Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Usalama wa Taifa tuliyokuwa nao enzi hizo siku hizi nao waitwa MAAFISA, bungeni bunge lote hakuna usalama wa Taifa, ikulu yote haina usalama wa Taifa ndio maana Hayati Magufuli alikuwa anafanya...
7 Reactions
14 Replies
307 Views
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA. Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 . Blaza alipochomoka jamaa...
146 Reactions
421 Replies
32K Views
Hii ni sauti inadaiwa kuwa ya Ahmed Shabiby, mbunge wa Gairo , alipigiwa simu na Mwananchi kuhusu maendeleo lakini yeye akamtukana na anasikika akiagiza watu aliokuwa nao kwamba huyo mwananchi...
4 Reactions
16 Replies
335 Views
  • Redirect
Kuna ka movie kuhusu kifo cha Dr.Kleruu alivyopigwa risasi na Mhehe Mwamindi.Popote movie inapojadiliwa asilimia kubwa wanamuona Mwamwindi kama shujaa.Watawala huo i ujmbe.
2 Reactions
Replies
Views
1. Kuna watu wanapoteza mamilioni ya fedha ,zinaokotwa na kutangaziwa wenyewe na kukabidhiwa 2. Wakati wa Ramadhani, wanakula nje, wakipita wengine wanakarabishwa. Wakiristo wengi...
5 Reactions
137 Replies
863 Views
Ujumbe wenyewe ni salamu na kumpongeza kwa kazi nzuri ====== Mhe. Rais Magufuli akutana na Mjumbe wa Rais wa Urusi na pia akutana na timu ya ujenzi wa uwanja wa mpira Jijini Dodoma.
1 Reactions
178 Replies
23K Views
Kwa hali ilivyo sasa hivi ni Kwamba CCM haiwezi kumfukuza Chenge, Lowasa wala Rostam, kitu kilichokuwa kinapanfwa ni wao kuwaomba hao Jamaa wajitoe. Huu ni Mchezo wa Kuigiza ambao CCM wameshaona...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Taarifa za kusikitisha kutoka Wilayani Kyela zinaeleza kwamba, ule Mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabara kutoka Ibanda (Njia panda ya boda) hadi Kajunjumele kuelekea Itungi Port umeyeyuka huku...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Kihistoria, ustaarabu wa mapema zaidi katika eneo la Tanzania ulianza zaidi pwani, hasa Zanzibar na miji ya pwani ya Bahari ya Hindi. Zanzibar Zanzibar ilikuwa sehemu ya: Ustaarabu wa Waswahili...
0 Reactions
18 Replies
200 Views
Katika siku za karibuni, dunia ya michezo imeshuhudia tukio lililozua mjadala mkubwa baada ya mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuzuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi...
2 Reactions
29 Replies
363 Views
Haya tuyategemee sisemi Mengi, Ila Taasis zetu hazijajiimarisha kusimamia wanayoyahubiri , Ni sawa kwa Chama makini si rahis kujua mgombea wake Mapema, lakin pia si vizuri kumdanganya na...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Moja ya hadithi mbaya ambayo ipo siku Rais Samia atawahadithia wajukuu zake akiwa madarakani ni ya mauaji ya Oktoba 29. Hii hadithi ataisimulia akiwa anajuta mithili ya hayati Mkapa na mauaji ya...
2 Reactions
5 Replies
159 Views
Kuna kijipointi cha kipuuzi mnakig'ag'ania sana kuwa CHADEMA ni wanaharakati. Harakati hizo ni zipi? Kupinga utekaji, ufusisadi na CHADEMA kutaka Katiba mpya ili tuwe na demokrasia na maendeleo...
5 Reactions
11 Replies
145 Views
Halmashauri ya mji wa Chato kushirikiana na NHC inawaletea MRADI wa uuzwaji wa viwanja
5 Reactions
104 Replies
14K Views
Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Ninapendekezwa kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama...
0 Reactions
6 Replies
293 Views
Sina hakika kama huo muda umeshafika Ngoja niendelee kufuatilia mijadala mbalimbali barani Africa Ahsanteni sana 🇹🇿
8 Reactions
23 Replies
836 Views
Bajeti ya leo Watanganyika mmeingizwa mjini mnajiona. Ushuru wa Magari umepanda Hadi 50% huku sheria ikibadilishwa ili mruhusiwe kusajili magari Zanzibar. Maana yake ni kwamba ili mpate unafuu...
19 Reactions
21 Replies
775 Views
Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
5 Reactions
12 Replies
227 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amemkosoa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akitoa kauli zinazopotosha kuhusu majukumu ya mbunge na nafasi yake...
1 Reactions
10 Replies
259 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…