Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Serikali imesema kuwa mwaka 2017 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa biashara, ilitoa mwongozo wa pamoja wenye dhima ya kuunganisha tozo na kodi mbalimbali kwa nia ya kupunguza wingi wa tozo...
0 Reactions
1 Replies
486 Views
Salaam Mama Rais Samia. Wakati yalipoanza matukio ya utekaji kipindi cha Serikali ya awamu ya 5; yalikuwa ni matukio mageni. Walakini kama vile hayataki yakawa mazoea kabla ya kuota mizizi...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Baada ya kifo cha Magufuli Zanzibar imekuwa na mabadiliko makubwa kiuchumi, barabara zumepigwa lami nyingi sana. Hawajaanza kuchimba mafuta, zile pesa wamezitoa wapi? Ji ukweli Samia kuna namna...
4 Reactions
14 Replies
799 Views
Ukiwa Mkuu wa mkoa ukijishusha, cheo hakiondoki Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amesema hapendezwi na wakuu wa Mikoa nchini...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Mara zote Huwa nasema Demokrasia haifai kabisa Kwa Nchi maskini na Zenye watu wajinga na wapuuzi ambao hawako tayari kushauriana Bali wanajali matumizi ya Nguvu zaidi. Sasa Kwa hiki...
-2 Reactions
155 Replies
4K Views
Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana. Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni...
6 Reactions
22 Replies
968 Views
Habari wakuu! Huenda ulikuwa mgomo wa siku tatu. Huenda siasa imeingilia suala hili Huenda pumzi imekata. Wachambuzi wa masuala ya migomo na maandamano wanaeleza kuwa mgomo huu wa wakariakoo...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
The government is always there for welfare maximization but not profit maximization. Sasa kwa nini serikali huwa haifikiri kuwa na bank yake ya biashara ili wananchi wawese kuinjoy welfare hiyo...
3 Reactions
17 Replies
676 Views
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote...
36 Reactions
94 Replies
10K Views
Imeandikwa na Boniface Jacob 1. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao zaidi ya 10 na mamlaka ya mapato TRA, hawakupata majibu. 2. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao na serikali...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa. Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu. Huwezi ukajua na madai...
3 Reactions
76 Replies
2K Views
Kama Mtanzania Mzalendo Ungependa Kumshauri Nini Muheshimiwa Hamad Masauni. Kuhusu Maswala Ya Utekaji Na Ukatili Ndani Ya Nchi?
0 Reactions
0 Replies
196 Views
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Mara kadhaa nimeongea kwamba mifumo ya Nchi za Magharibi na Demokrasia Yao haiwezi fanya kazi Afrika.Huwezi weka mifumo Yao ya Utawala kwenye jamii ya wajinga, njaa na wasiojitambua. Matokeo yake...
4 Reactions
71 Replies
4K Views
Jeshi letu limetutenga Watanzania. Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah. Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
8 Reactions
41 Replies
2K Views
SOLOMON Stockbrokers Limited Member of Dar es Salaam Stock Exchange Authorized Dealer of Government Securities www.solomon.co.tz e-Market Report Reach | Access | Invest™ Thursday, June 27, 2024...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
MOJA YA MAMBO YALIYONIFANYA NICHUKIE AWAMU YA TANO NI SUALA LA UTEKAJI. HATA KAMA WAKOSOAJI NI WAPUMBAVU BASI USITUMIKE UPUMBAVU KUKABILIANA NAO. Anaandika, Robért Heriel Mtibeli Suleiman...
5 Reactions
28 Replies
980 Views
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na...
15 Reactions
27 Replies
1K Views
Vijana wa Gen Z jana walikuwa wanafuatilia Kwa makini Mdahalo wa Wazee wawili wanaogombea Urais wa Marekani Gen Z wamesema kasi ya Wazee katika jambo lolote haiwezi kuendana na Kasi ya Dunia ya...
0 Reactions
3 Replies
260 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…