Ni hizi hizi tone tone au kuna fungu lingine la kukirimia wageni
Maana wageni waliozuiliwa JNIA ni zaidi ya 6 lakini wengine inasemekana waliingia mapema, huu siyo ugeni mdogo kuuhudumia...
Mmoja wa wataalamu wakubwa wa afya nchini Tanzania, Profesa Mohamed Janabi, anawania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika, baada ya kupendekezwa na...
Wakati Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kikitqrajia kuanza vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu kuanzia kesho Jumatatu Mei 19, 2025 jijini Dar es Salaam, baadhi ya makada na viongozi...
Hiki ndicho alichoandika Director wa PPP Tanzania Bw. David Kafulila huko kwenye akaunti yake ya X zamani tweeter.
Mkurugenzi huyo ameandika haya ili kuwatoa hofu wanaodhani huenda nchi yetu...
Kuna tuhuma nzito zimetolewa zikiwa na ushahidi kuhusu Viongozi wa Kisiasa na Utumishi wa Umma kununua viwanja kwa mabilioni ya pesa huko Arusha.
Kwenye tuhuma hizo zilizotolewa usiku huu na...
Hii ni kwa sababu upo Ushahidi wa wazi kwamba wanatumika kujaribu kupambana na Chadema kwa masilahi ya Chama chao cha CCM.
Kumlipia Mchome Apartment Masaki kwa kutumia hela za Umma ili atumike...
1. Wachina wangefilisi mitaji ya Watanzania wote.
2. Wachina wanapouza, huhifadhi fedha kwenye benki za kwao na kuwekeza katika nchi yao.
3. Mzawa anapopata fedha, huiweka kwenye benki za ndani...
Nakusogezea hii habari toka kwa Mange kimambi kama iivyo
(This is nothing but uhujumu uchumi, ufisadi, uonevu, rushwa, udhulumat etc. CCM inatuma barua hizi za kuomba pesa za uchaguzi kwa...
Baba wa Taifa alituaambia kaburu siyo rangi, hata km we ni mweusi km tabia zako ni za kikaburu za kibaguzi we ni kaburu tu!
Wafanyabiashara wale ni wezi, ni waongo, bei wanazouzia bidhaa ni za...
Wakuu,
Hali ya mtandao ikoje mliko? Yaani toka asubuhi mtandao imekuwa hovyooo kila kitu kinaenda taratibu kwa spidi ya kobe! Ni hii tu kesi ya Lissu ndio mnafanya mambo yote yasiende na...
Wakuu!
Wanavyuo wa mkoa wa Iringa ambao pia ni Wanachama wa Kampeni ya 'Mama Asemewe' katika kongamano kubwa la wanavyuo lililofanyika katika mkoa huo lililobeba jina la Kongamano la Tafakuri ya...
Wakuu,
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na...
Lissu Mahakamani Leo: Je, Watanzania Tunalala au Mungu Anatuonyesha Kitu?
Leo, Tundu Lissu, kiongozi wa chama cha upinzani cha Chadema, amefikishwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es...
Wakuu,
Baada ya taarifa, kusambaa kwamba CCM inasambaza waraka ya kuomba hela za kampeni kwa wafanyabiashara, chama hicho kimeitokeza kujisafisha zikisema kuwa taarifa hizo ni za uongo
Soma pia...
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alivyogoma kuzungumza na Mawakili wake wakati Askari wamemzunguka.
Lissu anahoji;
"Hakimu amesema mshtakiwa abaki na mawakili wake pekee yao for...
Kesi za Lissu zimeanza kuchukua sura ya Mama anayempiga mwanae kwa kumuonea hadi majirani waneamua kuja kumtetea mtoto ambaye sio wao.
Inakubalika kama mzazi ni muonevu. Na uonevu ukizidi...
Wakuu,
Kwa wale ambao tumeshindwa kufika mahakamani channel ya mahakama inarusha tukio hili mubashara (maana TBC imegoma kurusha tukio hili lenye maslahi ya taifa), lakini kwa quality ya video na...
Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli amesema uchaguzi mkuu wa 2025 utatoa fursa kwa vijana kwa sababu zaidi ya 65% ya wapiga kura ni vijana
Rais Magufuli ametoa mfano wa mh Lukuvi kwamba hawezi kuwa...