Usalama wa Taifa tuliyokuwa nao enzi hizo siku hizi nao waitwa MAAFISA, bungeni bunge lote hakuna usalama wa Taifa, ikulu yote haina usalama wa Taifa ndio maana Hayati Magufuli alikuwa anafanya...
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.
Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .
Blaza alipochomoka jamaa...
Hii ni sauti inadaiwa kuwa ya Ahmed Shabiby, mbunge wa Gairo , alipigiwa simu na Mwananchi kuhusu maendeleo lakini yeye akamtukana na anasikika akiagiza watu aliokuwa nao kwamba huyo mwananchi...
Kuna ka movie kuhusu kifo cha Dr.Kleruu alivyopigwa risasi na Mhehe Mwamindi.Popote movie inapojadiliwa asilimia kubwa wanamuona Mwamwindi kama shujaa.Watawala huo i ujmbe.
1. Kuna watu wanapoteza mamilioni ya fedha ,zinaokotwa na kutangaziwa wenyewe na kukabidhiwa
2. Wakati wa Ramadhani, wanakula nje, wakipita wengine wanakarabishwa. Wakiristo wengi...
Ujumbe wenyewe ni salamu na kumpongeza kwa kazi nzuri
======
Mhe. Rais Magufuli akutana na Mjumbe wa Rais wa Urusi na pia akutana na timu ya ujenzi wa uwanja wa mpira Jijini Dodoma.
Kwa hali ilivyo sasa hivi ni Kwamba CCM haiwezi kumfukuza Chenge, Lowasa wala Rostam, kitu kilichokuwa kinapanfwa ni wao kuwaomba hao Jamaa wajitoe. Huu ni Mchezo wa Kuigiza ambao CCM wameshaona...
Taarifa za kusikitisha kutoka Wilayani Kyela zinaeleza kwamba, ule Mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabara kutoka Ibanda (Njia panda ya boda) hadi Kajunjumele kuelekea Itungi Port umeyeyuka huku...
Kihistoria, ustaarabu wa mapema zaidi katika eneo la Tanzania ulianza zaidi pwani, hasa Zanzibar na miji ya pwani ya Bahari ya Hindi.
Zanzibar
Zanzibar ilikuwa sehemu ya:
Ustaarabu wa Waswahili...
Katika siku za karibuni, dunia ya michezo imeshuhudia tukio lililozua mjadala mkubwa baada ya mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuzuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi...
Haya tuyategemee sisemi Mengi,
Ila Taasis zetu hazijajiimarisha kusimamia wanayoyahubiri ,
Ni sawa kwa Chama makini si rahis kujua mgombea wake Mapema, lakin pia si vizuri kumdanganya na...
Moja ya hadithi mbaya ambayo ipo siku Rais Samia atawahadithia wajukuu zake akiwa madarakani ni ya mauaji ya Oktoba 29. Hii hadithi ataisimulia akiwa anajuta mithili ya hayati Mkapa na mauaji ya...
Kuna kijipointi cha kipuuzi mnakig'ag'ania sana kuwa CHADEMA ni wanaharakati.
Harakati hizo ni zipi?
Kupinga utekaji, ufusisadi na CHADEMA kutaka Katiba mpya ili tuwe na demokrasia na maendeleo...
Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema .....
Ninapendekezwa kufanya marekebisho ya Sheria ya Usalama...
Bajeti ya leo Watanganyika mmeingizwa mjini mnajiona. Ushuru wa Magari umepanda Hadi 50% huku sheria ikibadilishwa ili mruhusiwe kusajili magari Zanzibar.
Maana yake ni kwamba ili mpate unafuu...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amemkosoa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akidai kuwa amekuwa akitoa kauli zinazopotosha kuhusu majukumu ya mbunge na nafasi yake...