Kwa hali inayo endelea katika jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na maji ya Ziwa Victoria kukosekana maji na eti RC yupo anazunguka zunguka mjini mjini akipeperusha benders kwenye Gari yake ni...
Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
Global Magnitsky Sanctions ni moja ya vikwazo vilivyoongezwa kwenye mabadiliko yaliyofanywa hivi karibuni na bunge la seneti la Marekani kwa serikali ya Tanzania.
Vinawalenga watu binafsi na...
Hamjambo!
Maswali kama nilivyouliza.
Kama wanaojiuza wanatoka Bara na Kenya, je wanunuzi wanatoka wapi?
Na kwa nini Zanzibar iwe soko la biashara hiyo?
Huwezi fungua soko la Dhahabu Iringa...
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Amoni Masinga, amesimulia jinsi askari walivyovamia nyumbani kwake na kuacha watoto wake wawili wakiwa na vilema kutokana...
Hivi karibuni kumekuwa na kauli zenye mwelekeo wa kibaguzi kutoka pande mbili za muungano wetu. Na mpaka sasa hatujasikia kauli thabiti ya serikali kuzikemea kauli hizi.
Wasiwasi wangu, kauli...
Kuna jambo ambalo John Heche, Sigrida Mligo na Ado Shaibu wanapaswa kulijibu kwa Watanzania.
Wamekuwa wakibeza ziara za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wakisema anashughulika na "petty issues"...
Mwezi huu tumeona nchi za afrika mashariki zimeonyesha budget zao, sasa na mimi ambaye nina ambitious za kuwa Rais wa Tanzania nimetoa mapendekezo yangu ya budget
👇
Itakuwa ni budget ya trillion...
Kundi la vijana limezuia shughuli za maziko ya dereva bodaboda Emmanuel Mwanry, yaliyokuwa yafanyike katika Kijiji cha Ngirinyi, Kata ya Levishi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wakishinikiza...
Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU. Wako tayari hospital zikose dawa wananchi wafe hospital kukosekana dawa ila wao na familia zao zinapata matibabu ulaya...
Wakuu,
Tulijua Balile umeshanunuliwa ila hii ni moto wa kuotea mbali, mbali na kutusaliti sisi umejisaliti hadi wewe mwenyewe, yaani unasaliti hata kile ulichoamua kukisimamia na kukipigania...
Mhe.rais naomba msaada wako tafadhali nakuomba uniwezeshe kikao na mgodi wa BARRICK NORTH MARA Ili wanilipe pesa zangu nimemtumia pesa na nguvu zangu kutafuta haki yangu kwanzia ngazi ya chini...
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amekanusha vikali madai kuwa Shilingi Milioni 900 zilizotolewa na wafadhili zitatumika kufadhili maandamano ya mwezi ujao, akisisitiza kuwa kauli hizo ni...
Nadhani tuwekane sawa naona kuwepo kipindi maalumu cha kuwapa mazoezi ya urais wanaochaguliwa, maana mtu akiwa waziri wa wizara fulani hata akiwa rais anadhani ye bado ni waziri wa sekta hiyo Hata...
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Emmanuel Kingu, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini, hatua inayofanya huduma za tiba kuboreshwa kwa...
Wafanyabiashara wa masokoni katika eneo la Manzese wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam wameviomba vyombo vya ulinzi na usalama kuongeza ulinzi kwenye maeneo muhimu ya kufanyia shughuli za...
Kwanini CHADEMA muda wote huwa hawakusema kuhusu kupokea hela, wameamua kujitokeza sasa hivi.
Je kwanini CHADEMA wameificha taasisi inayowapa hela, je kuna ajenda gani.?
Chadema kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.