Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama cha ACT Wazalendo tunaungana na mamilioni ya Watanzania nchini kuitaka serikali kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama nchini. Leo Machi 22, 2025, tunapoadhimisha Siku ya Maji...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
  • Closed
Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam unawataka raia wa Marekani kuepuka kusafiri kwenda visiwani na maeneo ya pwani kusini mwa Kisiju, Tanzania. Wafanyakazi wa serikali ya Marekani wamezuiwa...
13 Reactions
69 Replies
5K Views
Hakuna aliyewahi kuthibitisha kuwa Tundulisu amewahi kuhujumu mali au fedha za umma hata sh. Mia mbili. Hajawahi kuwa muoga kwasababu ya maslahi. Anaposimamia jambo uhai wake huuweka pembeni...
6 Reactions
15 Replies
711 Views
KAMATI YA UTEKELEZAJI YA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) MKOA WA DAR ES SALAAM IKIONGOZWA NA NDUGU MWENYEKITI NASRA M.RAMADHANI Umoja wa vijana wa CCM Wameandelea na zoezi wilaya...
1 Reactions
3 Replies
463 Views
Akizungumzia zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo limeanza kufanyika katika Mkoa wa Dar es Salaam Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC)...
3 Reactions
14 Replies
791 Views
Mhe. Rais wa Tanzania amefanya mengi sana makubwa na kubwa kuliko yote ni kumalizia Miradi waliyoianzisha yeye na Hayati Magufuli. Ambayo hawakuyaanisha ni mfano kizimkazi festivo ilo sio la...
2 Reactions
7 Replies
802 Views
Hivi karibuni kumeshuhudiwa kuongezeka kwa matumizi makubwa ya pombe kali, hususa kwa vijana kati ya miaka 15 mpk 30, kubeti, uvutaji bangi, mirungi, movi za hovyo, miziki ya hovyo n.k, kama...
19 Reactions
91 Replies
3K Views
Wakuu, Kwahiyo huduma ya maji tunapewa kama hisani, yaani tunabembeleza kupatiwa huduma bora na stahiki! Kwamba kupata maji siku za sikukuu na weekend ni mpaka maelekezo yatoke kwa...
2 Reactions
19 Replies
984 Views
Tanzania imefanya mazungumzo ya makubaliano makubwa ya kuiuzia Zambia umeme wa hadi megawati 1000 kwa mwaka, kupitia mkataba wa ununuzi wa umeme kati ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na...
0 Reactions
6 Replies
712 Views
Kuporomoka kwa thamani ya shilingi ni changamoto inayohitaji mikakati madhubuti ya muda mfupi na mrefu ili kuhakikisha tunarejesha uthabiti wa uchumi wetu. Ili kuimarisha shilingi dhidi ya sarafu...
3 Reactions
4 Replies
512 Views
Rais Samia akizindua Sera ya Taifa ya Maji ya Mwaka 2002 Toleo la Mwaka 2025 Mlimani City, Dar es Salaam https://www.youtube.com/live/7kRHbQNjPp4?si=klF3x6WIcU8awoZZ Viongozi mbalimbali wa chama...
1 Reactions
3 Replies
580 Views
Rais wetu Dokta Samia Suluhu Hassan, inadaiwa anataka kuchanganya damu changa sababu kazungukwa na wazee wakina Wasira na Mizrengo Pinda. Jumaa Aweso ameonekana ni Mchapakazi, sio mla Rushwa...
2 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu, Hamuoni kama inachekesha, yaani kama vile serikali na wizara ya maji inatung'onga! Tunalalamika ukosefu wa huduma hii kila leo, kwa wiki tunapata maji mara moja halafu huko kwenye majukwaa...
1 Reactions
1 Replies
233 Views
Sikutegemea kuona tangazo linalo akisia kurudi kwa ubaguzi wa rangi, miaka 64 baada ya uhuru. Tangazo linalotembea mitandaoni linasoma ubaguzi. ASIANS AND ARABS ONLY NEED APPLY. Haya ni matusi...
15 Reactions
63 Replies
4K Views
Hayati Magufuli amenifundisha usipokuwa na msimamo hutafanikisha jambo la maana hapa duniani kwa sababu ukianzisha jambo watakaokupinga ni watu wako wa karibu na huenda ni wasomi sana kuliko wewe...
19 Reactions
55 Replies
2K Views
Ni vyema kuzingatia kuwa hoja kama hizi zinahitaji kuwasilishwa kwa heshima na staha ili kuonyesha nia njema na kuzingatia utu. Huu hapa ni mfano wa u Kulingana na hesabu za numerology pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
325 Views
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA amezindua mradi wa maji katika Kijiji cha Kwatango wenye thamani ya shilingi milioni 679. Akizindua mradi huo...
1 Reactions
4 Replies
503 Views
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema kuwa tafiti zilizofanywa zimebaini uwepo wa mashaka ya rushwa, hali inayosababishwa na baadhi ya watendaji wasiowaaminifu. Akizungumza...
0 Reactions
1 Replies
573 Views
WAZIRI KOMBO APOKEA NAKALA YA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MTEULE WA UTURUKI NCHINI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thatib Kombo (Mb.)...
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…