Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati vikao vya ndani vya wilaya na mikoa vya CCM vinavyochuja wagombea vikiisha mkoani Arusha, taarifa zinadai kuwa aliyekuwa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka na aliyekuwa Mbunge wa...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni asema hana taarifa za kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanaharakati,Tito Magoti Mussa Taibu amesema kuwa mpaka sasa hana taarifa ya kukamatwa kwa Ofisa...
9 Reactions
160 Replies
24K Views
Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona . Jambo la...
42 Reactions
211 Replies
15K Views
Binti asimulia polisi alivyomvua nguo mbele ya baba yake Serengeti By Beldina Nyakeke Tabitha Mwise (22), binti wa Mwise Simon (54), mmoja wa watu watatu waliouwawa kwa kupigwa risasi na polisi...
10 Reactions
170 Replies
16K Views
Hao wote wanautamani ubunge wa Iringa mjini Ahsanteni sana
14 Reactions
112 Replies
6K Views
Kuna nini cha kushangalia kukatwa kwa wagombea ubunge wa CCM na kamati za wilaya au mikoa ? Hawa watu inawezekana wakaonekana wamepoteza sana lakini kumbuka hawa wengine watateuliwa nafasi za...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Ni dhahiri kuwa chadema baada tu ya uchaguzi watashikwa na butwaa wasijue wafanye nini maana kwa sasa wanachokihubir ni kitu ambacho hakiwezekani watu wanajiandaa kwa uchaguzi wanabaki na...
8 Reactions
113 Replies
3K Views
Bingwa yeyote humtazama adui na kumdhoofisha nguvu zake! Miaka yote ambayo ccm ilikung'utwa sana majimboni zilitumika mbinu za kijasusi kuwafarakanisha 'na kuwatafuta wale ambao ni turufu yao...
0 Reactions
4 Replies
339 Views
Uongozi wa Dayosisi ya Mwanga KKKT umemshukuru Rais Samia kwa mchango wa Serikali wa kutoa viti 2500 na mahema kwa ajili ya Ibada ya kumsimika Askofu mteule wa Dayosisi hiyo Dr Mono Source Upendo...
2 Reactions
37 Replies
1K Views
Tunavyoelekea kwenye uchaguzi Mkuu 2025 baadhi ya vyama vya siasa nchini vimefungua dirisha kwa wanachama wao kutia nia kugombea nafasi za Udiwani. Uzi huu utakusogezea wananchi wanaotia nia...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ametoa onyo kali kwa maafisa wa polisi na watendaji wengine wa serikali wanaoshiriki katika kile alichokiita uingizaji wa kura bandia...
4 Reactions
92 Replies
4K Views
Nilisema hapa kwa kurudia rudia kwamba kamwe Mchungaji Msigwa hawezi kushinda Ubunge Iringa mjini kwa tiketi ya CCM lakini hakunisikia Navalonge swela 😂✔️
10 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakuu, Anandika Hllda Newton kupitia ukurasa wake wa X: --------------------------- Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA Brenda Rupia amekamatwa na maofisa wa Uhamiaji akiwa ofisi za Uhamiaji...
1 Reactions
88 Replies
5K Views
Siasa za fitna haziwezi kuijenga Tanzania, tushikamane na Rais Dk. Samia kwa maendeleo
0 Reactions
14 Replies
505 Views
HISTORIA YA MKOA WA ARUSHA Mkoa wa Arusha ni moja kati ya Mikoa 26 ya Tanzania Bara, wenye ukubwa wa KM za mraba 34,515.5. Kiutawala Mkoa unao Wilaya 6 na Halmashauri 7, Tarafa 23, Kata 33, Vijiji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nchi hii ni ya maajabu sana, ukipita pale mwenge junction, utakuta kuna kituo cha mqendokasi kila upande kinajengwa. Kwa utalaam wa ujenzi, unatakiwa kuondoa vitu kama stand au masoko karibu na...
1 Reactions
4 Replies
431 Views
Pole Sana Gambo Karma imekupa haki yako unayostahili
1 Reactions
7 Replies
521 Views
GT. Uchaguzi uliojaa hila ni haramu jiepushe nao..
7 Reactions
16 Replies
661 Views
Back
Top Bottom