26 April 2023
Berlin, Germany
JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN
Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na Kukuza Demokrasia katika jimbo la Berlin Ujerumani.
Kufuatia mazungumzo marefu ya maridhiano hayo ya vyama vya siasa nchini Ujerumani baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin kuvurugika mwaka 2021 kisha kurudiwa mwaka huu tarehe 12 February 2023, mwanasiasa wa kijerumani mwenye asili ya Tanzania Bw. Joe Isaya Chialo ameteuliwa kuwa senata wa jimbo la Berlin kupitia chama baada ya makubaliano ya kuunda umoja wa mseto ya vyama vya CDU na SPD kuongoza baraza la seneti la jimbo la Berlin.
Vyama vya siasa vya CDU na SPD walikubaliana kuunda serikali ya mseto katika baraza la seneti la jimbo la Berlin baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin mwaka 2021 kutangazwa na Mahakama ya Katiba ya Berlin kuwa uligubikwa na tafrani ya kimfumo hivyo kufutwa na kurudiwa tarehe 12 February 2023.
Bw. Joe Chialo alizaliwa jijini Bonn Ujerumani ambapo baba yake mzee Isaya Chialo alikuwa balozi wa nchi ya Tanzania katika iliyokuwa Ujerumani ya Magharibi mwaka 1970. Baba yake mbali ya kuiwakilisha Tanzania nchi Ujerumani pia mwana diplomasia nguli aliwahi kuhudumu kama balozi katika nchi za China na Japan.
===========
Cross-shots are therefore conceivable up to the election on Thursday, but even if everything goes smoothly: What Joe Chialo (CDU), the designated Berlin Senator for Culture, intends to do in the new office is still a little nebulous.
The previous indications of the man from the music industry, who will soon bear the title “Senator for Culture, Cohesion, Engagement and Democracy Promotion”, remain vague. Such as his announcement that “the cultural and economic aspects” must be “married even better”.
Does that mean that the publicly financed theatres, museums and opera houses should look more closely at sponsors from business and higher income – or that the future culture senator is also interested in segments of the creative economy for which the state government’s economic department is actually responsible? the gaming industry for example?
Berlin, Germany
JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN
Kufuatia mazungumzo marefu ya maridhiano hayo ya vyama vya siasa nchini Ujerumani baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin kuvurugika mwaka 2021 kisha kurudiwa mwaka huu tarehe 12 February 2023, mwanasiasa wa kijerumani mwenye asili ya Tanzania Bw. Joe Isaya Chialo ameteuliwa kuwa senata wa jimbo la Berlin kupitia chama baada ya makubaliano ya kuunda umoja wa mseto ya vyama vya CDU na SPD kuongoza baraza la seneti la jimbo la Berlin.
Vyama vya siasa vya CDU na SPD walikubaliana kuunda serikali ya mseto katika baraza la seneti la jimbo la Berlin baada ya uchaguzi wa jimbo la Berlin mwaka 2021 kutangazwa na Mahakama ya Katiba ya Berlin kuwa uligubikwa na tafrani ya kimfumo hivyo kufutwa na kurudiwa tarehe 12 February 2023.
Bw. Joe Chialo alizaliwa jijini Bonn Ujerumani ambapo baba yake mzee Isaya Chialo alikuwa balozi wa nchi ya Tanzania katika iliyokuwa Ujerumani ya Magharibi mwaka 1970. Baba yake mbali ya kuiwakilisha Tanzania nchi Ujerumani pia mwana diplomasia nguli aliwahi kuhudumu kama balozi katika nchi za China na Japan.
===========
A lot of work awaits Berlin’s new Senator for Culture, Joe Chialo
The new state government Berlin has not yet been elected, surprises are theoretically always possible in the capital – especially among the decimated Social Democrats, the grand coalition is anything but popular.Cross-shots are therefore conceivable up to the election on Thursday, but even if everything goes smoothly: What Joe Chialo (CDU), the designated Berlin Senator for Culture, intends to do in the new office is still a little nebulous.
The previous indications of the man from the music industry, who will soon bear the title “Senator for Culture, Cohesion, Engagement and Democracy Promotion”, remain vague. Such as his announcement that “the cultural and economic aspects” must be “married even better”.
Does that mean that the publicly financed theatres, museums and opera houses should look more closely at sponsors from business and higher income – or that the future culture senator is also interested in segments of the creative economy for which the state government’s economic department is actually responsible? the gaming industry for example?