Wana CCM tujibu hoja za kinachoendelea Ngorongoro. Tumeshindwa kujibu kama hoja za TEC?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea kusikojulikana

Waraka wa TEC kuna wabunge walikiri mbele ya kanisa hawakuelewa chochote lakini waliambiwa wapitishe makubaliano

Na hili la Ngorongoro bado wabunge hawalielewi au mpaka waraka wa TEC kuhusu ngorongoro?

Wana CCM tumjibu Tundu lissu maswali yake ,Akishajibiwa tumuache aende akajionee ukweli huko ngorongoro, Kama mambo mazuri tunaogopa kitu gani?

Je ni kweli Ngorongoro kuna waarabu?

Je, kama wapo wanafanya shughuli gani?

yenye kuzuia mikutano ya kisiasa

Je, kama wapo wana miaka mingapi eneo hilo na wazawa wa eneo hilo wanapata faida gani toka kwa waarabu?

Je, Taifa kama hao waarabu wapo tunakusanya madola ya kimarekani kiasi gani kupunguza upatikanaji wa dola nchini?

Je, Wananchi wa ngorongoro wanaishi kama gerezani hawaruhusiwi kulima wala kufuga na hata hawaruhusiwi kuagiza vyakula nje ya ngorongoro kuwashurutisha wahame?

Je, ni kweli ile zoo ya sharijah Dubai wanayama walisombwa toka Ngorongoro?

Maswali machache lakini badala ya kujibu hoja wana ccm tunatanguliza mipasho na ngonjera

Waraka wa TEC mpaka sasa unaonekana ndio ulioelimisha zaidi jamii kuliko hoja za mtu yeyote
 
Hawa Marais kutoka pwani hawafai mwinyi aliuza ngorongoro kwa waarabu wakahaha wawahamishe wamasai wakashindwa pa kuwapeleka mda wake ukaisha kabla ndugu zake wa kiarabu hawajawaamisha wamasai.

Mkapa akakuta ule mkataba uliouza nchi nani ya nchi hauvunjiki akawaacha wamasai waendelee kukaa pale.

Akaja kikwete ukaibuka mgogoro wa OBC akina slaa wakaugomea make tayari waarabu walishapata mtu wao kutoka pwani wa kuwaamisha wamasai. Lakini ndio kipindi vituko viliibuka kwa twiga kupanda ndege bila kuonekana na urefu wake wote.

Na ndicho kilichomtoa lowasa kwenye uwaziri mkuu kwa kumtengenezea kashfa ya Richmond.

Akaja magufuli aliyejifanya mzalendo kwa kuhalalisha Maeneo wanayokaa wamasai ndani ya ngorongoro yawe Maeneo Yao halali. Tena kwa kuutangazia umma kuwa Kuna nchi ndani ya nchi ambayo hata serikali yake aliyoiongoza kwa mkono wa chuma haukuwa na uwezo wa kurudisha hili eneo Hilo mkononi mwa wananchi matokeo yake kilichomkuta hata shetani hajui.

Bahati mbaya Sasa utawala umeangukia mikononi mwa mwanamke asiye nauwezo wa kifanya maamuzi ya kiuongozi wakamchochea chapchap akawaamisha wamasai kwa nguvu hatimae Hao OBC wameshinda na wamerudi na wanaitaka bandari na wameipata.
 
Himaya ikishikwa mama wanaume hawapaswi kulala ajabu tizii wanaume wengi wanakoromaaaa wengine machawa wachache wanaelewa
 
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea kusikojulikana

Waraka wa TEC kuna wabunge walikiri mbele ya kanisa hawakuelewa chochote lakini waliambiwa wapitishe makubaliano

Na hili la Ngorongoro bado wabunge hawalielewi au mpaka waraka wa TEC kuhusu ngorongoro?

Wana CCM tumjibu Tundu lissu maswali yake ,Akishajibiwa tumuache aende akajionee ukweli huko ngorongoro, Kama mambo mazuri tunaogopa kitu gani?

Je ni kweli Ngorongoro kuna waarabu?

Je, kama wapo wanafanya shughuli gani?

yenye kuzuia mikutano ya kisiasa

Je, kama wapo wana miaka mingapi eneo hilo na wazawa wa eneo hilo wanapata faida gani toka kwa waarabu?

Je, Taifa kama hao waarabu wapo tunakusanya madola ya kimarekani kiasi gani kupunguza upatikanaji wa dola nchini?

Je, Wananchi wa ngorongoro wanaishi kama gerezani hawaruhusiwi kulima wala kufuga na hata hawaruhusiwi kuagiza vyakula nje ya ngorongoro kuwashurutisha wahame?

Je, ni kweli ile zoo ya sharijah Dubai wanayama walisombwa toka Ngorongoro?

