini na kumpongeza:

Twitter
https://mobile.twitter.com › status
Mar 30, 2021

30 Mar 2021 — #Burundi: Chama cha CNDD-FDD kinatoa pongezi kwa Dkt P.I. MPANGO baada kuidhinishwa kuwa Makamu wa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 
Back
Top Bottom