Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

..Lissu ameyasema hayo ktk mhadhara alioutoa Makerere University. ..foreign policy ni moja ya eneo ambalo Tundu Lissu anasema Watanzania tunapaswa kujivunia na kumuenzi Mwalimu Nyerere.
15 Reactions
48 Replies
2K Views
Picha: Spika Dkt. Tulia Akson Spika wa Bunge, Tulia Ackson ni miongoni wa wabunge waliowasilisha maombi ya kugawa majimbo yao ili kuwa mawili kutokana na ukubwa na wingi wa watu. Taarifa hiyo...
7 Reactions
107 Replies
10K Views
Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa bwawa likikamilika hatutahangaika tena kuhusu umeme, zaidi tutakuwa na umeme wa kutosha hadi tutauza kwa majirani. Ghafla mama akiwa Same amesema itabidi...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Wakuu, Wenyeviti wa mitaa wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, wameungana kwa pamoja kumuombea dua Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kumtakia afya njema, hekima na uongozi mwema ili aendelee...
0 Reactions
9 Replies
517 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) Bi...
0 Reactions
3 Replies
731 Views
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na mabadiliko makubwa...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu, Naona lile wazo la Mbunge wa Kilindi alilolitoa mwaka 2021 kwamba Jimbo la Kilindi ligawanywe mara mbili limeanza kufanyiwa kazi. Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kilindi...
0 Reactions
6 Replies
922 Views
Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Peter Mavunde amegawa vifaa vya tehama vikiwemo kompyuta, printer Kwa shule zote za Serikali za jiji La Dodoma. Sanjali na hayo...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Hivi karibuni nikekuwa nikimuona mdogo wangu Kafulila akitoa maoni yake kwenye kila kitu uenda ni kutokana na nafasi yake ya Ex. Director wa PPPC ndiyo maana anakuwa na munkari ya kuongea sana...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism). Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu. Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari...
70 Reactions
368 Replies
34K Views
Mabalozi wapya wanolewa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefungua rasmi mafunzo kwa mabalozi wapya yenye kuwaongezea uelewa na ujuzi...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
India set to launch its first hydrogen-powered train this month Read more at: India set to launch its first hydrogen-powered train this month - ET EnergyWorld
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Wakuu, Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections? Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya...
10 Reactions
56 Replies
4K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya katika Ukanda wa Maziwa Makuu...
0 Reactions
1 Replies
331 Views
Gujarat to launch Green GIDC, powering industries with 100% renewable energy Read more at: Gujarat to launch Green GIDC, powering industries with 100% renewable energy - ET EnergyWorld
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Solar capacity additions to accelerate with 85-90 GW projected for FY26-27: Report New Delhi: Solar capacity additions in India will accelerate in the Financial Ye .. Read more at: Solar...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
Congo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda...
24 Reactions
157 Replies
6K Views
Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Mapinduzi UVCCM Mkoa wa Geita imelaani vikali baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya Viongozi akiwemo Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Costantine...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Ecoprogetti supplies Texas solar panel maker with 800 MW production line The Italian manufacturing equipment provider supplied U.S. solar manufacturer CS Solar MFG LLC with an 800 MW production...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Back
Top Bottom