Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanaomfuatia ni pamoja na Lipumba. Subirini mtaona mengi.
4 Reactions
30 Replies
883 Views
Ila sasa ni afadhali Mno vile Vyama 14 Vya upinzani kwani urafiki Wao na CCM siyo wa kificho Chadema Mchana wako Ufipa na Usiku wako Lumumba Ndani ya Tashrif naelekea Monduli kula Christmas 😄🌹
0 Reactions
3 Replies
210 Views
Ndivyo alivyosema hayati Lyatonga Mrema baada ya kuhamia Nccr Mageuzi akitokea CCM Sijajua huo Ukabila aliouhofia ni wa Jamii gani? Ahsanteni sana 😄
0 Reactions
2 Replies
281 Views
Hii nchi tunakwama pakubwa mno, tunakwama sana kama Taifa. Alfred Mutua acclunt yake, angakia tu profile photo. Account hio ya Riziwani Kikwete angalia Profile Photo yake, ina zungumza yenyewe...
32 Reactions
218 Replies
7K Views
Haya ni maoni yangu binafsi, Mimi nimekua mkereketwa wa Chama hiki nikiamini kua ni chama cha ukombozi, nimekua nikishiriki harakati japo kwa ngazi ya chini, tukipiga kura. Tunabaki kulinda...
6 Reactions
15 Replies
675 Views
Huu ndiyo ukweli mchungu na ndiyo maana labda hata TBC taifa ikawepo kuuhabarisha umma: Mbowe anaashiria maridhiano yalikwama kwa sababu ya negative energy kutoka Chadema “team Lissu.” Kwa...
2 Reactions
7 Replies
558 Views
Ndugu wana JF, Ni ukweli usiofichika mpaka sasa CHADEMA imeshaingia kwenye mtego wa CCM na kazi nzuri iliyofanywa na watu ambao ni very smart na kwa uangalifu mkubwa ni kama imeshamalizika ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Kuhusu Mbowe, Mandela, Nyerere na Maalim Seif... Mlisoma kitabu cha Nelson Mandela cha The Long Walk to Freedom, kiongozi huyo wa zamani wa ANC na baadaye Afrika Kusini anasema wakati alipoanza...
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba apewe Maua yake tu,apewe heshima yake tu.Atambulike na watu wote angali hai kuwa ndiye Mwamba aliyetumia ujana wake wote Kuitesekea na kuijenga CHADEMA kwa...
-2 Reactions
96 Replies
2K Views
Ukweli ni kwamba kwa sasa upepo wa siasa unavuma CHADEMA, macho na masikio ya wengi yameelekea huko. Chama tawala ni kama wamesahaulika kwa muda, je hii ni ishara njema kwao kuelekea 2025? Nini...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Demokrasia Imevuliwa Nguo, sura Mpya ya CHADEMA inaanika Changamoto kubwa Iliyokuwa ikifichwa na wengi ya Uongozi wa Milele imebaki wazi na Kuonekana.. Kilichotokea leo, pale FAM alipotangaza...
15 Reactions
50 Replies
2K Views
Nimeona mitandaoni na kwenye vyombo vya habari inaonekana ccm pamoja na serikali wana matumaini makubwa sana na Mbowe kuliko Lisu. Wako tayari kumpigia kampeni Mbowe na kupiga kampeni dhidi ya...
1 Reactions
10 Replies
664 Views
Mbowe alishaonyesha kila dalili ya kung'atuka.Gia imebadilika baada ya kauli tata za TL. TL katoka Ulaya na wala hakufika ofisi za chams kwanza tuhuma kuwa hakuna maandalizi ya uchaguzi. TL kama...
1 Reactions
1 Replies
237 Views
Habari zote kuhusu Mbowe kung'ang'ania madaraka zipo humu, kwa hiyo hakuna haja ya kurudia. Nimekuja hapa kutoa taarifa tu kwamba nimeshtukia hii deal ya Mbowe na CCM. Sisi sio wajinga wa kufanywa...
44 Reactions
124 Replies
4K Views
..Mashaka yangu ni hayo? ..genge la Mbowe linaelekea kudharau hisia, na akili, za Watanzania. ..kuna viashiria vya Mbowe na genge lake kutaka kuwarudisha Covid-19 katika chama. ..wanajijali wao...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Kama Makonda alitoa kauli ambayo sio ya SERIKALI, ni nani anapaswa kuikana ? Ni Mchengerwa au Gerson Msigwa. Kikawaida ? , Ukitizama vizuri ndani yake kuna chuki kubwa dhidi ya Utendaji wa...
20 Reactions
113 Replies
7K Views
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde). Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na...
56 Reactions
148 Replies
5K Views
Wakuu, Mbowe anasema wanaosema aachie madaraka wakome, hajachoka, bado ana nguvu za kutosha na kuweza kufanya mikutano 8 kwa siku bila kula, kama kuna mtu ana nguvu kama yeye ajitokeze. Mbowe...
6 Reactions
96 Replies
3K Views
AWESO AIPANGUA DAWASA, AIWEKA CHINI YA UANGALIZI MAALUM Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiula Kingu akae...
2 Reactions
56 Replies
4K Views
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na...
21 Reactions
62 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…