Najaribu kuangalia hii tunayoiita Gen Z,lakini nahisi hii ya sasa siyo kama ile.Nahisi labda watu WA chama kile ndio sasa wanajiita GenZ.
Lengo kuzua taharuki na kujifanya wanapambana nayo,kisha...
"To my learned friend and compatriot, the Hon. Tundu Lissu…
..
There was a season, not so distant in memory, when I myself stood in the storm; and in that season you were among those who took up...
Hii maana yake ni kwamba Ile elimu tuliyoitoa kwa muda Mrefu sasa Wananchi washaelewa
Wamejua kwamba tuko sahihi na pia washaelewa kwamba mbaya wao ni nani .
Hii ni Hatua Muhimu
Lazima tujifunze kusema ukweli, hata kama unauma. Ukweli unaweza kuumiza, lakini ndiyo unaosaidia kurekebisha mambo.
Kwa mtazamo wangu, CCM ya kipindi cha Rais Samia ni dhaifu kuliko ilivyokuwa...
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi...
Mtangazaji wa Clouds FM, Farhan, ameeleza mtazamo wake kuhusu wimbi la tuhuma zinazomkabili Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, akisema kuwa kuna aina ya watu na hata baadhi ya wanachama wa...
Utangulizi
Katika ulingo wa siasa za kimataifa na diplomasia ya kiuchumi, maneno ya viongozi wakuu wa nchi hubeba uzito mkubwa sana. Hivi karibuni, kumeibuka mjadala mpana nchini unaochochewa na...
John Wegese Heche akiwa bado ananuka Ufisadi wa pesa za Tone kwa Tone uliofanywa akiwa makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Kanda ya Kati, Aquilin Claud...
AGNES MARWA ATOA PROJECTOR, AWATAKA WANAFUNZI WA MWEMBENI KUNG'ARA KITAIFA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa, amekabidhi projector ya kufundishia pamoja na taulo za kike kwa...
Mwenyekiti wa Makatibu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Basil Lema amesema wamekuwa wakifanya siasa kwa ugumu katika chama hicho kwani wamekuwa wakionekana kama kivuli cha Chama cha...
Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake.
Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony...
Shida iko wapi kujisalimisha na kukubali kuwa kibaraka wa Marekani kama nchi za Gulf za Saudi Arabia, Kuwait, Oman, UAE, Bahrain na Qatar pamoja na nyingine kama za Japan, Korea Kusini na Israel...
Wakuu,
Kama unaishi Dar au Arusha alichokisema huyu dada ni kitu ambacho tunakutana nacho kila siku humu mababarani
Nisiongee zaidi msikilizeni dada hapa
Soma Pia: Wenye magari ya Serikali...
Kama habari ilivyo hapo juu, je mmejaribu kuwaza na kuwazua kuwa hali ya Samia na machawa wake ikoje baada ya waziri wake wa mchongo kuzomewa pale daresalama.
Daily News 6 Oct. Pg3
Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.
Sioni ujasiri wa kumkaribisha...
Wakili Peter Madeleka amesisitiza kuwa uanaharakati hauwezi kufananishwa au kutafsiriwa kama ugaidi chini ya sheria za Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari mnamo Julai 12, 2026, Madeleka...
Mwenyekiti wa taasisi ya Mufindi Environmental Transformation (MET), Godfrey Mosha amesema taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kuhusu kupotea na kutekwa kwa watu nchini, ni "uongo mtupu" wenye...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, alisema kuwa pendekezo la Tume lilikuwa kuunda muundo wa Muungano wenye uwiano zaidi kwa kuipa Tanganyika mamlaka...
Viongozi wangu wapendwa wa CHADEMA. Natumaini mmemsikia huyo zena alivyotoa uchafu mdomoni kuhusu haki, uongo kuhusu mataifa makubwa eti yanatuonea wivu na vijana kushawishiwa. Katoa uchafu tu...