Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ujumbe wenyewe ni salamu na kumpongeza kwa kazi nzuri ====== Mhe. Rais Magufuli akutana na Mjumbe wa Rais wa Urusi na pia akutana na timu ya ujenzi wa uwanja wa mpira Jijini Dodoma.
1 Reactions
178 Replies
23K Views
Kwa hali ilivyo sasa hivi ni Kwamba CCM haiwezi kumfukuza Chenge, Lowasa wala Rostam, kitu kilichokuwa kinapanfwa ni wao kuwaomba hao Jamaa wajitoe. Huu ni Mchezo wa Kuigiza ambao CCM wameshaona...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Taarifa za kusikitisha kutoka Wilayani Kyela zinaeleza kwamba, ule Mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabara kutoka Ibanda (Njia panda ya boda) hadi Kajunjumele kuelekea Itungi Port umeyeyuka huku...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Kihistoria, ustaarabu wa mapema zaidi katika eneo la Tanzania ulianza zaidi pwani, hasa Zanzibar na miji ya pwani ya Bahari ya Hindi. Zanzibar Zanzibar ilikuwa sehemu ya: Ustaarabu wa Waswahili...
0 Reactions
18 Replies
201 Views
Katika siku za karibuni, dunia ya michezo imeshuhudia tukio lililozua mjadala mkubwa baada ya mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuzuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi...
2 Reactions
29 Replies
364 Views
Haya tuyategemee sisemi Mengi, Ila Taasis zetu hazijajiimarisha kusimamia wanayoyahubiri , Ni sawa kwa Chama makini si rahis kujua mgombea wake Mapema, lakin pia si vizuri kumdanganya na...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Moja ya hadithi mbaya ambayo ipo siku Rais Samia atawahadithia wajukuu zake akiwa madarakani ni ya mauaji ya Oktoba 29. Hii hadithi ataisimulia akiwa anajuta mithili ya hayati Mkapa na mauaji ya...
2 Reactions
5 Replies
159 Views
Kuna kijipointi cha kipuuzi mnakig'ag'ania sana kuwa CHADEMA ni wanaharakati. Harakati hizo ni zipi? Kupinga utekaji, ufusisadi na CHADEMA kutaka Katiba mpya ili tuwe na demokrasia na maendeleo...
5 Reactions
11 Replies
145 Views
Halmashauri ya mji wa Chato kushirikiana na NHC inawaletea MRADI wa uuzwaji wa viwanja
5 Reactions
104 Replies
14K Views
Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Ninapendekezwa kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama...
0 Reactions
6 Replies
295 Views
Sina hakika kama huo muda umeshafika Ngoja niendelee kufuatilia mijadala mbalimbali barani Africa Ahsanteni sana 🇹🇿
8 Reactions
23 Replies
836 Views
Bajeti ya leo Watanganyika mmeingizwa mjini mnajiona. Ushuru wa Magari umepanda Hadi 50% huku sheria ikibadilishwa ili mruhusiwe kusajili magari Zanzibar. Maana yake ni kwamba ili mpate unafuu...
19 Reactions
21 Replies
778 Views
Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
5 Reactions
12 Replies
228 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amemkosoa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akitoa kauli zinazopotosha kuhusu majukumu ya mbunge na nafasi yake...
1 Reactions
10 Replies
260 Views
Asubuhi na mapema jitu zima lina ndevu na mavuzi linadamka kwenye ofisi ya bosi kuanza kupeleka umbea na unafiki. Jitu linakuwa kama linaajike linaloimba taarabu. Wanaume watumishi msiokunywa...
4 Reactions
13 Replies
223 Views
  • Redirect
Sijawai wapenda wazinzibar BILA shaka nao hawanipendi. Natamka tu kero za muungano zimeisha Sasa kero ni muungano wenyewe. Mzanzibari kutawala BARA ni sawa ILA mtanganyika kutawala zenji ni haramu
3 Reactions
Replies
Views
There is no publicly available evidence that cooperation between Russia's Federal Security Service and Tanzania's Tanzania Intelligence and Security Service is intended to "eliminate" people who...
0 Reactions
1 Replies
116 Views
Katika Hali ya kushangaza,Jarida Maarufu la Biashara kutoka kubwa la Mabeberu USA limeripoti taarifa ya kushangaza kwamba Licha ya Tanzania Kunyimwa misaada ila Serikali ya Tanzania imeongeza...
0 Reactions
3 Replies
126 Views
Huyu Haji Manara aliutaka udiwani wa Kariakoo dola ya CCM ikamuweka lakini baada ya kuwekwa hapo kama diwani namuona amekuwa mtangazaji Wasafi na pia anaigiza maigizo ya Kombolela! Muda gani...
10 Reactions
18 Replies
413 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…