Maswali machache lakini badala ya kujibu hoja wana ccm tunatanguliza mipasho na ngonjera

Waraka wa TEC mpaka sasa unaonekana ndio ulioelimisha zaidi jamii kuliko hoja za mtu yeyote
MRA Loading........ Hakuna atakayekubali kwenda kwenye nchi ya utumwa ya Misri!
 
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea kusikojulikana

Waraka wa TEC kuna wabunge walikiri mbele ya kanisa hawakuelewa chochote lakini waliambiwa wapitishe makubaliano

Na hili la Ngorongoro bado wabunge hawalielewi au mpaka waraka wa TEC kuhusu ngorongoro?

Wana CCM tumjibu Tundu lissu maswali yake ,Akishajibiwa tumuache aende akajionee ukweli huko ngorongoro, Kama mambo mazuri tunaogopa kitu gani?

Je ni kweli Ngorongoro kuna waarabu?

Je, kama wapo wanafanya shughuli gani?

yenye kuzuia mikutano ya kisiasa

Je, kama wapo wana miaka mingapi eneo hilo na wazawa wa eneo hilo wanapata faida gani toka kwa waarabu?

Je, Taifa kama hao waarabu wapo tunakusanya madola ya kimarekani kiasi gani kupunguza upatikanaji wa dola nchini?

Je, Wananchi wa ngorongoro wanaishi kama gerezani hawaruhusiwi kulima wala kufuga na hata hawaruhusiwi kuagiza vyakula nje ya ngorongoro kuwashurutisha wahame?

Je, ni kweli ile zoo ya sharijah Dubai wanayama walisombwa toka Ngorongoro?

Maswali machache lakini badala ya kujibu hoja wana ccm tunatanguliza mipasho na ngonjera

Waraka wa TEC mpaka sasa unaonekana ndio ulioelimisha zaidi jamii kuliko hoja za mtu yeyote
CCM -akili ndogo, wizi mkubwa, na uzalendo sifuri.
 
Hawa Marais kutoka pwani hawafai mwinyi aliuza ngorongoro kwa waarabu wakahaha wawahamishe wamasai wakashindwa pa kuwapeleka mda wake ukaisha kabla ndugu zake wa kiarabu hawajawaamisha wamasai.

Mkapa akakuta ule mkataba uliouza nchi nani ya nchi hauvunjiki akawaacha wamasai waendelee kukaa pale.

Akaja kikwete ukaibuka mgogoro wa OBC akina slaa wakaugomea make tayari waarabu walishapata mtu wao kutoka pwani wa kuwaamisha wamasai. Lakini ndio kipindi vituko viliibuka kwa twiga kupanda ndege bila kuonekana na urefu wake wote.

Na ndicho kilichomtoa lowasa kwenye uwaziri mkuu kwa kumtengenezea kashfa ya Richmond.

Akaja magufuli aliyejifanya mzalendo kwa kuhalalisha Maeneo wanayokaa wamasai ndani ya ngorongoro yawe Maeneo Yao halali. Tena kwa kuutangazia umma kuwa Kuna nchi ndani ya nchi ambayo hata serikali yake aliyoiongoza kwa mkono wa chuma haukuwa na uwezo wa kurudisha hili eneo Hilo mkononi mwa wananchi matokeo yake kilichomkuta hata shetani hajui.

Bahati mbaya Sasa utawala umeangukia mikononi mwa mwanamke asiye nauwezo wa kifanya maamuzi ya kiuongozi wakamchochea chapchap akawaamisha wamasai kwa nguvu hatimae Hao OBC wameshinda na wamerudi na wanaitaka bandari na wameipata.
Kumbe yameanza kitambo
 
1694478021442.png
KUMOTO (KU'FIRE!)!!!
 
Hawa Marais kutoka pwani hawafai mwinyi aliuza ngorongoro kwa waarabu wakahaha wawahamishe wamasai wakashindwa pa kuwapeleka mda wake ukaisha kabla ndugu zake wa kiarabu hawajawaamisha wamasai.

Mkapa akakuta ule mkataba uliouza nchi nani ya nchi hauvunjiki akawaacha wamasai waendelee kukaa pale.

Akaja kikwete ukaibuka mgogoro wa OBC akina slaa wakaugomea make tayari waarabu walishapata mtu wao kutoka pwani wa kuwaamisha wamasai. Lakini ndio kipindi vituko viliibuka kwa twiga kupanda ndege bila kuonekana na urefu wake wote.

Na ndicho kilichomtoa lowasa kwenye uwaziri mkuu kwa kumtengenezea kashfa ya Richmond.

Akaja magufuli aliyejifanya mzalendo kwa kuhalalisha Maeneo wanayokaa wamasai ndani ya ngorongoro yawe Maeneo Yao halali. Tena kwa kuutangazia umma kuwa Kuna nchi ndani ya nchi ambayo hata serikali yake aliyoiongoza kwa mkono wa chuma haukuwa na uwezo wa kurudisha hili eneo Hilo mkononi mwa wananchi matokeo yake kilichomkuta hata shetani hajui.

