Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KATIKATI ya upepo wa maandalizi ya uchaguzi, sauti ya matusi imeibuka akiwaita wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwa ni “wahuni”. Kauli hii imetolewa na mtu aliyewahi kushika nafasi ya...
2 Reactions
50 Replies
3K Views
Mamlaka hutoka kwa Mungu hayaji kiutaniutani tu. Sio wote tunaweza kuwa marais au mawaziri au viongozi. Hii ni karama yenye utukufu na kamwe haiwezi kubezwa tu. Ni kweli ipo mifano toka karne...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni ombi langu kubwa kuona ruzuku ya vyama vya siasa ifutwe na badala yake fedha hiyo ikasomeshe watoto yatima
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Kutoka enzi na enzi Mamlaka zipo na zina nguvu isiyo kifani. Huwezi na kamwe haitatokea wala kukubalika eti upambane na mamlaka halafu uwe mshindi. Hilo haliwezekani kamwe. Bwana wetu Yesu...
2 Reactions
16 Replies
799 Views
Chama cha Ukombozi wa Umma kimefanya Uzinduzi wa ofisi ya chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro leo Julai 19,2025 na kuhudhuriwa na wafuasa mbalimbali wa chama hicho. Sambamba na uzinduzi huo pia Chama...
1 Reactions
9 Replies
627 Views
Andika utabiri wako kipi hasa kinaenda kutokea kuanzia Sasa hadi mwaka 2030.
1 Reactions
25 Replies
909 Views
Kwanza napenda kuwajulisha kuwa mimi nampenda sana mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan hivyo maoni yangu hayahusiani na chuki bali mapenzi ya kweli kwake. 1. Sikuridhishwa na mkataba wa DP World...
23 Reactions
78 Replies
3K Views
Tusemeni ukweli nchi gani utapata plot bleach ukiwa kijana zaidi ya Tanzania hii ndo nchi ya Kula Wazee tuire kweri Maisha mbona yanaenda wakuu nyie mna shida gani?mna njaa? pombe...
1 Reactions
7 Replies
418 Views
Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu 9 na kuwajeruhi wengine 4 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua...
0 Reactions
2 Replies
280 Views
Takriban watu watatu wameuawa na wengine kumi na wanne wamejeruhiwa leo Ijumaa hii, Juni 27, katika shambulio la anga la Urusi kwenye mji wa Samar, katika mkoa wa Dnipropetrovsk -...
0 Reactions
1 Replies
288 Views
Eti changamoto hizi zilikuwepo tokea enzi za hayati JPM ! Mbona hamkuibuka hadharani na kupinga ubadhirifu, ufisadi na maonevu kama Polepole? Mbona hayati alikubalika kwa wananchi wanyonge kuliko...
5 Reactions
11 Replies
532 Views
Tangu Muungano uanze, Zanzibar ilitoa Rais mmoja tu, Mzee Mwinyi, upande wa pili umetoa marais wanne, kwa Zanzibar, Samia ni wa pili, ni busara ya kawaida kumpa nafasi na kuipa nafasi Zanzibar...
2 Reactions
24 Replies
848 Views
Will miss you Biden , you did what you did , in can't blame you anymore .
2 Reactions
6 Replies
498 Views
Yuko Wapi Luhaga Mpina ambaye ametambulishwa kama Mbunge wa Taifa, sijamsikia siku nyingi je amechukua fomu au na yeye ameacha kuchukua fomu kama Gwajima na Majaliwa?
0 Reactions
12 Replies
680 Views
Hiki chama kina lundo la watu maslahi ambao kichwani ni weupe kabisa na wakiwa na maslahi yao fiche huwapamba hawa watu kwa nguvu zao zote ili kuwaingiza madarakani kwa manufaa ya kikundi cha...
1 Reactions
3 Replies
203 Views
Aliyekuwa Katibu wa Mkoa wa Kagera wa Chama cha ACT-Wazalendo, Linus Maeje (Meja) amejiondoa kwenye chama hicho na kujiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) leo Jumamosi Julai 19 2025...
1 Reactions
0 Replies
267 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Na Aliyekuwa (Mbunge Ukonga) Jerry Silaa akizungumza Na Wananchi Wa Kitunda Jimbo La Ukonga Katika Eneo Ambalo Atakabidhiwa Mkandarasi Barabara Ya...
1 Reactions
3 Replies
520 Views
TAL anatetea maslahi ya Tanganyika. Ameanza hizo harakati tangu enzi za mzee Benjamin Mkapa mpaka sasa. Sukuma gang wanatetea maslahi yao na matumbo yao Sukuma gang sio kabila bali wafuasi wote...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Wanaharakati Hawa walifika Tanzania ili kuhudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiwa inatajwa au kusomwa mahakamani. Hawakufanikiwa kufika mahakamani ila walikamatwa na watu wenye kusadikika ni...
1 Reactions
7 Replies
549 Views
UTANGULIZI; Hii Wilaya hapo zamani hakuni siku ilipita bila wakulima na Wafugaji kuchomana mikuki na kukatana mapanga, Ukweli usemwe tangu kiongozi huyu akabidhiwe Wilaya hii mambo ni shwari...
5 Reactions
64 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…