Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna taarifa zinasambazwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha Peter Mwita Wanda, Mkazi wa Sabasaba Tarime. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Polisi Tarime/Rorya, lingependa kutoa ufafanuzi...
4 Reactions
29 Replies
688 Views
Dk Bashiru Kakulwa alituaminisha kuwa mmoja wa watu ambao hawataki siasa za kihuni. Nashangaa sana kumuona ameungana na wahuni wa CCM kiasi cha kutokuwa na huzuni juu ya kilichompata Humphrey...
3 Reactions
34 Replies
620 Views
MAMBO MUHIMU KWA UJUMLA 1. Punguza kodi na kodi zijulikane wazi: Mlipa kodi yeyote hatakiwi kusubiri mpaka mzigo ufike bandarini kujua ni kodi gani alipe. Hii inapunguza biashara, inapunguza...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimemsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda akizungumza na watumishi wa Wizara yake baada ya kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dodoma Januari 13, 2026...
2 Reactions
8 Replies
314 Views
Kama Jaji na hakimu wakiamua kesi kwa haki na haki imeonekana ikitendeka mbele ya jamii, kazi ya Jaji na hakimu itakuwa kazi kama kazi nyingine tu. Hakuna haja ya hofu kwa majaji. Ujira mdogo...
2 Reactions
6 Replies
187 Views
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana...
7 Reactions
12 Replies
379 Views
Nimeangalia sasa hivi anahutubia huko Dodoma kuwa Watanzania wana imani na mahakama. Huu ni uongo. Maana mahakama yenyewe imejaa rushwa na maonevu. watu wengi wapo mahakamani hawana makosa...
7 Reactions
25 Replies
429 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Mikami Yoichi, mazungumzo yaliyofanyika...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Wakuu, Nilipita sehemu leo (uswahilini) nikakuta wamama watu wazima wanazungumzia kuhusu uteuzi mpya uliofanywa hivi karibuni kwenye baraza la mawaziri Yaani ni wanatoa nondo balaa. Wengine...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Unajiuliza huyu mafwele anijikuta nani hadi anajitamba kukamata JWTZ hizi ni dharau. Eneo la makazi ya watu sio eneo la matangazo hatuwezi kusema kubandika matangazo kwenye nyumba za watu badala...
5 Reactions
18 Replies
699 Views
Kwa taarifa yenu ni kuwa sehemu kubwa ya Madini nchini yako mikononi mwa Makada wa CCM. Ndiyo maana tunataka katiba mpya, tume ya maadili na mali za viongozi haifanyi kazi
6 Reactions
9 Replies
186 Views
Hakuna wakati nime-appreciate uwezo wa kuona mbali wa Julius Nyerere kama wakati huu. Huko nyuma nchi kama USA na Russia waliomba waweke vituo vya kijeshi Tanzania na Nyerere alikataa katakata...
0 Reactions
8 Replies
612 Views
Wakuu Huyu hapa Gwajima anaelezea bila kificho kuwa kwenye ule mkesha wa mwaka mpya wakati wanakagua baadhi ya waumini walikutwa na bastola Hao "waumini" walipoulizwa kwanini wana bastola...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema hayo leo Januari 13, 2026 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) katika viwanja vya Makao Makuu ya Mahakama...
2 Reactions
42 Replies
725 Views
Mwandambo Clemence anasimulia namna alivyokamatwa na Jeshi la Polisi Jijini Mbeya.
2 Reactions
9 Replies
439 Views
Madomo zege hawawezagi kutongoza wao hutumia kumwaga pesa na kuonesha mikogo ya kila aina.. Ufahari usio kipimo chap Domo zege yuko tayari kunuka madeni ili aoneshe uwezo na ukwasi.. Bingwa wa...
15 Reactions
32 Replies
584 Views
Bodi ya Mamlaka ya bandari nchini imekubaliana kutohuisha mkataba wa kampuni ya kupakua na kupakia makontena bandarini ya TICTS na badala yake itatafuta muwekezaji mwingine. Chanzo cha taarifa...
10 Reactions
218 Replies
19K Views
Hamjambo! 1. Kuna mambo yanafurahisha Sana nchi hii. 2. Wapo watu waliokuwa wafuasi wa Mwandambo Mzee wa nachoka kabisa. 3. Kuna watu ni wafanya vichekesho, vituko, content creator. Sasa ni...
2 Reactions
3 Replies
187 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…