Msemaji wa Jeshi la Polisi DCP David Alphonce Misime akieleza hali ya Ulinzi na Usalama katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), amezumgumzia Amani ila hakuzungumzia haki...
Leo bungeni Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amemwagiza IGP Wambura kuanza kuwahoji watu mbalimbali ambao wamekuwa waziwazi na ushahidi na vielelezo wakichochea uvunjaji wa amani katika...
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kuwa walinzi wa amani na utulivu nchini, akisisitiza kuwa mazingira ya amani ndiyo yamewawezesha maelfu ya vijana...
Wakuu,
Akiwa anapokea gawio kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, Rais Samia amesema
"Naipokea tunzo hii kwa unyenyekevu. Nikitambua kuwa hii ni heshima ya kazi ya pamoja. Si kazi yangu peke...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Ameongoza Kikao Maalumu Cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa jijini Dar es...
Akizungumza na wakazi wa Serengeti, Waziri Mkuu, Dr Mwigulu Nchemba ametoa onyo kali juu ya maandamano, ambapo ameeleza kuwa wamewakamata watu waliokuwa wakifanya kazi ya kuhamasisha watu kwenda...
DKT. MWIGULU ATUA MARA KWA KISHINDO AANZIA SERENGETI
ATAKA JENGO JIPYA LA HALMASHAURI LIKAMILIKE KWA WAKATI
AANZA KUNGURUMA LEO KWA KUSIKILIZA KERO VIWANJA VYA SOKOINE
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
Je,
Ni kwasababu miungano hiyo ya kisiasa hujengwa juu ya msingi wa hiyari na kujitolea na sio kisheria?
Au ni kwasababu za tamaa, ubinafsi, kutokuaminiana na uchu wa madaraka na vyeo miongoni...
Huyu jamaa britanicca alipata wapi hizi taarifa?
Leo hii dereva wa Heche amekutwa ameuwawa huko Kigoma.
Hii inatoa picha kamili kuwa taifa letu lipo chini ya watu dhalimu na wasiofaa kuwa...
Mbunge machachari 'Musukuma', amedai kuwa baadhi ya wabunge wa Zanzibar ni "wavivu" na wamekuwa wakitumia Muungano kama kisingizio cha kuficha udhaifu wao wa kutowahudumia wananchi
Soma Pia...
Shimo kubwa lililopo katikati ya barabara eneo la Shekilango mara tu baada ya tuta, limeendelea kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Kutokana na ukubwa wake madereva hulazimika kulikwepa...
Kutoka mitandaoni, mwaka huu CCM maji wataita mma, CCM wanajitengenezea matatizo
Nimekutana na hii video, Kumbe LATRA walisema wataenda na Police?, mwenye video ya Henche anavoelezea Tanzania...
Mashaka yangu yapo kwenye aina ya uandishi wa barua, sababu zinazotolewa na aliyesaini barua yenyewe
SABABU ZA TAREHE YA KUFUNGULIWA SHULE KUSOGEZWA MBELE: Eti ni uchovu wa walimu na wanafunzi...
Taarifa ya Niffer kukamatwa na kushtakiwa kesi ya uhaini niliifurahia.
Sikuwa upande wa watanzania waliokuwa wanampazia sauti atoke, hatimaye mawazo yangu nimethibitisha yalikuwa sahihi.
Huyu...
Mkana Jinsia Dayon Monsoon aliyehojiwa na Mange Kimambi Canada na kujipatia umaarufu na akiwa mstari mbele kudai haki na kumpinga Samia na CCM. Now ghafla anamtetea Samia na kuwa chawa kama kina...
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, Juni 30, 2026, akihojiwa Kupitia Wasafi FM, amesema uchunguzi kuhusu vipeperushi vilivyosambazwa wilayani humo unaendelea kwa umakini mkubwa ili kubaini...
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Bi. Anastazia Tutuba, akimkabidhi Toroli Bi. Coleta Benedict ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano...
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko la Machinga Complex jijini Dodoma, Marico Magale, amesema wamachinga wa soko hilo wamepokea na kuunga mkono uamuzi wa Serikali wa kusitisha mikutano ya...