Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila kitu kinajionyesha wazi kua muungwana anapitia msongo wa mawazo wa kiwango kibaya zaidi, na binafsi yangu napendekeza apatiwe usaidizi wa mapema hasa wa kisaikolojia. Na kwa hulka yake ya...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Ukifuatilia kwa makini, utagundua chama cha harakati [CHADEMA] hawajui wanahitaji nini ili kufikia malengo ya ajenda yao ya NRNE. Leo hii, akiibuka mtu yoyote kutoka chama chochote na kusemea...
0 Reactions
7 Replies
409 Views
Kwa sasa Mbowe akiwa Chini ya Tundu Lisu hanufaiki kwa lolote ndio sababu kajiweka kando Mungu jalia mara paap Tundu Lisu anakuwa Rais wa JMT na Mbowe anabahatisha kupata Ubunge wa Hai kupitia...
1 Reactions
24 Replies
778 Views
Niko hapa Mnadani Zinga kwa Mtoro Bagamoyo nikitafuta kambuzi ka supu ya wajukuu nyumbani Cha ajabu nimekuta Vijana wengi wanashangaa shangaa tu na nilipouliza ni akina nani hao nimeambiwa ni...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
Kuna vitu vikubwa ambavyo Wana siasa hasa wa Sisiemu, vitendo vinaongea zaidi ya maneno. Na wanasheria wanasema ushahidi wa kimaandishi unaheshimika zaidi wa kimaneno. Hivyo haya maneno ya dira...
0 Reactions
1 Replies
270 Views
WHO has approved 9 African countries to roll out the Lenacapavir injectable HIV preventive drug. The respective governments are set to begin receiving the drugs by January 2026. —🇧🇼 Botswana —🇸🇿...
7 Reactions
71 Replies
3K Views
Hilo ni jukumu ambalo wananchi kutoka kata na majimbo yote wameikabidhi CCM kuhakikisha kuwa viongozi wenye tija,weledi,hofu ya Mungu na kaliba inayofanania wanapitishwa kuingia kwenye...
0 Reactions
5 Replies
263 Views
"Nitakuja Tunduru kufanya Mkutano na Mkutano wangu wa Tunduru nitatamani niambatane na Katibu Mkuu mwenzangu, Kaka yangu Ado Shaibu tuje tungurume hapa. Leo ilikuwa nije naye, yule ndio pacha...
0 Reactions
8 Replies
601 Views
Wakuu! Mwenyekiti CHADEMA Taifa Tundu Lissu kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kwa ajili kesi ya Uhaini inayomhusu. Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu...
31 Reactions
122 Replies
13K Views
Friends and our enemies Gwajima ameshabaini kuwa hatoboi,kanisa limefutwa na sababu za kufutwa ziko wazi... Anajua fika anachokifanya,nacho ni kutafuta sympathy kwa wenzake na wana kondoo wake...
7 Reactions
89 Replies
2K Views
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
HANS Aingaya Macha ni mfanyabiashara tapeli sana na utapeli wake aliuanza kwa muda mrefu toka akiwa anafanya biashara zake Manzese, ambapo amedhulumu mali za mayatima na watu. Ukibahatika kufika...
0 Reactions
50 Replies
19K Views
Mpo Salama! Taifa lolote la Maana, ndoto ya watu ni lile linalojengwa katika Misingi Mikuu miitatu; 1. Utawala Bora na Sheria (Good Governance and Rule of Law) Huu ni kama msingi wa nyumba...
1 Reactions
0 Replies
241 Views
Wakuu kwanini msikae kimya tu hata kama mnamchukia? Huu ni wakati wetu wa kutamba na mama yetu. Nyie tulieni ikifika zamu yenu mtatamba na wakwenu. Mnanikosesha amani, nikiongea mnaanza kuniita...
5 Reactions
10 Replies
443 Views
Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia kujiuzulu kwake hivi karibuni. Akizungumza katika...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kitendo alichokifanya Askofu Gwajima ni kitendo ambacho kilimuumiza ,kumkwaza,kumsononesha na kumchukiza kila mwana CCM. Ni kitendo ambacho kiliacha na kimeacha hasira...
1 Reactions
235 Replies
10K Views
Kama kweli wewe ni kidume na unajiamini na wewe ni KOMANDOO KUTOKA CUBA NA KOMANDOO LILILOSOMA AZABOY Usiogope taja location ya mkutano wako na wanahabari Ili tukusanyike sisi wote tukusikilize...
3 Reactions
8 Replies
653 Views
Watazame vijana waliolelewa na CCM na namna wanavyoenenda kisiasa utaona tofauti kubwa sana hii ikimaanisha program ya ulezi ya CCM imefanikiwa mno. Nawatafuta vijana waliolelewa kidini pia...
1 Reactions
4 Replies
230 Views
And this is the kind of leadership the country deserve and other nations wish to have. Mwenyekiti wa CCM Taifa, na Rais wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan, ameidhibiti...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imeeleza kuwa imepokea malalamiko 11 yanayohusu vitendo vya rushwa vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya watiania wa ubunge...
0 Reactions
6 Replies
699 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…