Tangu mauji ya October 29, 2025 mpaka November 3, 2025 yatokee yaliyopelekea watawala kushitakiwa katika Mahakama ya ICC, hatujamsikia Samia, Mwigulu, UVCCM na hata Msemaji wa Serikali akisema...
Msanii wa muziki wa Hiphop Emmanuel Elibariki(Nay wa Mitego) amesema hali ya kukataliwa kwa wasanii na mashabiki nchini ni jambo ambalo litatoa somo kwa wasanii kuwa wanapaswa kuwa sauti ya...
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imesema ina wasiwasi kuhusu taarifa za vifo, majeruhi, watu kupotea na kukamatwa katika muktadha wa uchaguzi wa tarehe 29 Oktoba nchini Tanzania...
Msamaha ninaoomba ni kwa sababu nafahamu kuna mahali wadogo zangu hawa walipitiliza na sio kwa sababu walifanya kampeni (ile ni haki yao na uamuzi wao). Najua kuna maneno yalikukera, sio katika...
Serikali ya awamu ya 6, kama inavyojiita Mimi naungana na walio UAWA hata km nipo hai maana naamini sifi Leo naweza kufa Leo na nikaandikwa "sifi Leo Afa Leo"
Imani yangu SI kwa sababu naumwa au...
Hatuna bunduki wala silaha yoyote ila tuna bundle tu lakin tumefanikiwa kuifanya Serikali isimamishe shughuli zote nchi nzima.
Guys!.. guys! guys! sisi ni washindi maana maandamano ya kuiparalyze...
Hamjambo wote!
1. Nashangaa wanaolalamika kuhusu Wananchi kususia wasanii. Mimi mpaka sasa sijaona kama Wananchi wamesusia kazi za wasanii. Bado sijaona. Ni kama wamewapa tuu tishio na sio kwamba...
Taarifa zilizosambaa mitandaoni zinadai kuwa Godfrey Mwambe, aliyewahi kuwa Waziri wakati wa Magufuli ametekwa na kushikiliwa kwa siri Kigamboni huku akipigwa sana na watekaji waliojitambulisha...
Sijui kwanini watanzania wana tabia za kusahau haraka. Tuliambiwa Rais SSH ni mwenye maoni anayeweza kuona mbali na kutenda maajabu. Tulipinga?
Si tuliamini na kuimba sifa na mashairi na tenzi...
Haki ya kuishi ndio haki muhimu kuliko zote chini ya jua. Nimagonjwa pekee , ajari na hukumu za kifo zitolewazo na mahakama halali za haki vyenye uwezo wakumdhulumu binadamu uhai wake..
Kwa...
1. Lengo Kuu: Kusimamisha Shughuli za Uchumi
Kwa mujibu wa hoja zinazoibuka mitandaoni, moja ya malengo ya kundi kubwa la wananchi lililokuwa likiunga mkono maandamano haya ni kuathiri mzunguko wa...
Wote mnaojaribu kutushawishi "kufuta ukungu wa kioo hiki”, nadhani mmeshau kioo kilichovunjika hakifutwi, kinatupwa!
Hali ya kuota ukungu ni ile ya kosa la kibinadamu, hali ya kusahau au kuzidiwa...
Nasikiliza hapa Maria space naona kama anajinyea na kujiharishia kwa hasira jamani , leo anaongea kwa msisitizo na mishipa imemtoka ya shingo kama vile anatumia dawa zileeeeeeeee
2. Mange kimambi...
Ikiwa Chama CHETU kilipata kura Mil 32
Maana yake hawa ni watu wazima karibia nusu ya watz wote
Ikiwa Kazi ya mziki n.k ni ushawishi na uliwashawishi watu mil 32 je hawatoshi kusapoti muziki...
Msanii wa muziki wa Hip Hop Tanzania Wakazi amemjibu Mkurugenzi wa kituo cha Habari cha efmradio Majizzo baada ya Majizzo kuzungumza leo Desemba 11 na kuwaombea msamaha kwa wananchi juu ya...
Akizungumza na vyombo vya habari leo desemba 11, 2025 Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA0), John Heche amesema chama hicho kinaunga mkono madai ya makundi yote ya...
KUHUSU KUKAMATWA NA KUTESWA KWA FAMILIA NA MAJIRANI WA MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA VIJIJINI, BI. NEEMA CHOZAILE
Sisi, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),tunalaani vikali kitendo cha...
Mwijaku unazidi kutukwaza tena wewe hela zako zote ulizovuna kipindi cha siasa ungesaidia maskini ndo tukusamehe alafu wasanii kama walivyo kuwa kwenye gari Diamond ommy Jux Marioo warudi wakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.