Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Matukio haya kwa Pattern yake pamoja na kuwa mzigo wote unaliendea jeshi la polisi kwa sababu jeshi la polisi na vyombo vyake ndilo ambalo lilikuwa mstari wa mbele siku ya jana kwenye...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Takwimu zote, pamoja na hisia za wananchi ni kuwa polisi wanagandamiza na kudhulumu haki za wananchi. Kauli hii iliwahi kutolewa pia hata na Rais Samia siku za mwanzoni mwa utawala wake, kabla na...
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Ukweli ni kwamba Hawa watu wamekuwa wakitutumia vibaya kwa maslahi Yao binafsi hasa fundraising,maandamano na wakiapata hawatujali Wametufanya pampers wakitumia wanaitupa huko na kutotueleza...
2 Reactions
37 Replies
1K Views
Pamoja na Raisi Samia mwenyewe. Hawa ni watu walio kula kiapo kwa nchi lakini wamekuwa machawa. Historia yetu itawahukumu kwa udhaifu wa nchi na mifumo yetu. Mahakama Bunge Jeshi la polisi
4 Reactions
4 Replies
337 Views
Kama Watanzania tujuavyo, Resilience ni moja ya 4Rs za Mama Abdul. Alipokuja na hili neno, nilijiuliza maswali mengi, katika kutafakari na kujaribu kufumbua fumbo. Mwisho wa siku, niliamua kucheza...
2 Reactions
4 Replies
426 Views
"Nampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mageuzi makubwa ya Mipango na Uwekezaji katika Taifa letu. Rais Samia ameamua kutokuogopa na kusimama kwa utulivu katika kusikiliza wataalamu...
1 Reactions
4 Replies
496 Views
"Waganda ni sawa na wagonjwa muda wowote wanaweza kupona na kudai haki zao" "Wakenya ni sawa na mtu aliye lala muda wowote anaweza kuamka na kudai haki yake" "Watanzania ni sawa na MAITI kamwe...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Naona RC chalamila alicho kuwa anatamani kitokee kimetokea na amefurahi kabisa. Anafurahia kuona watanzania wasio na hatia wala silaha wanakamatwa, wanateswa , wanavunjwa miguu na kutupwa porini...
2 Reactions
7 Replies
714 Views
Katika majimbo ambayo hayana mbunge basi ni korogwe mjini. Nilikuwa hapa kwa semina ya siku tatu, Katika kupita huku na huku nikaona hili bango ambalo nilisikia waliweka kipindi Mama anakuja...
47 Reactions
124 Replies
7K Views
Hivi hata kama Watanzania ni Wajinga na Mbumbumbu wa kiwango cha Maiti ya Mnyama, hivi ni kweli bado kuna mtanzania anayeweza kuliamini Jeshi la Polisi la Tanzania linapokuja jambo linalohusu...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Hebu angalieni wenyewe Katika safari ya demokrasia nchini, uchaguzi wa serikali za mitaa ni msingi wa kujenga jamii imara inayojali sauti ya kila mwananchi. Hata hivyo, katika harakati hizo...
1 Reactions
14 Replies
677 Views
So long tumeamua kuwa watu wenye akili katika nchi are not fit for the office, na kila wakijitokeza,wote rulling party na opposition tunaungana kuwapiga vita. Basi tuendelee kukaa kwa kutulia. Kwa...
4 Reactions
11 Replies
723 Views
Ukweli ni kwamba kwa hali ilivyo sasa kuna mkwamo mkubwa sana wa kidemokrasia ambao mwenye nyenzo muhimu kuutanzua ama kuuacha uendelee kukua ni mheshimiwa Rais. Naita mkwamo kwa sababu tofauti...
1 Reactions
6 Replies
508 Views
Wakuu,kama tunavyofahamu kuna wabunge zaidi ya 50 kutoka Zanzibar na wengine huchaguliwa kutoka baraza la wakilishi kuja kwenye Bunge la Muungano ambalo kimsingi ni Bunge la Tanganyika kupitia...
1 Reactions
3 Replies
516 Views
Japo mazishi yanaangukia sikukuu ya Muungano tafadhali tusikose mwakilishi huko Vatican kwenye mazishi ya Mzee wetu Baba Mtakatifu Francis. Mheshimiwa Majaliwa na Mstaafu wanatosha.
2 Reactions
19 Replies
1K Views
ADO SHAIBU AJITOSA UBUNGE TUNDURU KASKAZINI Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa ubunge katika Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia ACT...
1 Reactions
18 Replies
960 Views
We chunguza tu makamanda wote wa Chadema wako live hapa Jf kuanzia Juzi hadi sasa hivi Wote akina Tindo, Mshana jr, Retired, Erthrocyte nk wapo hapa hawajapigwa kirungu hata kimoja Hii...
7 Reactions
25 Replies
979 Views
Ile Sera ya Komredi Polepole ilikuwa imekaa kisayansi na kimkakati sana Ilimaliza vurugu za vyama vya upinzani kabisa Sabato njema 😁
2 Reactions
5 Replies
288 Views
Ilani ya CCM 2020-2025 , Mkoa wa Manyara, hakuna tunachomdai Mama Samia!
0 Reactions
2 Replies
483 Views
John Heche (Makamu Mwenyekiti Tanganyika wa CHADEMA) katika hotuba zake kwenye mikutano ya kampeni za NO REFORMS NO ELECTION 2025, mara kwa mara ametumia maneno haya, kwamba, dola la Tanzania kwa...
27 Reactions
77 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…