Inayodaiwa kuwa ya sauti ya Mbunge Shabbiy awaagiza watu wake wakamteke mwanachi

Inayodaiwa kuwa ya sauti ya Mbunge Shabbiy awaagiza watu wake wakamteke mwanachi

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
556
Reaction score
1,039
Hii ni sauti inadaiwa kuwa ya Ahmed Shabiby, mbunge wa Gairo , alipigiwa simu na Mwananchi kuhusu maendeleo lakini yeye akamtukana na anasikika akiagiza watu aliokuwa nao kwamba huyo mwananchi akamatwe a***** porini. Huyo mwananchi anaishi kwa mashaka sana kwa sasa

Huyu huwa anajifanya kukosoa mambo ya serikali haramu kimkakati lakini nyuma ya pazia ndio mfadhili mkubwa wa magenge ya waharifu.

 
Hii ni sauti inadaiwa kuwa ya Ahmed Shabiby, mbunge wa Gairo , alipigiwa simu na Mwananchi kuhusu maendeleo lakini yeye akamtukana na anasikika akiagiza watu aliokuwa nao kwamba huyo mwananchi akamatwe a***** porini. Huyo mwananchi anaishi kwa mashaka sana kwa sasa

Huyu huwa anajifanya kukosoa mambo ya serikali haramu kimkakati lakini nyuma ya pazia ndio mfadhili mkubwa wa magenge ya waharifu.

Nenda karipoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe.
 
Haya matendo ya hovyo yamekuwa yakifanywa na viongozi wa hii serikali ya Samia, tena wanasema wazi bila shaka yoyote.

Ajabu utamsikia kwa unafiki kesho anasimama bungeni kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia, wakati yeye mwenyewe akiwa mafichoni anavishabikia.
 
Nimesikia akamatw akaflww
😄

Ova
Aliekua anaongea ni mtu wa pembeni na naona km vile alikua ameacha kuongea na huyo jamaa kwenye simu akaweka simu pembeni wakawa wanaongea mambo mengine ni km amempuuzia maana nimesikia anasema kwenye hio audio hapo mwishoni "usijali wewe kushindwa bado... huyo anatakiwa akamatwe akashindwa kurudi nyumbani..." haya maneno hajayasema aliekua anaongea na simu ameyasema mtu aliekua anaongea pembeni sasa kwa nadharia ya haraka haraka huwezi sema walikua wanamuongelea aliekua anaongea kwenye simu mimi na wewe hatujui wakisema walikua wanataka kukamata kuku au mbuzi utakataa?
 
Imenikumbusha kuna mwaka nikiwa mtumish wa halmashur x huko kusin nilimuuliza swal mbunge x kwenye mkutano wa hadhara alichonjibu niliduwaa AKANIAMBIA WAAMBIE WALIOKUTUMA MIMI BADO NIPO SANA KWENYE JIMBO HILI WAKATAFUTE MAJIMBO MENGINE
mwanasiasa ukimuuliza swal la kero ambayo ameshindwa kuitatua anahisi unataka kumharibia nafasi yake
 
Back
Top Bottom