PreGE2025 Viongozi wa dini Arusha wamuombea Dua, Mrisho Gambo na Rais Samia

PreGE2025 Viongozi wa dini Arusha wamuombea Dua, Mrisho Gambo na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Sijapewa username bado

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,723
Reaction score
2,762
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Mashaka Gambo amefuturisha viongozi wa Dini ya Kiislam, Yatima na Wajane zaidi ya 1,000 siku ya Jumamosi ya Tarehe 22 March 2025 Jijini Arusha.

Kwenye hafla hiyo viongozi wa Dini wamemuombea DUA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Mashaka Gambo.

Soma Pre GE2025 - ARU - Gambo afuturisha Arusha, asema anajivunia kuwa sehemu ya shughuli hiyo ya kujenga jamii iliyojaa huruma na upendo
 
Posho inafanya kazi yake bado zamu ya DAB Kufuturisha..

Mnamchezea sana shere Mwenyezi Mungu
Crocodile waheeeeed.
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Mashaka Gambo amefuturisha viongozi wa Dini ya Kiislam, Yatima na Wajane zaidi ya 1,000 siku ya Jumamosi ya Tarehe 22 March 2025 Jijini Arusha.

Kwenye hafla hiyo viongozi wa Dini wamemuombea DUA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan pamoja na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Mashaka Gambo.
View attachment 3280540
Soma Pre GE2025 - ARU - Gambo afuturisha Arusha, asema anajivunia kuwa sehemu ya shughuli hiyo ya kujenga jamii iliyojaa huruma na upendo
Mbona kama wamemruka mkuu wa mkoa.Wameenda kumuombea raisi si ilibidi wamuombee na RC ambaye ni mwakilishi wake?
 
Sasa ngoja waliomuomba Paulo agombee ubunge na wao wafuturishwe
 

Waache kutudanganya kuwa hayo maombi uchwara ndio ngao ya CCM

Kimbilio la CCM na wanaoisaidia CCM kuendelea kuwepo tunajua ni Policcm tu hakuna mungu hapo wanalamba posho kupitia pesa za walipakodi.
 
Back
Top Bottom