Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mmoja wa wananchi waliopata kuongea mbele ya Waziri Mkuu, leo Julai 04, 2026, katika kijiji cha Suguti-Musoma Vijijini, ameeleza kuwa Mwenyekiti wao hakuchaguliwa kwa kura na kuomba serikali ya...
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Huyu kwenye picha anaitwa Pendo Kileo ni Mwanachama wa CHADEMA kutoka Kata ya Chamazi.Juzi alitoa taarifa Polisi kituo cha Polisi Chamazi kwamba kuna watu walitaka kumteka, akawambia Polisi kwamba...
5 Reactions
22 Replies
658 Views
Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye amewahi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Wilaya ya Mwanga, Mchome Lemburus, ameiomba Serikali na mamlaka husika kumuachia Mwenyekiti...
1 Reactions
15 Replies
332 Views
Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu , amesema si sahihi kulinganisha Bunge la sasa na Mabunge yaliyopita kwa kuzingatia ukubwa wa mijadala pekee. Akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo...
1 Reactions
67 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa sasa unaobadilika kwa kasi ya ajabu, usalama wa taifa hautegemei tu idadi ya watumishi au zana za kivita, bali unategemea ufanisi, weledi, na wepesi wa Idara za Kijasusi na...
4 Reactions
6 Replies
211 Views
Kesi ya Mgawanyo wa Rasilimali za CHADEMA iliyofunguliwa na Said Issa Mohammed na Ahmed Rashid dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa chama hicho na Katibu Mkuu imeahirishwa mpaka Agosti 5, 2026. Taarifa...
1 Reactions
7 Replies
157 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 3, 2026, ambapo anatarajiwa...
6 Reactions
54 Replies
987 Views
  • Redirect
Taarifa Kwa Umma Waziri Mkuu Kumwakilisha Rais Samia Ufaransa.
0 Reactions
Replies
Views
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Mara Agness Marwa ameendelea kuonesha tabasamu kwa ajili ya wajasiriamali wadogowadogo ili waweze kujikwamua kiuchimi. Mbunge huyo amedhamini wajasiriamali hao...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Anachosema Mbunge Sigrada kwa maneno "Serikali isemeje? Inapambana kuhakikisha wananchi tunaendelea kuwa masikini. Ni political strategy tunaita, yaani mkakati wa kisiasa wa wewe kuendelea kuwa...
7 Reactions
13 Replies
284 Views
  • Redirect
Mkurugenzi Mtendaji Baraza la Mitihani (NECTA) hajaiangusha serikali ya CCM. Hajabutua kapiga mulemule kama walivyofanya Tume Huru ya Uchaguzi ( INEC). Tunasubiri wapigaji wa penati 3 zijazo nao...
4 Reactions
Replies
Views
Nawaomba wataalam washeria kuhusu kauli za mbunge huyu wa maswa mashariki anaekili kuwa alitoa psa alizoita ni posho kwa madiwani watatu kwa lengo la kuwapatia wajumbe je hii sio rushwa.
4 Reactions
22 Replies
347 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amemtaka aliyekuwa kada wa chama hicho Said Issa Mohammed kufuata taratibu za kikatiba ili kupata suluhu ya uanachama wake...
4 Reactions
12 Replies
267 Views
Mbunge wa Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugomela, amesema aliwapatia baadhi ya madiwani fedha alizozitaja kuwa ni posho wakati wa mchakato wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
2 Reactions
6 Replies
302 Views
Wakati wa vurugu katiba na sheria vinasimama kufanyakazi kusudiwa. Kwenye vurugu na vita hakuna mwenye haki yake, vyote kwa 100% vinapotea ghafla halafu unabakia utawala binafsi, yarabi nafsi...
2 Reactions
26 Replies
289 Views
Nimeangalia video ya Guest aliyolala aliyekua dereva wa John Heche kwa kweli inaonekana ni ya bei rahisi, binadamu naye anahitaji utulivu na kupumzika hasa baada ya safari ndefu akina John Heche...
5 Reactions
56 Replies
1K Views
Hivi ndivyo hali ya Tanzania inavyoonekana kwa sasa Imefikia mahali wadau wa maendeleo wanahofia usalama wa Raia wao. Hii ni aibu kuu
11 Reactions
45 Replies
1K Views
Ni kwanini uovu wao wanauficha nyuma ya Public Holidays? Je, Malengo yao makuu hua ni kupora wafanyabiashara wanaposheherekea na kukusanyika kwenye maonyesho ya siku kuu yao ya sabasaba nchini...
2 Reactions
8 Replies
125 Views
Wanaukumbi. JWTZ MMESIKIKA NA SAUTI IKO SAWA KABISA YAANI ..📌 JWTZ ambao wanaharakati hasa yule rais wa Hungary Maria Sarungi amekuwa anawahusisha na machafuko na njama za kupindua serikali...
4 Reactions
93 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi wakuu: Kama Mtanzania na mwanachama wa CCM, naomba kushauri kwa yanayoendelea nchini kwetu hasa suala la utekaji, ufisadi, na ukandamizaji wa haki za binadamu, Ushauri kwa Vyombo...
13 Reactions
21 Replies
316 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…