Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mmewajulia hali watia nia? Huyu ni mtia nia wa Jimbo gani amekesha akifanya dua. Leo saa nne asubuhi kujulikana mbivu mbichi.
3 Reactions
4 Replies
372 Views
Leo nimeingia center hapa Mvuti nashangaa bodaboda karibu wote wako na barakoa zenye picha na maandishi ya mi 5 TENA. Mmewatengeneza wajinga na wapumbavu na sasa wanaogelea kwenye bwawa la...
1 Reactions
7 Replies
698 Views
Tutampopoa Makamba mpaka akome Huyu kijana alishiriki sana kuandaa na kuandika Hotuba za Rais Kikwete miaka kumi wa utawalal wake Leo hii ni useless hata kwa ubunge Mimi nasema Baba levo ni...
1 Reactions
2 Replies
570 Views
Mwaka huu hakuna uchaguzi ni uhuni uhuni tu, suala la jana kuto kutoa majina ni ushahidi mwengine kuwa kuna wahuni wanabaka demokrasia ya nchi. Hawa wahuni na mbumbumbu wanafikiri kujifanya...
4 Reactions
11 Replies
710 Views
Naandika kwa mshangao, kwa masikitiko, na kwa hasira pia. Yaani wananchi wa Dar es Salaam wanateseka kila siku na huduma ya mwendo kasi, lakini bado baadhi yao wanatetea na kuahidi kupigia kura...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Kila nikimkumbuka Naibu Waziri mteule kutoka Kilwa alivyoshindwa kusoma kiapo mbele ya Shujaa Magufuli nalazimika kuamini hii nchi ina uchawi sana uliotukuka Nimshauri tu Komredi Makala atoe...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Tangu ujio wa uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1995, CCM haikuwahi kuwa na wetu wengi waliojitokeza kutafuta nafasi ya chama ya kuteuliwa kuwa wagombea katika nafasi za ubunge na udiwani kama ilivyo...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
1. Kusubiri kuona CCM ikipaduka vipandevipande baada ya fitina na kuengukiwa kwa vigogo 2. Kuonesha wanaoitwa Chawa namna wanafanywa na wajumbe? 3. Kuonesha picha ya namna Bunge lao endapo...
2 Reactions
4 Replies
352 Views
Pengine baada ya mkeka huu wa leo, utafungua mengi sana tuliyokuwa hatuyajui katika ulingo wa siasa za chama kikongwe, Tuwe na staha katika kuwasema waliokatwa, kwenye siasa chochote kinaweza...
0 Reactions
1 Replies
363 Views
Rais samia amefanya mengi yakukumbukwa, kama mkuu wa nchi lakini pia kama mwenyekiti wa ccm. Jambo kubwa sana ndani ya chama, ni kusimamia mabadiliko ya katiba ya ccm kupanua wigo wa demokrasia...
0 Reactions
2 Replies
263 Views
Sasa ndio naelewa kuwa uongozi wa hivi sasa ni kama nyumba isiyo na mwenyewe, mke wa rais mstaafu kuwania ubunge kunatupa picha mbaya. Tanzania ni nchi ya kwanza kuona mke wa rais mstaafu kuwania...
5 Reactions
20 Replies
936 Views
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA na kisha kuhamia CCM Esther Bulaya na Esther ni miongoni mwa wagombea Ubunge kwenye mchujo wa kwanza Kupitia Chama cha Mapinduzi baada ya kutangazwa leo na CPA...
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Mabadiliko ya katiba ya ccm yaliyoridhiwa na kuidhinishwa mkutano mkuu wa ccm taifa kidigitali jana, yamechochewa kwa kiasi kikubwa na maoni ya wana CCM wenyewe, kwa kuongezwa wigo zaidi kwa watia...
1 Reactions
3 Replies
460 Views
Pia soma - Dar es Salaam: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 MAJIMBO YA MKOA WA DAR ES SALAAM (i) Jimbo la Ilala (1) Ndugu Mussa Azzan ZUNGU (2) Ndugu Grace Traseas BUBERWA (3) Ndugu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pia soma - Morogoro: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 MAJIMBO YA MKOA WA MOROGORO (i) Jimbo la Kilombero (1) Ndugu Abubakar Damiani ASENGA (2) Ndugu Abdulla Zuru LYANA (3) Ndugu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Pia soma - Pre GE2025 - Lindi: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 MAJIMBO YA MKOA WA LINDI (i) Jimbo la Lindi (1) Ndugu Hamida Mohamed ABDALLAH (2) Ndugu Mohamed Mussa UTALY (3)...
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Salum Mwalimu ametangaza rasmi mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania nafasi za Ubunge, Viti Maaalum na Udiwani kupitia chama hicho ni Agosti...
1 Reactions
6 Replies
434 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha mfanyabiasha maarufu Salum Kinyoro 'Kibakuli' kuwania ubunge wa Jimbo la Handeni mjini. Salum atachuana na wagombea wengine watano. Katibu wa Itikadi na...
1 Reactions
5 Replies
637 Views
Nimeona majina ya wabunge wa viti maalum wa CCM waliokaa zaidi ya miaka 10. Sasa nashangaa lile azimio lao vipi kuwa viti Maalum mwisho miaka 10? Soma pia; Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala...
0 Reactions
6 Replies
775 Views
Yaani aliyeingia tano Bora na aliyemfanya Mzee Magufuli kuhaha leo.hii ni useless hata ubunge hafai Byebye January Makamba wakati wako wa kuchunga kama Mzee Makamba Au kutunga riwaya maana najua...
7 Reactions
16 Replies
992 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…