Serikali naipongeza kwa hili, aendelee kuitwa na kupongezwa kila kona. Arudi tena bungeni kupongezwa. Afanyiwe HBD.
Huu ni muda wa kupongeza sio muda wa kuchukua hatua za kudhibiti majanga...
Mradi wa Maji Kigamboni waendela kuleta ahueni.
Tangu kuzinduliwa kwa mradi wa maji Kigamboni maeneo mablimbali ambayo hapo awali yalitegemea maji kwa mgawo tangu kutokea ukame mwezi Oktoba,2022...
Ndugu habari zenu,
Suala la maji safi limekua mtihani hapa Dsm cha ajabu tuna maziwa makubwa tumebarikiwa. Hali ni mbaya sana wananchi wanateseka sana.
Juzi nilikua mitaa ya wazo kisanga road...
Pamoja na yote lakini Mzee Lowassa alikuwa anaona mbali sana ( visionary)
Kama siyo vikwazo alivyokuwa anawekewa Leo tusingeshinda visimani tukihemea Maji
Mlale unono
Nadhani ni kwenye awamu ya nne ya JK, mitambo ya kuzalisha MW 80 ilisimikwa huko Nyakato Mwanza ya kutumia mafuta ya dizeli kwa gharama ya mabilioni mengi ya pesa. Mahitaji ya umeme ya jiji la...
Hata mimi niliamini bila Seleman Methew hakuna Chadema kusini kumbe nilikosea sana
Bado nafuatilia ziara ya Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika halafu nitafanya tathmini
Ila kitendo cha...
Naona Mbowe asali aliyopewa ilikuwa ya kuonjeshwa haijamtidhisha ameanza chokochoko za Kizee ili apewe asali nyingine tena lkn mimi namshauri Samia aendelee kumpa asali ya kuonja ili awe mvumilivu...
Ukisikiliza hoja hapa unaweza ukachoka mwenyewe
Yaan hoja hapa ni "wastani" na uhalali wale wa kutumika kwenye data zote (generalisation)
Maana yake uchukue wastani wa JUMLA iliyogawanya kwa...
Bongo ni kama tunataka kuingia kwemye vitabu vya Guiness kwa kulalamika, ila tunasahau kwamba malalamilo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Ni Barabarani pekee kunako weza kuleta heshima kati ya...
Rais Samia na Mwigulu ni yupi mkweli?!
Hapo juu ni Samia akikiri wazi Tanzania haipo tena uchumi wa kati, imeporomoka na aliahidi atapambana ili ifikapo 2025 uchumi wa Tanzania urejee kwenye...
Ukifika TRA unakuta na mizigo mingi sana kwa mfano TRA pale Longroom pamekua kama godwn la kuhifadhia mizigo,ukiangalia pale Kuna mizigo ya Congo,Rwanda,Burundi,Zimbabwe,Malawi,Zambia...
Wilaya Uyui ina maaajabu yake ambayo nahisi sijawahi ya kuyaona katika wilaya nyingine.
1. Kuna ufisadi wa kutisha katika majengo yaliyojengwa (jengo la mkurugenzi jipya)
Yaani jengo la...
Nauliza tu kwa sababu Mawaziri wa awamu ya 5 walikuwa wanasema usiku hawalali kwa sababu Shujaa anaweza kupiga Simu Hata Saa 9 usiku wa manane
Ndio nauliza ni Kweli Shujaa alikuwa halali...
Ndugu habari zenu,
Unajua sometimes unawaza jinsi nchi yetu ilivyobarikiwa kuwa na bahari, maziwa, mabwawa na mito lakini suala la umeme na maji bado ni shida.
Tuna viongozi ambao hawana uchungu...
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama kinachoshika dola na kinaundwa kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa lakini jambo la kusikitisha sana licha ya Wanachama wake wawili...
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nishati Januari Makamba wamepoteza sifa za kuendelea kubaki kwenye madaraka yao kwa kitumia vibaya nafasi zao za uwaziri kumdanganya Rais wetu Mama...
Kukosekana kwa maji kunasababisha mlipuko wa magonjwa ya kipindupindu typhoid na magonjwa ya kuhara tumbo maana maji machafu husababisha magonjwa ya kuambukiza na magonjwa haya huua watu wengi...
Naweza sema ni mzee Ruksa, Mkapa na mama Samia ndio waliokota dodo chini ya mnazi, Nyerere, Kikwete na Magufuli waliutafuta urais kwa mbinu zote chafu na safi.
Leo tumuangalia Rais Magufuli...
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.
Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama...