Wakuu,
Waandishi Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Kata 33 za Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya wakila kiapo kabla ya kuanza mafunzo ya siku mbili leo tarehe 23 Disemba, 2024.
Mafunzo...
Kaandika ifuatavyo kupitia mtandao wa x:
Sasa ni dhahiri kwamba boots will be on the ground kati ya nyie viongozi wawili ambao kimsingi ukisoma maoni ya wananchi wana hofu kubwa na huku wanachama...
Nimeona kura za maoni zilizo kusanywa na chombo kimoja cha habari cha online,kwamba Tundu lisu kwa mujibu wa kura za maini kapata asilimia 84 dhidi ya Mbowe asilimia 16
Ni dhahiri kwamba wananchi...
Leo jioni katika matangazo yao, wamerusha kipindi kinachozungumzia matukio muhimu ya 2024 hapa Tanzania. Katika matukio ya kisiasa wamekwepa kabisa
kuzungumzia kilichtokea kwenye uchaguzi wa...
Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi...
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.
Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.
Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona...
Mshikemshike nguo kuchanika unazidi kushika kasi, pale nafasi ya M/Taifa wa CHADEMA inapokwenda kushikwa tena katika kipindi kijacho cha miaka mingine mitano. Miamba wakubwa wawili wamejotokeza...
Kuna hoja inatumiwa sana na machawa wa Mbowe kuwa Lissu hawezi kuingoza chadema kwa kuwa ni kapuku na mbangaizaji.
Lakini tumeona viongozi kama Nyerere wakiongoza chama kwa mafanikio bila kuwa...
Maneno Hayo Ameyasema Aliyekuwa Kiongozi wa Kanda ya Kaskazini Mheshimiwa Godbless lema..
Baada ya Kuandila Barua Katika Ukurasa wa Twitter Yenye Messeji kali Sana na Ya Kuhuzunisha na Ikionyesha...
James Mbowe ambaye ni mwanachama mwaminifu wa Bavicha anesema Chadema ina mambo mawili tu mosi Box la Kura litaamua nani aongoze Chadema na pili Baada ya matokeo ni marufuku kuhama chama
Mbowe...
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.
Kamishna wa Polisi Awadhi...
Ni baadhi ya mawazo ya Wazee wangu hapa CCM Kambangwa
Wanasema ije mvua lije jua Tundu Lisu hatakuwa Mwenyekiti wa Chadema na sababu ni rahisi sana Siri ZOTE za mtangulizi wake zitakuwa hadharani...
Kama hujui Wakurugenzi wa Halmashauri ambao wako Chini ya Tamisemi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi mkuu
Safari hii Tamisemi inaongozwa na mwanasheria Mchengerwa ambaye siyo muongeaji sana kama Jafo...
1. Hapakuwepo na maridhiano, bali mazungumzo ya kuelekea maridhiano ambayo yangetupeleka kwenye maridhiano
2. Mbowe hakuandaa warithi:, swali hilo hakulijibu inavyopashwa. Chama ndicho...
Hali ya migogoro ndani ya vyama vya siasa Tanzania, hususan CHADEMA na CCM, inaonyesha mifumo tofauti ya usimamizi wa migogoro na mshikamano wa ndani ya vyama hivi viwili:
CCM:
Licha ya migogoro...
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu...
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea...
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.
Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe...