Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la...
Salaam ndugu,
Moyo wa mtu ni kichaka,
Na duniani hapa, wanadamu wote hutenda DHAMBI, toba ndio kitu pekee Cha kuharakisha kufanya ikitokea umeteleza.
Ninaona unajaribu Kurudisha watu warudi...
Waziri Mkuu anayemaliza muda wake, Mh Kasimu Majaliwa, siku aliyotangaza kutogombea tena Ubunge wa Ruangwa, aliongea kwa msisitizo na kwa kurudiarudia mara kadhaa, kwamba anataka mrithi wake awe...
Huu ni ushauri wa mtu mwenye nia njema kabisa na wewe. Walio karibu na wewe najua watakushauri usiufuate, ila mimi nakushauri ufuate. Usipofuata, ni hiari yako pia.
Itisha press, uongee na Taifa...
Nimeuzulia mazishi ya Mke wa Mrisho Mpoto, yeye anijui, Mimi simjui na Wala sio rafiki yangu ila mie namwita mjomba kwa sababu ya nyimbo zake za kale.
Sijapenda kwa umbea nimeenda kwa sababu ni...
So, he called a press conference just to take some veiled shots at her [Samia].
Hata kama hakumtaja moja kwa moja kwa jina lake, kitendo tu cha kusema ‘mzalendo namba moja nchini si Rais au...
Salaam,
Mwenyekiti mstaafu hakuwahi kukabidhi ofisi, na aliyekabidhiwa ilibidi anyamaze tu, maana sasa utasema nilikuta hilli na hili halikuwepo, nani shahidi?
Jambo Hilo Hilo limejitokeza kwa...
Kila kitu kinajionyesha wazi kua muungwana anapitia msongo wa mawazo wa kiwango kibaya zaidi, na binafsi yangu napendekeza apatiwe usaidizi wa mapema hasa wa kisaikolojia. Na kwa hulka yake ya...
Ukifuatilia kwa makini, utagundua chama cha harakati [CHADEMA] hawajui wanahitaji nini ili kufikia malengo ya ajenda yao ya NRNE.
Leo hii, akiibuka mtu yoyote kutoka chama chochote na kusemea...
Kwa sasa Mbowe akiwa Chini ya Tundu Lisu hanufaiki kwa lolote ndio sababu kajiweka kando
Mungu jalia mara paap Tundu Lisu anakuwa Rais wa JMT na Mbowe anabahatisha kupata Ubunge wa Hai kupitia...
Niko hapa Mnadani Zinga kwa Mtoro Bagamoyo nikitafuta kambuzi ka supu ya wajukuu nyumbani
Cha ajabu nimekuta Vijana wengi wanashangaa shangaa tu na nilipouliza ni akina nani hao nimeambiwa ni...
Kuna vitu vikubwa ambavyo Wana siasa hasa wa Sisiemu, vitendo vinaongea zaidi ya maneno. Na wanasheria wanasema ushahidi wa kimaandishi unaheshimika zaidi wa kimaneno.
Hivyo haya maneno ya dira...
WHO has approved 9 African countries to roll out the Lenacapavir injectable HIV preventive drug. The respective governments are set to begin receiving the drugs by January 2026.
—🇧🇼 Botswana
—🇸🇿...
Hilo ni jukumu ambalo wananchi kutoka kata na majimbo yote wameikabidhi CCM kuhakikisha kuwa viongozi wenye tija,weledi,hofu ya Mungu na kaliba inayofanania wanapitishwa kuingia kwenye...
"Nitakuja Tunduru kufanya Mkutano na Mkutano wangu wa Tunduru nitatamani niambatane na Katibu Mkuu mwenzangu, Kaka yangu Ado Shaibu tuje tungurume hapa. Leo ilikuwa nije naye, yule ndio pacha...
Wakuu!
Mwenyekiti CHADEMA Taifa Tundu Lissu kufikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kwa ajili kesi ya Uhaini inayomhusu.
Kumbuka kwamba kwenye kesi hii Tundu...
Friends and our enemies
Gwajima ameshabaini kuwa hatoboi,kanisa limefutwa na sababu za kufutwa ziko wazi...
Anajua fika anachokifanya,nacho ni kutafuta sympathy kwa wenzake na wana kondoo wake...
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza...
HANS Aingaya Macha ni mfanyabiashara tapeli sana na utapeli wake aliuanza kwa muda mrefu toka akiwa anafanya biashara zake Manzese, ambapo amedhulumu mali za mayatima na watu.
Ukibahatika kufika...