Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maelezo kwenye video
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna dhana ya uzushi iliyojaa uwongo, kuwa viongozi wa CHADEMA huwa hawakai mbele wakati wa harakati za chama hicho kama vile maandamano. Lakini ushahidi upo kuwa mara zote wakati wa maandamano...
3 Reactions
5 Replies
580 Views
Heshima sana wanajamvi. Nijikite katika mada moja kwa moja. Tangu awamu ya sita ianze kuitawala Tanganyika timeshuhudia Watanganyika wakipewa kesi kubwa kubwa. Awamu ya sita inaongozwa na...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakati umefika tuache UNAFIKI. Ebu fikiri, Tundu Lissu alipigwa risasi kwa sababu tu alikuwa anatetea haki. Leo yupo mahabusu kwa kubambikwa kesi ya uhaini kwa sababu tu ya kutetea Haki. Ikiwa...
5 Reactions
16 Replies
709 Views
Ukaguzi wa kiufundi wa ukarabati na ujenzi wa Soko la Kariakoo, Soko Kuu la Mwanza, na Kituo cha Mabasi cha Nyamhongolo umebaini mapungufu katika upangaji wa miradi, usanifu, na usimamizi wa...
0 Reactions
2 Replies
343 Views
Toka naanza kufuatilia siasa miaka ile CCM wamekuwa wanatutisha kuwa tukichagua upinzani kutatokea machafuko Kuwa wao CCM ndo wanaoilinda amani ya nchi hii, upinzani hawawezi kuilinda aman, lkn...
2 Reactions
3 Replies
385 Views
Kuna uzi hapa umeandika mambo ya enzi ya JPM kwamba Mwamakula alikuwa anapata baadhi ya taarifa, na hata wakati mwingine alitumiwa mtu na JPM. Hoja yangu imejikita pale aliposema baadhi ya...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
-----Update------- Hoja zangu zimeshambuliwa na wananchi ambao Wanaona haiwezekani kwa kuwa serikali zingine zimeshindwa lakina ukweli ni kuwa sisi tutafanikisha Hili suala kwa kujua umhimu wa...
1 Reactions
46 Replies
1K Views
Acacia, kampuni ya uchimbaji madini iliyokuwa na shughuli zake nchini Tanzania kabla ya kuingia kwenye mgogoro mkubwa na Serikali, inadaiwa kutumia takriban Shilingi bilioni tatu (Dola za...
30 Reactions
171 Replies
27K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kama kuna mtu mnapaswa kumpuuza ,kutokumsikiliza na kumkemea vikali wakati huu ni Dkt Slaa. Huyu Mzee ni Muongo sana ,Mchonganishi sana ,kigeugeu sana na anayebadilika...
6 Reactions
130 Replies
4K Views
Kwenye siasa kuna kitu kinaitwa dhana, kura za makurdi, na mtazamo wa makurdi. Kwa kiongozi yoyote ni lazima uwe makini sana kwenye mambo haya. Juzi Mzee Paul Kimiti akiwa kwenye Kongamano la...
9 Reactions
35 Replies
2K Views
CHINA imechukulia vikwazo vya MAREKANI Kama fursa tukio linalotueleza kuwa MAREKANI ALIKOSEA kuchanga karata zake na ushuru wake wa asilimia Zaid ya 230 kwenye bidhaa za uchina. Kitu Dunia...
9 Reactions
83 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema kuwa hali ya uchumi wa taifa haiwezi kupimwa kwa kuangalia thamani ya sarafu pekee, bali...
2 Reactions
66 Replies
3K Views
Kampeni ya No Reforms, No election ina hoja za msingi sana na ni vyema CCM wakakubali kuwepo na tume huru na mchakato wa uchaguzi ulio wazi kabisa. Kuna baraka nyingi sana kutoka kwa Allah...
10 Reactions
18 Replies
1K Views
Katika propaganda effective ambayo serikali ya CCM iliifanya kwa watanzania ni kusisitiza sana amani. Ni kama kampeni makhsusi iliyopangwa maalumu kwa ajili ya kuwadebwedesha Watanzania. Kipindi...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Tangu nianze kupiga kura 2010 sijaona uchaguzi ulipoa kama huu. Wapiga kura wa CCM wapo relaxed wana uhakika na matokeo hata wasipopiga kura. wapiga kura wa vyama pinzani hawana imani kabisa na...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
๐Ÿ‘‰๐Ÿพ๐Ÿ‘‰๐ŸพBEACH PLOT โ›ฑ๏ธ FOR SALE ๐Ÿ‘‰๐ŸพA Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* ๐Ÿ‘‰๐ŸพNice sea view and Beach. ๐Ÿ‘‰๐ŸพThe Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun ๐ŸŒž๐ŸŒž Set Beach...
2 Reactions
3 Replies
480 Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi Joketi Mwegelo amepokea baadhi ya Vijana kutoka vyama vya upinzani na kujiunga na Chama cha Mapinduzi kwenye Uzinduzi wa #samiafirsttimevoters...
3 Reactions
10 Replies
549 Views
๐Ÿ‘‰๐Ÿพ๐Ÿ‘‰๐ŸพBEACH PLOT โ›ฑ๏ธ FOR SALE ๐Ÿ‘‰๐ŸพA Bigger and Wonderful Beach Plot for sale at Kizimkazi Beach Zanzibar.* ๐Ÿ‘‰๐ŸพNice sea view and Beach. ๐Ÿ‘‰๐ŸพThe Home of the Dolphins in Zanzibar. Sun ๐ŸŒž๐ŸŒž Set Beach...
1 Reactions
1 Replies
328 Views
Makamo wa Rais kwa akili timamu ameamua ku step down nakuwaacha vijana waongoze... ila nyuma ya pazia wapambe hawakufurahi ila hawakufurahi kwa sababu Mh Mpango ameona mbali kuliko wenzake wameona...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