Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

𝐓𝐇𝐑𝐃𝐂 π–π€πˆπ“π€πŠπ€ π‚π‡π€πƒπ„πŒπ€ πŠπ”π…π”π€π“π€ πŒπˆπ’πˆππ†πˆ π˜π€ πƒπ„πŒπŽπŠπ‘π€π’πˆπ€ πŠπ€π“πˆπŠπ€ π”π‚π‡π€π†π”π™πˆ π–π€πŽ Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wamekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake. CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha. Swali...
5 Reactions
131 Replies
5K Views
Nchi zilizoendelea huwa zinakuaga na thinkers wao na wanalipwa kwa ajili ya hiyo Kazi. Ni Tanzania pekee utakuta vilaza waliofeli shule na walisoma masomo ya arts ya kukariri ndo wanafanya...
2 Reactions
3 Replies
340 Views
Hongera Sana Yericko Nyerere. Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako...
32 Reactions
55 Replies
3K Views
Inaweza kuwa ni kutokana na umahili, kukubalika, ubora wa sera, n.k: Kuelekea 2025 - Tuzijue "Sera za Mbowe" dhidi ya "Sera za Lissu," uchaguzi mwenyekiti CHADEMA 2025 Ya nini kuandikia mate...
3 Reactions
10 Replies
628 Views
Wanabodi, Kuna wakati wafuasi wa kanisa la Full gospel Bible church linaolomilikiwa na Askofu Zakaria Kakobe waliwahi kudai hati za ardhi za kanisa na viwanja wakijua zimeandikwa jina la kanisa...
3 Reactions
9 Replies
521 Views
Habari ndugu zangu!! Kwa ufinyu wangu wa mawazo na elimu yangu duni nawaza tu kwamba sijui hali itakuaje siku CAG akipitia mahesabu ya TISS na TPDF.Maana kila mwaka huko anakokagua CAG wizi upo...
0 Reactions
1 Replies
193 Views
Salaam, Kuna wakati katika maisha yetu Tanzania Bunge lilikuwa linasikilizika, hoja, zilikuwa zinatengenezwa. Bongo zetu zilikuwa zinapata madini na kufahamu mambo mengi. Kwa hali za Chaguzi...
1 Reactions
5 Replies
383 Views
Uzuri wa Tundu Lisu hanaga Bei na mambo yake hafichi Hapo ndipo Makamanda na propaganda zao za kizushi walipokwama Mlale unono 🐼
3 Reactions
5 Replies
283 Views
Kitu kimoja ambacho wengi wanamlaumu Mbowe ni kuwa amekuwa Mwenyekiti kwa muda mrefu sana. Wanasema hiyo imemfanya akose mbinu za kupambana katika mazingira ambayo ni tofauti sana na...
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye CCM wamemshindwa na sasa wameamua kutumia Polisi kumdhibiti, Freeman Mbowe, Amehutubia Wananchi wa Boda ya Kasumulu katika mkakati wa kuwanadi Wagombea wa Chama...
22 Reactions
78 Replies
3K Views
Huyu Lisu simuelewi mimi, mwanzo alisema alifuatwa nyumbani kwake na Mfuko wa Pesa ili ahongwe aache kumsema sema vibaya Mama yake na Abdul. na ameenda mbali kusema alie mpeleka Abdul ni Ezekiel...
4 Reactions
15 Replies
688 Views
Uchaguzi una matokeo mawili makubwa, kushinda na kushindwa, na katika hayo kuna mambo mawili pia, kuridhika (kukubali) na kutoridhika (kukataa kukubali). Lissu ninayemfahamu, huwa haamini katika...
2 Reactions
7 Replies
334 Views
Muda huwa ni Mwalimu sahihi kwa lolote jambo, Mfalme mpya bwana Mbowe yampasa atambue. Bwana Mbowe anaweza kuhonga pesa kwa wapambe akidhani atabadiri upepo umtakao aondoke. Bwana Mbowe anaweza...
3 Reactions
15 Replies
539 Views
Wakuu, Katibu wa Chama cha wananchi (CUF -The Civic United Front) mkoa wa Mbeya Ibrahim Mwakwama amesema wapinzani wanatakiwa kuachana na maslahi binafsi badala yake waungane ili kuhakikisha...
0 Reactions
3 Replies
361 Views
Kuna hoja za kijinga ambazo Machawa wa Mbowe wamezianza kuwa kuna mpango wa mapinduzi Chadema. Ni hoja ambazo waliziibua tena mwaka 2013 na bila kujua tuliziunga mkono. Kipindi hiki zimekuja tena...
12 Reactions
23 Replies
723 Views
Wakuu, Ya Clubhouse yanazidi kujitokeza kadri tunavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2025, ClubHouse ilipigwa pini toka 2023 nadhani (kama sijakosea), Telegram ikafata mkondo huo, na yenyewe ni...
9 Reactions
7 Replies
727 Views
Nasema hivi Chama hawezi achiwa Lissu. Mimi namkubali sana Lissu lakini sio aachiwe Chama. Hapo NO kabisa aisee. Staili ya kuchafua wengine ili upate uhalali wa kuwa mwenyekiti hapo hapana...
2 Reactions
7 Replies
473 Views
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amewataka wananchi wilayani humo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura huku akisisitiza kuwa kufanya...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Mtanisamehe sijui kuandika vizuri lakini natamani ujumbe wangu uwafikie viongozi wale wote waliopewa dhamana ya kuongoza kutafuta hekima ya uongozi hususan katika maneno na kauli wanazotoa...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…