Bahati mbaya Sasa utawala umeangukia mikononi mwa mwanamke asiye nauwezo wa kifanya maamuzi ya kiuongozi wakamchochea chapchap akawaamisha wamasai kwa nguvu hatimae Hao OBC wameshinda na wamerudi na wanaitaka bandari na wameipata.
Duuuh,kumbe wameanza longtime hivi
 
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea kusikojulikana

Waraka wa TEC kuna wabunge walikiri mbele ya kanisa hawakuelewa chochote lakini waliambiwa wapitishe makubaliano

Na hili la Ngorongoro bado wabunge hawalielewi au mpaka waraka wa TEC kuhusu ngorongoro?

Wana CCM tumjibu Tundu lissu maswali yake ,Akishajibiwa tumuache aende akajionee ukweli huko ngorongoro, Kama mambo mazuri tunaogopa kitu gani?

Je ni kweli Ngorongoro kuna waarabu?

Je, kama wapo wanafanya shughuli gani?

yenye kuzuia mikutano ya kisiasa

Je, kama wapo wana miaka mingapi eneo hilo na wazawa wa eneo hilo wanapata faida gani toka kwa waarabu?

Je, Taifa kama hao waarabu wapo tunakusanya madola ya kimarekani kiasi gani kupunguza upatikanaji wa dola nchini?

Je, Wananchi wa ngorongoro wanaishi kama gerezani hawaruhusiwi kulima wala kufuga na hata hawaruhusiwi kuagiza vyakula nje ya ngorongoro kuwashurutisha wahame?

Je, ni kweli ile zoo ya sharijah Dubai wanayama walisombwa toka Ngorongoro?

Maswali machache lakini badala ya kujibu hoja wana ccm tunatanguliza mipasho na ngonjera

Waraka wa TEC mpaka sasa unaonekana ndio ulioelimisha zaidi jamii kuliko hoja za mtu yeyote


Hili la wamasai wa ngorongoro limegawanyika katika maeneo mawili eneo moja ni pori tengefu la loliondo na pili ni hifadhi ya ngorongoro ambako ndiko iliko kreta ya ngorongoro
Tukianza na pori tengefu lililoko loliondo hili ni eneo muhimu sana kwa ajili ya ecology ya hifadhi ya serengeti na ni lazima kulihifadhi eneo hilo na ni sehemu ndogo tuu ya pori ya kilometre square 15000 na sehemu iliyobaki bado wamepewa waedelee kulitumia kwa matumizi rafiki na uhifadhi ni jambo la kuelewa tuu kwa faida ya taifa letu wala siyo jambo la kubishana

Tukija kwenye hifadhi ya ngorongoro hii ni hifadhi inayoendeshwa kwa mfumo wa matumizi mseto wa ardhi(multiple land use) ambako huko ndani kunahifadhiwa maliasili ya mimea misitu na wanyama na pia wapo watu wanaishi na kufanya makzi yao kufanya shughuli zao za ufugaji na shughuli zingine ambazo ni rafiki na uhifadhi. Tangu hifadhi hii ilipoanzishwa mwaka 1959 ilikuwa na watu wamasai wapatao 8000 wakiwemo waliohamishwa kutoka mlima Moru kupisha hifdhi ya Serengeti . Ndani kipindi hiki cha miaka zaidi ya 60 idadi ya watu imeongezeka na kufikia karibu watu 200000
Tatizo hapa ambalo linajitokeza ni hali ya maisha ya wananchi imekuwa mbaya kutokana umaskini na njaa inayowakabili wananchi kutokana na kukosa uhuru wa kufanya shughuli zao za kiuchumi kutokana na makatazo ya sheria inayosimamia masuala ya uhifadhi tofauti kabisa na maeneo mengine

Kutokana na hali hiyo hali ya wananchi imezidi kuwa mbaya kwa kuwa kila wakitaka kufanya kazi yoyote sheria ya uhidhi inawakataza hivyo kukosa mahitaji yao muhimu ikiwemo basic needs jambo hili ndiyo iliyopelekea serikali kuja na wazo hili la kuwatafutia maeneo yao huru ya kuishi na kwapa mitaji ya pesa na nyumba za kuishi na kufanya maendeleo kwa uhuru ya kama watanzania wengine
Katika hili serikali inatakiwa kupongezwa kwa kujali future ya wananchi wake na wote ambao wanaiponda serikali katika jambo hili jema akiwemo Tundu Lisu
na wezake na wote wenye fikra kama zake niwaombe wajitokeze hadharani kuomba radhi kwa serikali na kwa umma wote wa watanzania kwa upotoshaji wanaoufanya kuonyesha watanzania na dunia kwa jumla kusema eti wananchi wamasai wananyanyaswa wakati wanasaidiwa kwenye mambo ya msingi ya nchi yetu tuwe na mtazamo chanya kwa manufaa ya nchi yetu badala itikadi ya vyama vyetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom