Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Serikali ya Tanzania si ya Majimbo, kila taasisi ipo kitaifa, hakuna taasisi za majimbo Watumishi wa Serikali wanaweza kufanya kazi katika mkoa wowote nchini, bila kujali wanatoka mkoa gani. Kwa...
1 Reactions
43 Replies
399 Views
Mke wa kigogo Ikulu atajwa Kampuni ya uwakili nayo imo Takukuru yaingia kazini MAJINA ya baadhi ya watu walionufaika na fedha za akaunti ya Escrow zilizowekwa katika akaunti ya Benki ya Stanbic...
4 Reactions
77 Replies
19K Views
Kafulila: Serikali Haiwezi Kujenga Kila Kitu, Sekta Binafsi Ipewe Nafasi. == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Serikali...
2 Reactions
13 Replies
59 Views
𝗕𝗔π—₯𝗔𝗭𝗔 π—Ÿπ—” π— π—”π—”π—¦π—žπ—’π—™π—¨ (π—§π—˜π—–) π— π—‘π—”π—§π—¨π—žπ—’π—¦π—˜π—” 𝗦𝗔𝗑𝗔 π—ͺπ—”π—žπ—”π—§π—’π—Ÿπ—œπ—žπ—œ. Tumsifu Yesu Kristo. Jina langu ni Joseph Simon Mapunda, Muumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga Mkoani Ruvuma ambaye kwa mapenzi ya Mungu...
8 Reactions
263 Replies
7K Views
Serikali imeendelea kuiandama familia ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu UDOM alie pewa kesi ya Ugaidi baada ya kuikatia huduma za mhimu familia hiyo. Taarifa iliyotolewa na M/kiti wa UDASA baada ya...
12 Reactions
94 Replies
2K Views
  • Featured
Mbunge Mwita Waitara amesema suala la Katiba Mpya ni jambo muhimu kwa Tanzania, akieleza kuwa kuna mambo matatu ambayo wananchi wanayataka, likiwamo kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi ili...
24 Reactions
72 Replies
1K Views
Hiwezekani serikali inayosema kazi na Utu inakubali raia wake anatoeaka na kupotea kama upepo hii haiwezekani haikubaliki kwa sisi wapenda haki na amani lazima tujue Polepole yuko wapi ni mzima...
9 Reactions
35 Replies
262 Views
Wakuu, Katika mahojiano yaliyofanyika kwenye kipindi cha Kume Pambazuka cha Radio One, Afisa kutoka BOT Henry Joseph amesema kuna tabia iliyokithiri kwa wananchi na wafanyabiashara kutumia mfumo...
6 Reactions
30 Replies
482 Views
Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati Karibuni wote...
24 Reactions
451 Replies
4K Views
Sisi tuliotembea nchi kama South Afrika na Ulaya tunafahamu haya Ukiwa na safari na basi unaweza ukapandia popote. Unaweza ukapandia kwenye ofisi za basi unalotaka kusafiri nalo, ukapandia hata...
14 Reactions
53 Replies
523 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nilishasema kuwa Kama Nchi na kama Taifa tunapaswa kujitoa kwenye Mahakama hiyo ambayo kwa sasa imepoteza mwelekeo,kukumbwa na kashifa mbalimbali ambazo zinaondoa sifa kwa...
3 Reactions
30 Replies
190 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwanza nitoe Pole Kubwa sana kwa Taifa la CAMEROON kufuatia vifo vya watu 107 vilivyotokea baada ya kuporomokewa na Udongo katika eneo la kuchimba Madini . Sasa...
1 Reactions
21 Replies
116 Views
Akichangia hoja Bungeni Aprili 9, 2026, Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby, ametoa wito kwa Serikali kuitaka ianze kuitumia kikamilifu Bandari Kavu ya Kwala iliyopo mkoani Pwani ili kupunguza...
4 Reactions
13 Replies
568 Views
Wananchi wakazi wa Mtaa wa Ally Hassan Mwinyi, Kata ya Mikocheni wilayani Kinondoni Dar es Salaam wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao...
7 Reactions
52 Replies
6K Views
Mbobezi wa Makazi duniani Prof Tibaijuka amesema pale Kariakoo Kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya High density viunganishwe mbele na nyuma Ili Kujenga ghorofa Nimeogopa...
6 Reactions
75 Replies
5K Views
Friends and Enemies, Wafuasi wa chadema na wote wanaoiunga mkono watambue kwamba hakuna kichaka amabacho wanaweza kukitumia kujificha na uhaini na uchochezi waliohusika nao kipindi kile cha...
5 Reactions
129 Replies
853 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mzee Stephen Wasira, akihojiwa leo Agosti 19, 2026, katika kipindi cha UTV amesema Serikali haiwezi kuomba radhi kwani ilitimiza...
8 Reactions
97 Replies
1K Views
Lissu alikuwa mwanaharakati maarufu aliyewatetea wanyonge. Alipata mafanikio makubwa Rufiji alipofanikiwa kumzuia mwekezaji tapeli asiwadhulumu ardhi wanavijiji wengi . Halafu tena katika mgodi...
4 Reactions
11 Replies
177 Views
Leo nimemsikia Ally hapi akisema hatarajii katiba mpya iwe tayari kabla ya 2030. Ikiwa hawa ndio viongozi wa jumuiya za ccm na ndo wafanya maamuzi ndani ya chama kumbe nchimbi alimaanisha hawa
13 Reactions
25 Replies
415 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…