Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Leo hii hii nchi ni mali ya familia na koo za wanaCCM. Familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi Nyererere na hat akina Jenista Mhagama ndio wanarithishana madaraka ya nchi hii. Wewe mpuuzi ambae...
7 Reactions
5 Replies
155 Views
Kwa kifupi Sana HOTUBA Yako na ajenda zako zote ulizoongea na waandishi WA habari hakuna hata Gen Z wa CCM amekuelewa, hujagusia suala lolote kuhusu hatma ya Taifa hili kwa Hawa Gen - Z ambao...
1 Reactions
3 Replies
198 Views
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni leo tarehe 20 Mei, 2021 atafanya ziara ya kikazi ya siku 1 hapa nchini kwa Mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...
6 Reactions
122 Replies
13K Views
Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na serikali ya Finland imesaini hati ya makubaliano ya kikanda [MoU] chini ya Mradi wa Maendeleo ya Matumizi ya Ardhi na Minyororo ya...
0 Reactions
4 Replies
162 Views
Mimi nadhani mambo ya maandamano ya ahirishwe mpaka October 2030. Ili uchumi ukue vizuri sana, na utalii ukue vizuri sana, na wananchi wapate vipato vizuri sana. Inaelekea baadhi ya global na...
1 Reactions
17 Replies
319 Views
Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho...
2 Reactions
1 Replies
129 Views
Mwanaharakati Mange Kimambi amesema kuwa watanzania wanatakiwa kumpuuza mzee Butiku kwa kuwa anatumika na serikali ya Samia.
12 Reactions
52 Replies
1K Views
Kwema Kabisa! Mbowe itampasa amkumbuke aliyemshauri aendelee kugombea. Familia yake ilimshauri apumzike, kwa mujibu wa maelezo yake. Ni kwa sababu inampenda na kutaka heshima yake idumu. Lakini...
46 Reactions
151 Replies
4K Views
Hakuna amani kwenye mauwaji na utekaji unaoendelea acheni tabia za kimalaya mnao dai nchi ina amani nawaonya. Aidha wauwaji na watekaji lazima wawajibishwe kwa matendo yao wameuwa watu wengi sana...
1 Reactions
6 Replies
146 Views
Manze, inabidi tuchane ukweli mchungu bila kuficha makucha, kwa sababu hii hali is getting out of hand na ni some real-life fuckery. Nimepiga kitabu mpaka nimevuta Masters yangu fresh, nikazama...
9 Reactions
28 Replies
523 Views
https://youtu.be/1J1k-Bpi9Vc SWALI KWA JASUSI BUTIKU: TUNAWEZAJE KUPATA NGUVU YA KUVUNJA DUARA LA UHARAMU, UKATILI NA UDHAIFU WA SERIKALI UTOKANAO NA CHAGUZI BATILI MWAKA HADI MWAKA? Taasisi ya...
5 Reactions
1 Replies
190 Views
Simaanishi kusema waliowahi kuwepo nafasi za juu hapo awali warudi, Hawastahili kurudi kwasababu walikigeuza chama kwajili ya maslahi yao. Bila nia ya kubeza wala kupunguza mchango wa yeyote, ni...
3 Reactions
43 Replies
565 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa wananchi wa Iguguno na Wilaya ya Mkalama kwa ujumla kudumisha umoja, upendo na mshikamano.
1 Reactions
31 Replies
431 Views
Chama cha Mapinduzi ni chama cha siasa, lakini ndani yake kinaonekana ni chama cha kifamilia kutokana na historia inavyojionyesha huko nyuma, Kuna baadhi ya Wabunge wake waliofariki kwenye majimbo...
3 Reactions
12 Replies
302 Views
π——π—žπ—§. 𝗠π—ͺπ—œπ—šπ—¨π—Ÿπ—¨ π—”π—žπ—¨π—§π—”π—‘π—” 𝗑𝗔 π—šπ—”π—©π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—•π—˜π—‘π—žπ—œ π—žπ—¨π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20, 2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba...
0 Reactions
3 Replies
186 Views
Naanza kwa kutanguliza interest zangu kuwa naipenda Tanzania na Samia nakutakia umalize Urais wako salama 2030 utuachie nchi ikiwa salama. 1 . Baraza lako la mawaziri kuna watu umewaacha ambao...
9 Reactions
32 Replies
871 Views
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, akimtuhumu kuonesha chuki dhidi ya aliyekuwa Balozi...
4 Reactions
10 Replies
398 Views
Hili ni swali muhimu kwa wananchi hivi sasa. Chadema ya sasa chini ya uwenyekiti wa LISSU imejikuta ikihangaika na vurugu na uhaini na usaliti tu kwa Tanzania. Je mbowe anapasha misuli kurejea...
1 Reactions
12 Replies
238 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…