Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika Makosa aloyafanya Magufuli, ni kukubali Kikwete kumchomekea huyu aliyefeli Darasa la Saba, akarudia rudiaz Kumaliza Kidato cha Nne tu ilikua ni vita patashika Nguo kuchanika ambaye Mwisho...
19 Reactions
25 Replies
533 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime. Katika mkutano huo...
12 Reactions
23 Replies
478 Views
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, leo Alhamisi Julai 16, 2026, imeifuta kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Kigoma Mjini yaliyompa ushindi Mbunge wa Jimbo hilo kupitia...
9 Reactions
28 Replies
559 Views
Nimesema CHADEMA na Heche wakivuka na hili,maana yake wameshapitia matukio mengi ya kutengenezwa na walivuka. Sasa limekuja hili la Heche kuzushiwa kula Hela. Najiukiza hivi,ikiwa CHADEMA itavuka...
8 Reactions
32 Replies
400 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mheshimiwa Abdel Fattah El-Sisi...
1 Reactions
3 Replies
90 Views
"Kwanini wanaenda court ya kimataifa na sio hapa nchini? hiyo ni sheria ambayo hauwezi kupata muwekezaji. Hamna muwekezaji atakuja hapa kuwekeza pesa zake halafu kesho unamwambia aende kisutu...
10 Reactions
92 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA Taifa, Brenda Rupia Jonas, amezungumzia mjadala unaoendelea mitandaoni kuhusu Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche, akisema wanaotoa tuhuma...
11 Reactions
63 Replies
1K Views
  • Featured
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kushirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na mwanasiasa maarufu, Dk Willbroad Slaa, wamefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Waziri wa Mambo...
16 Reactions
52 Replies
1K Views
Nimeikuta hii sehemu hebu tuijadili bila upendeleo Wala chuki zozote.
11 Reactions
216 Replies
5K Views
Mtu aliyejitambulisha kuwa Afisa wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam amesikika akitoa tangazo kwa kutumia kipaza sauti katika Soko la Ilala Boma na Karume akiwataka wauzaji wanaotembeza...
8 Reactions
23 Replies
782 Views
Wakuu, Sasa hivi ukiingia kwenye kila online media habari ni moja tu, Tanzania imepewa msaada na Marekani Nakumbuka kipindi kile kipindi Seneti ya Marekani inajadili vikwazo vya Tanzania kwa...
11 Reactions
27 Replies
603 Views
Hebu msikilize , ukiona ile video ya yule mdada aliopo nje ya nchi ni wazi sheikh kachafuliwa Soma pia Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya...
4 Reactions
9 Replies
443 Views
YAH: OMBI LA UCHUNGUZI WA TUHUMA ZA UKUSANYAJI WA FEDHA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA KITONGOJI CHA MAKURUNGE, KATA YA KILUVYA – WILAYA YA KISARAWE Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
2 Reactions
7 Replies
366 Views
Ndugu zangu Watanzania, Malalamiko Mengi yaliyopo huku mitaani na Kelele zinazopigwa na wana CHADEMA ni juu ya John Heche kutumia Akaunti yake Binafsi ya Benki kupokelea Pesa zinazopaswa kutumiwa...
2 Reactions
126 Replies
1K Views
Wakuu, Hapa ilikuwa kwenye sherehe ya Birthday ya Mama Diamond Sanura Kassim (Mama Dangote) siku 3 zilizopita. Akimama hawana vifaa tiba hospitali, wanafunzi wanakaa chini, nchi iko hoi lakini...
4 Reactions
56 Replies
1K Views
Polisi, Serikali na CCM pamoja na magenge yao kutwa wanaimba kuna watu wanataka kuvurugu, sasa unajiuliza hili limetoka wapi? Wananchi wamesema wanaandama kwa Amani nyie habari za maanadamano...
13 Reactions
33 Replies
816 Views
Sikiliza mazungumzo ya kumshawishi kiongozi wa Bawacha amchafue Heche, naye akaingia mkenge. It is a pity na Selasini anajiunga na uhayawani huu Erythrocyte Kwa hivi hakuna haja ya kumpa Selasini...
9 Reactions
31 Replies
897 Views
DC MWENDA AKABIDHI MAGARI 4 YA KUBEBEA WAGONJWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA IRAMBA Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Alhaj Suleiman Yusuph Mwenda, Jumatano Julai 15, 2026, amekabidhi magari...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
WAZIRI KOMBO AMUAGA BALOZI WA SWEDEN HAPA NCHINI. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), tarehe 17 Julai, 2026 amekutana na kufanya...
1 Reactions
1 Replies
91 Views
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
24 Reactions
291 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…