Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Moja kwa moja nijikite kwenye mada: Sarakasi ya kumpata mgombea wa CCM ilikuwa ni muendelezo wa yale wanayoyafanya kumpata rais wa nchi. Kwa kuwa Mungu wa mbinguni atoaye mamlaka kwa mtu...
13 Reactions
53 Replies
3K Views
Viapo vya viongozi vina maeneo 4 muhimu 1. Kuilinda Katiba 2. Kuitumikia Katiba 3. Kumtii Rais wa JMT 4. Kuitii Serikali ya JMT Na kila Kiongozi anakuwa na kipaumbele kimoja au viwili...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Sijaona sababu za msingi za kuuwa mtu kwasababu za kimadaraka, kwani sioni raha ya kuwa na madaraka kwa kupitia umwagaji damu tena sisi kwa sisi kila uchwao. Niseme hakuna raha yoyote ya madaraka...
1 Reactions
5 Replies
377 Views
Nimeona kama lipo tangazo Facebook kwamba Lema amestaafu siasa Anayefahamu huhusu hili atueleze
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kuchagua mgombea wa kiti cha Urais wa JMT Mchakato wa kumpata mgombea u - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya CCM unafuata utaratibu...
5 Reactions
13 Replies
964 Views
Ndugu Msajili na Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya Uchaguzi Awali ya yote nawasalimia, na nawatakia majukumu mema ya kazi zenu. Nimechukua fursa hii kuwaandikia barua, kama raia, mzalendo, na mdau...
25 Reactions
47 Replies
3K Views
Kweli tumefika pabaya! Tumepunguzwa hadhi mpaka kura yetu imegeuzwa kuwa kama ritual tu ya kufurahisha watawala, bila thamani ya kweli. Wananchi tumeonekana wajinga, tumetupwa pembeni kana kwamba...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Kikao kilichowapitisha ni kile kile, Katiba ni ile ile na Utamaduni ni ule ule sasa kwanini ashupaliwe mtu mmoja tu? Acheni hizo 🐼
16 Reactions
114 Replies
4K Views
guest-1787180022
WANANCHI WA KATA YA MAWENZI WAAMKA: WAMCHOSWA NA DIWANI ALIYEKAA MADARAKANI ZAIDI YA MIAKA 15 BILA MAFANIKIO Moshi, Tanzania – Katika kile kinachoonekana kuwa mwamko mpya wa kisiasa miongoni mwa...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Salaama wanjamvi Napenda kujuzwa kama Balozi Polepole amejibiwa kivyovyote vile na mtu/kiongozi kutoka Serikalini au chama CCM na kama ndio tupia hapa mambo kwa ushahidi Asanteni
9 Reactions
77 Replies
3K Views
Dar es Salaam: Habari za chinichini zinapenyeza kuwa uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) upo mbioni kumfukuza na kumfuta uachana Mh Balozi Humprey Polepole na pia kumuondolea hadhi ya ubalozi...
19 Reactions
109 Replies
6K Views
Tunako katabia kidogo Watanzania, nadhani kitaifa, 'uwoga' wa kutoa mawazo tofauti, na nadhani nayo ni kasoro, katika demokrasia kila mtu lazima asikilizwe hata kama hukubaliani naye, na...
1 Reactions
1 Replies
330 Views
Badala ya kuongelea mabadiliko ya katiba kuongelea tamaduni ambazo ndizo zimeleta umasikini Polepole hatutaki tamaduni za CCM zimeleta umasikini mkubwa nchini. Watanzania wanataka maendeleo na...
0 Reactions
1 Replies
249 Views
EDIT: Sio waziri tu, ni viongozi wakiwemo mawaziri, maspika, wakuu wa mikoa, wabunge, n.k. Kujua matatizo ya wananchi kwa ukaribu ni msingi wa utatuzi wa kweli. Ni muhimu kwa viongozi kuwa...
39 Reactions
132 Replies
4K Views
Wakubwa hadi wababa wazima unakuta wao ni mama, mama hata sisi tuna mama tuacheni kuleta umama kwenye mambo nyeti ya taifa tena ya msingi kweli kweli hizi ni akili za wapi ? Mbona samia alipokuwa...
2 Reactions
12 Replies
522 Views
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu !!! Ccm kuwatapeli vyama vingine huwa wanaona raha lkn Samia kawatapeli sasa wanahaha mpaka wanatamani kutoana roho. Haya machungu ya kina Polepole...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
My Take Kama umeumia Kwa Kukosa Cheo Cha majukwani hupaswi Kukata tawi ulilokalia
11 Reactions
136 Replies
7K Views
Kwa ujinga unaofanyika CCM, tegemea Rais kutoka Msoga baada ya Mama...kuna mtu anamtayarisha mwanawe
0 Reactions
6 Replies
401 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…